Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Bando la 500 internet la vodacom kwa kweli linatesa bora usijiunge hata ujibane vipi hzo mb 70 ni kazi sana kumaliza lisaa Kwa uchumi huu naomba kujua mtandao gan ambao unanafuu kwa sisi wenye...
4 Reactions
40 Replies
8K Views
Husika Na kichwa hapo juu, mimi ni muhitimu chuo kikuu ,nahitaji mshirika anayependa kilimo, niko shamba tayari ,muhoro rufiji pwani, nimefanya upembuzi yakinifu,kulingana na msimu ,nahitaji...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu, Nimepata wazo la kipindi cha televisheni ambalo likifanyiwa kazi kinaweza kuwa ni kipindi kizuri sana sssa najiuloza ni mambo gani ya kufuata ili niweze kufanikisha ama kwa kuuza idea au...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni siku ya jumamosi asubuhi napigiwa simu na jamaa yangu mmoja akitaka kujua ratiba zangu kwa siku hiyo.namwelekeza. ananambia kama sitojali jioni anipitie niende kumsalimia mjomba wake mgonjwa...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Kama nilivyosema Wanajf msinichoke.Bado naendelea na kaduka kangu nyuma ya genge kwani nilifanikiwa kufungua vyote viwili.Tatizo sijajua namna ya kupiga hesabu na kujua nimepata faida kiasi gani...
2 Reactions
40 Replies
21K Views
Habari wana jukwa poleni na majukumu ya hapa na pale, Kimsingi sisi vijana ni wapambanaji sana katika kufanya shughuli mabalimbali za kutuongozea kipato, na hivyo hujikuta tuna fanya biashara...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari... kwa muda mrefu nmekua na ndoto ya kuzalisha maji ya kunywa yenye kiwango je' kipi kinahitajika ili kufanikisha ndoto hiyo offcause sijaona maji na brand yenye kiwango cha...
2 Reactions
25 Replies
8K Views
Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imewapokea watalii 69 waliowasili leo jijini Dar es Salaam wakitokea Afrika Kusini kupitia reli ya TAZARA.Watalii hao kutoka Mataifa Mbalimbali, wamewasili katika...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Hi JF Members! Naomba mwongozo wa namna ya kuanzisha na kusajili Gazeti ikiwa ni pamoja na gharama zake. Tayari nina business idea na napenda kufahamu utaratibu unaotumika hapa Tz. Nawasilisha
0 Reactions
14 Replies
9K Views
Kwa wajasiriamali wote wasindikaji...karibu muulize maswali yenu hapa, nauhakika mtapata majibu yatakayowasaidia. Nawasilisha.....
2 Reactions
43 Replies
16K Views
Maana nazunguka mtaa wa aggrey sijaona hasa pia bread maker Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
12K Views
Wadau naomba msaada na ushauri kwenu Nataka kufungua kampuni itakao fanya mambo yafuatayo 1- Wirering za majumbani, na kwenye maghorofa 2- Installation ya umeme kwenye mitambo Nataka kujua...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Ata kama tunataka kuwa na tanzania ya viwanda hii ni too much Ada imepanda sana kwenye miamala, Siyo kwenye miamala ya Simu mpaka bank ada imepanda mara dufu,sijui kama watu wanaliona hili...
22 Reactions
65 Replies
7K Views
Kwa wale Wataalamu au wazoefu haya ni aina gani ya Madini !!??
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Mimi muajiriwa ninakatwa kila mwezi mkopo wa elimu ya juu, ni jambo jema kwa maendeleo ya nchi yangu hususani kuwezesha vijana wengine wasome. Nilikuwa na nia ya kulipa sehemu ya deni langu HESLB...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari Rejea mada tajwa hapo juu nafahamu humu jf tupo watu Wa fani mbalimbali hivyo ndio maana nimeleta mada hii nikijua nitapata majibu kwenu Nina mpango mkubwa Wa kuanzisha studio ya muzuki...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
SHILINGI YA TANZANIA YAIMARIKA KWA 3% DHIDI YA DOLA YA MAREKANI. Leo 13:15pm,10/03/2019. Baada ya mwezi February shilingi kuporomoka dhidi ya dola kwa 2.15%,Sasa shilingi imeanza kuimarika kwa...
6 Reactions
56 Replies
11K Views
partiner awe na: 1. Mtaji kama million 2 kwa ajiri ya mtaji na vitendea kazi 2. Awe mkazi wa Daresalaam, mwenye ueledi na ushirikiano MCHANGO WANGU 1. Eneo la butcher, ni kwenye uzio wa nyumba...
8 Reactions
28 Replies
10K Views
*Rules for Success* (1.) Know what you do. (2.) Love what you do. (3.) Have a passion. (4.) Form strategies. (5.) Learn from others. (6.) Be focused and consistent. (7.) Get right information...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom