Ni jambo la faraja sana kwa mkulima wa MITI kusikia kuwa miti ya mikaratusi/milingoti inahitajika kwa ajili ya kutengenezea plywood. Uhitaji wa mti wa mkaratusi ni mkubwa sana kwa sasa katika...
Heshima kwenu,.
Kama kichwa kinavyosomeka, nina ombi kwa yeyote anayeweza kuguswa anisaidie mtaji kwa njia ya kufanya kazi ya pamoja kwenye kilimo au ufugaji, hasa nyanya na kuku, kipaumbele...
Wasalaam wana Jf,
Ndugu zangu nina ombi kwenu hasa kwa anayefahamu uwepo ama (Viability) ya hii biashara ya ngozi, nimehamasika sana
kusindika ngozi ikiwa ni njia moja wapo ya kuiongezea dhamani...
Habarini wanaJF, naombeni msaada hapo nilikuwa nafanya application ya kusajili jina la biashara ila nilipofika hapo ikaandika hivyo na kila napoclick proceed bado inaaniletea hayo maneno TRY LOAD...
Wakuu habari za jioni, nimepata gari huku Malawi kwa bei ya kutupa ni rahisi nikionanisha na bei za nyumbani Tanzania.
Nataka kuinunua ina namba za usajili za hapa Malawi je itanigharimu kiasi...
Ukiona hiyo System ya Brela ilivyopambwa na kuandikwa vitu vya maana.... Unaweza kufikiria kuwa vilivyomo ndani vina akili sana kumbe Uozo mtupu.
Uncle Magu pitia pale Brela kumbe unatupiwa lawama...
Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imeanza uhamasishaji wa kuwavutia Wawekezaji watakaosaidia kuwapeleka watalii katika maeneo ya Ukanda wa Ziwa baada ya Serikali hiyo...
Habari zenu wakuu..
Wakuu nisaidieni namna ya kupunguza kodi tra huko maana kwa kodi hii niliyoletea mawiwili either nipate hasara au niususe mzigo bandarini hapo hapo.
Nafahamu huku JF kuna...
Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania(TFS) umefunga mtambo wa kuchakata asali wilayani Manyoni mkoani Singida.
Akizungumza jana Machi 14,2019 Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano TFS Tulizo Kilaga...
Habari wadau,nahitaji kujua vigezo na masharti ya benki zetu kwny huduma hii ya mkopo wa kununua nyumba,kujenga su kumalizia,nimejaribu kugoogle cjapata.
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa mmoja alifika sokoni na mchele gunia 180 za kilo mia kila moja.
Akatokea dalali mmoja akaja kama mteja. Wakaanza kupatana bei mpaka ikafika 1700 kwa kilo bei ya jumla.
Dalali akalipa cash...
Nani aliye design kuwa hili crate la mayai liwe la plastic au la material yoyote lakini lazima libebe mayai 30.hii Ni kwa dunia nzima nchi zote hutaona trei lenye mayai 20 au 24 au 40.hiki kipimo...
Wanajamvi poleni na majukumu ya kiTaifa, nataka kufanya ujasiriamali wa biashara ya maturubai kwa ajili ya matukio ya kijamii kama vile msiba, hitma, 40, bridal shower na harusi.. Naomba msaada wa...
Kumekuwepo na mdororo wa bei za mazao kwa wakulima je kuna tatizo gani na Je Bodi za mazao zina msaada gani kwa wakulima kwa upande wa masoko?
Kumekuwapo na malalamiko ya sehemu kubwa wakulima...
Nawafikiria walioweka nyumba zao wakachukua mikopo Benki wakafungua Maduka ya kubadilisha Fedha za kigeni
Nadhani wataangaliwa wasiumie!!
Kwaresma njema
Sent using Jamii Forums mobile app
JIFUNZE KITU APA [emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]
The most powerful business in the world (Biashara kubwa kupita zote duniani)
Biashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.