Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Hello JF, Ningependa kujua jinsi elimu inavyosaidia ukuaji wa uchumi... reason being, watu huku mtandaoni wamekua wakilalamika Rais kununua Ndege na kuacha ku invest kwenye Elimu.. sasa kwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Naitwa salum nipo mkoa wa pwani wilaya ya mkuranga mm ni mjasiliamali wa kati na najihusisha sana na kilimo cha mpunga kibiashara nalimia kilombelo sehem za mbingu , mngeta , chita nk Leo...
1 Reactions
3 Replies
860 Views
Wakuu heshima mbele. Hii ni post yangu ya kwanza kwenye hii forum. Nimekuwa nikisikia kitu kinachoitwa VIKOBA. Ni kama cooperation fulani hivi lakini siielewi vema. Kama kuna mdau anaufahamu na...
4 Reactions
76 Replies
71K Views
Habari wanna JF? Ninaomba kuuliza,,, ukiwa na account ya fedha za kigeni Kama ya currency ya Euro [emoji387], Je, unafanyaje ili uongeze thamani ya pesa utakayoitoa kutoka kwenye account yako...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Hizi biashara zote zinategemea zaidi bahati. Japo zinatofautiana kwenye kiwango cha kutegemea bahati. Zote hizi mtu anaweza kwa kiasi akatumia uchanganuzi na kuamua afanyaje biashara...
6 Reactions
51 Replies
9K Views
MAPENDEKEZO YA HATUA ZA KUCHUKUA ILI KUIMARISHA THAMANI YA SHILINGI Utangulizi Shilingi ya kitanzania, kama zilivyo sarafu nyingine iko prone to exposure. Hivyo hatua za mara kwa mara za kila...
8 Reactions
38 Replies
4K Views
Mafanikio katika jambo lolote lile maishani mwanadamu analolenga kufanya hutokea nje ya uwanja wake wa faraja, kwa kimombo wanasema, “outside of your comfort zone”,. Unataka kuwahi kazini, shuleni...
6 Reactions
17 Replies
21K Views
Nina 7milioni nataka kusafili kwenda dubai kuchukua biashala ila sijui namna ya kufika huko mwenyekujua Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu watu wa Mungu. Sijawai kukwama Jf kwa majibu ya msaada. Nimeona bidhaa online huko china. (Villa store). Muuzaj anataka malipo kwa mastercard. Sion insurance ya malipo. Mwenye namna ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndugu zangu Jf napenda kumshukuru Mungu kwa siku nyingine tena ambayo ametuwezesha kuiona. Mungu azidi kukulinda na kukubariki popote ulipo na akuvushe katika kila gumu ulilonalo. Moja kwa moja...
29 Reactions
43 Replies
10K Views
Wakuu habari za shughuli mbali mbali, leo nimevuviwa moyoni nianze kampuni ya kuuza nafaka na mambo mbali mbali, kampuni hii itajihusisha na kufungasha vitu kama vile dagaa,mchele maharagwe, na na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mara nyingi wengi wanaoingia kwenye biashara kwa mara kwanza huamini sana mtaji ndio kila kitu. Kwa imani hiyo, hujikuta mara baada ya kuingia kwenye biashara wanakuwa hawaweki nguvu nyingi katika...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Ukifuatilia matukio yanayoendelea sasa hivi Tanzania ni wazi kuna sehemu ndani ya ofisi zetu nyeti tumewekewa pandikizi ili uchumi wetu uyumbe kwa manufaa ya maendeleo ya nchi nyingine...
9 Reactions
32 Replies
4K Views
Gharama za kuingiza kichwa cha semi trela zinapatikana mtandaoni. Sasa naomba kujua gharama za kuingiza trailer (maana hizi hazipo kwenye kikokotozi cha TRA) Naomba kujua gharama za kuingiza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni mwanafunz wa chuo kikuu cha elim dar es salaam ila natafuta fursa nzur ya biashara ya kufanya wakat nasom kuliko kutegemea boom tu na kuiendleza kwa muda ambao ntakuwa metoka masomon ila...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Nina kuku wengi wakienyeji kutoka Singida Nahitaji kupata namba za mtu anaenunua kuku hapa Dar as salaam mfano kuku 40 kwapamoja na nimajogoo!! NB: kuku mmoja 20,000/= Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nataka ninue ngano kwajili ya njiwa 800kg kwa kila mwezi. Nataka kujua nani anayeuza kwa bei za jumla. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
1K Views
"Tala ni app nambari 1 Tanzania inayotoa huduma za kifedha kwa wadau wanaotumia mtandao wa Tigo na Vodacom ! Tunakupatia mkopo mikononi mwako, wakati wowote na mahali popote. Pia ada zetu ni...
1 Reactions
118 Replies
31K Views
Nimeona watu wengi wakiongerea hiki kitu pia baadhi wakisema sio muimu kwa serikali kuendesha shirika ilo kibaya zaid ni kwamba inaonesha san ilo shirika lina endshwa kisiasa sio kibiashara though...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…