Habari wana JF!
Nimewaza kufanya biashara hii ya kununua na kuuza dola, nanunua bei inaposhuka na kuuza bei inapopanda!
Naombeni uzoefu wenu, Jinsi ya kufanya ili niweze kuifanya biashara...
Wale wajuzi wa mambo natamani kununua moja ya tv hizo tajwa hapo juu ila sijui maana ya hzo terms kati smart na 4k naomba kueleweshwa matumizi ya hizo technologia, na nahitaji kununua brand hyo ya...
Guys naomba ushauri wenu kuhusu hii biashara je ni ya kweli na inafaida !!
JAMALIFE HELPERS GLOBAL.
Jamalife helpers global ni shirika lisilo la serkali la kimataifa linalo wezesha wanachama...
Wanabodi habarini za majukumu. Mimi ni mjasiriamali ambaye nataka nijikite kwenye kuboresha na kupaki bidhaa za vinywaji vya asili kama mbege, togwa, na vileo vya mananasi n.k. changamoto...
Habari za wakati huu mpendwa msomaji. nimeweza kutembelea wilaya ya serengeti iliyo mkoa wa Mara kaskazini mwa Tanzania na katika matembezi yangu hayo kuna baadhi ya mambo nimeyaona ambayo...
Wakuu
Mimi ninamiliki kiduka chenye nafanya miamala ya kifedha na ninalupa Kodi TRA
Naomba kuuliza je, nikipata kitambulisho cha wajasiliamali cha Magufuli naacha kulipia Kofi TRA
Au nalipa...
WASOMI NA WASIOKUWA WASOMI NAOMBENI MNISIKILIZE KWA MAKINI KATIKA HILI [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
[emoji871]...
Mabenki ya kubadiri fedha za Kigeni leo tarehe 12/02019 inauzwa kati ya shs 2,410 - 2,415 katika benki za Kibiasha ikiwepo NMB, CRDB, Azania, NBC.
Tukumbuke kuwa mwaka 2015 dec dola ilikuwa...
Wakati taasiai nyingi za kifedha zinananunua madeni ya wafanyakazi ili kuwawezesha kukopa katika taasisi zao, benk za NMB,CRDB na Benki ya Posta hazina kabisa utaratibu huo na hivyo kuwafanya...
Wadau nilikuwa nataka kukopa milioni 3..., namwachia gari akae nayo mpaka nitakomlipa kwa miezi 2 na rate ya 20%
Sasa huyu jamaa kaniambia nikimwachia gari niwache na kadi yake original, na...
Ninaomba msaada kwa mwenye uelewa wa hii taasisi, mwaka 2013 nilichukua mkopo kwenye taasisi hii (platinum) mwaka 2014 nikahamisha deni kwenda taasisi nyingine (malipo yalifanyika )..baada ya...
Naomba kuuliza hii kitu nimekuta watu wanabisha u turn blog kuhusu hili suala kiukweli kila upande umejaribu kujenga hoja nzito za utetezi lakini kwa kuwa mimi sio mchumi wala mhasibu nikaona...
Amazon najua ni shirika ambalo haliitaji utangulizi mulio wengi mnalifahamu pia na shughuli zake...
Muanzilishi wake pia kwa sasa haitaji utangulizi labda kwa watu ambao hawamfaham anaitwa jeff...
Habari zenu wadau
Nina tovuti ya kuuza na kununua sasa ipo kwa mda kidogo kama miezi saba na ina google adsence
sasa imefika muda nataka nianze kuitangaza kwenye social Network ili iwe maarufu...
Kwanza TV
16 mins ·
“Niliwahi kutumia bandari ya Dar es Salaam zaidi ya mara 3, lakini kutokana na uaminifu mbovu na urasimu kwa taasisi za ukaguzi ghafla nikahamia bandari ya Mombasa...
Nlinunua hosting kwenye kampuni moja na nililipia kwa njia ya card visa card, walinitumia invoice kuwa order ime be verified lakini nina muda karibu wiki mbili sasa kila nikiingia kwenye website...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.