Habari za sahiz wana jf...
Naombeni kujuzwa namna ya kupata cm used za jumla kwa ajili ya kuuza kwenye kijibanda changu na hizi mpya pia zinakwenda na bei gan kwa dazen
Sent using Jamii Forums...
Mhadhiri wa chuo cha Biashara CBE, Dkt Dickson Pastory amezitaka benki hapa nchini kuongeza ubunifu wa kuongeza mapato yake kwa kutazama vyanzo vingine ikiwemo kuwafikia wananchi waliopo vijijini...
Habari zenu ndugu na jamaa wa JF?
Mimi nikijana mchakalikaji sana .baada ya kuona hali ya mzee baba inazidi kuwa ngumu biashara haziendi vizuri nikaona fursa saizi ziko kwenye kamari maana hata...
Wakuu kama heading inavyosoma hapo juu nimeona wale wazee ambao tunadeal na hii kitu tuwe tunapeana maarifa mapya hapa tuweze kudownload pesa kirahisi
Kupeana ushauri kuhusu broker wazuri and so...
Akili za watu hasa watanzania wengi wametekwa na mapenzi yaani mwanaume kutwa nzima anawaza lini atampata jen na jen naye kutwa nzima anawaza kwa nini elisha kamwacha anashindwa ku move on...
Kuna ndugu yuko jobless kwa sasa ila anamiliki gari JX 110. Ameniuliza anachoweza kuifanyia kama biashara nimekosa jibu.
Wadau, maalwatani wa Jiji tunaomba ushauri ushauri wenu.
Wakuu salama.
Kuna watu wamekuwa wakinishiwashi niingie kwenye vikoba kuwa ntapata mikopo yakukuzia biashara. Nilikuwa naomba watu waliofanikiwa kukuza mitaji kupitia vikoba wanieleze kwa undani...
Kiukweli hawa kuku wa mayai sioni uzur wake japo wasifika sana kwa utagaji lakini faida ya pesa na anaefuga kuku chotara ipo sawa.
Na hii kutokana na ghalama za chakula cha layers kuwa juu na...
Wakuu naitaji nipate card yenye uwezo wa kufanya online payments na iwe na uwezo wa ku recieve payments kutoka nnje ya nchi. Nina card ya crdb inafanya online payments but kupokea pesa mtu...
Nimetumiwa mzigo kutoka US ambao umeenda kushushiwa kenya badala ya tz. Nimetumiwa sms kuwa mzigo umeshafika kenya.
Msaada wa taratibu za jinsi ya kuupata na gharama za kuusafirisha hadi hapa...
habari za majukumu!
Mimi ni fundi ujenzi wa nyumba. Kwa sasa nataka niboreshe huduma yangu Kwa kufungua ofisi nzuri ambapo Itakuwa rahisi kukutana na wateja wangu.
Kwakuwa kufungua kampuni ya...
Wakuu wa JF !
Anyone been to Mozambique ?
Share your experience, hasa kwenye mambo za business kama umifunguwa duka or biashara namna ipi zina faa !
suggest and share !
Habari wadau nilikua naomba msaada wenu kwa yeyote anaetumia paypal ningependa anisaidie kuyafaham yafuatayo tukiachana na jinsi yakufungua account nilitaka kufaham je inawezekana kutumia paypal...
Unaweza kucheza na Tume ya uchaguzi, chezea matokeo na kila kitu...Hapa CHezea Economy
Economy ni mambo ingine
Ngoma inogile na Time will tell....
Hakuna propaganda kwenye uchumi
Hii biashara siyo ya kuwekea masihara kabisa unaweza kufanikiwa kirahis xana japo kuna watu wanaweka mzaha na kuidharau
Sent using Jamii Forums mobile app
Naandika ikiwa ni kuelezea masikitiko yangu dhidi ya ununuzi wa korosho kwa mwaka 2018/19.
Juzi tumetangatiwa kwamba kampuni ya Kenya itanunua tani laki moja ya korosho kwa shilingi bilioni 418...
Kuna Kabiashara kadogo nataka kukaanzisha, lakini kutokana na usumbufu wa TRA kwasasa,je naweza kuwafuata nikawaomba japo miezi 6 kisha ndio nianze kulipia?
Kwa hali ya TRA ya sasa wamekuwa kama...
Wana JF;
Sisi tuna-own Kampuni inayojshughulisha na Secretarial Services, Printing (Cards, Posters, Business Cards, Invitation Cards, Fliers etc). Tunazamia ku-expand business ili tufungue small...