Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kama kuna mwanajf mwenye kunijuza maeneo zilipo tunda la parachichi aina ya hass kwa Moshi au Arusha anipe info's anijuze hapa au aje PM kama yuko nazo, siitaji parachichi kuchukua maeneo ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau nataka kuwa wakala wa tigo pesa,m pesa na airtel money + luku . Lakini sijui nifanyeje ili nipate line hizo mwenye kujua anisaidie.
1 Reactions
22 Replies
20K Views
Hii da frex inadili na nn naitaji kujuzwa Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
572 Views
Tangu mwaka jana mwez wa 8 nilidhamiria kutoka maisha ya home na kwenda kupanga....!!maana nilihisi itakuwa vizuri zaidi kwa mimi kupanga mipango ya maisha....lkn pia ni kwakuwa ni mwanzo wa...
1 Reactions
37 Replies
6K Views
Mawazo yako ndio yanaongoza ndoto zako usiyaache yakapeperuka na kubadilika kila siku andika utapata msingi wa kuanzia ili kuifikia ndoto yako. Unaweza kuwa na ndoto moja ila namna ya kuifikia...
18 Reactions
21 Replies
4K Views
Ndugu Wanajamiiforum, Salamu sana. Kwa ufupi yupo ndugu yangu ndo ameanza kuhudhuria mafunzo ya biashara na anatakiwa awe na smartphone, Kisha kazi Yake ITAKUWA kuwasajili wajasiliamali...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sikia.... BAKI NA HELA ZAKO Mzee Mengi alikuwa na gazeti linaitwa ALASIRI. Halikuleta faida. Lete Raha vile vile. Ushindani wa magazeti mengine ulikuwa mkali. Wasomaji wakabadilika. Internet...
76 Reactions
138 Replies
23K Views
habari wana jf mimi ni mjasiliamali ambae nimepiga hatua katika biashara yangu ya kwanza. Ninamiliki kiwanda kidogo cha kuzalisha viatu vya kimasai kiukweli nashukuru kwa hatua niliyo fikia japo...
2 Reactions
26 Replies
5K Views
Wadau wa jf habari zenu naombeni kujua bei ya ulezi huko mikoani anayefahamu aniambie nina gunia kadhaa ili niuze Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
450 Views
Wadau ningependa mtu anayeifanya biashara hii anipe abc zake,maana mtaa niliohamia nimeona kuna fulsa sana ya kuanzisha hii biashara ya mitungi ya gesi kwa matumizi ya majumbani.ninahitajika niwe...
0 Reactions
27 Replies
9K Views
habari wakuu, mimi nipo mkoani na nina mpango wa kununua Hisa sa kampuni mojawapo iliyosajiliwa dse, tafadhari anayejua mchakato wake, anijuze
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu Nimekua msomaji wa thread humu kimya kimya na kiukweli nimejifunza mengi Ningependa kujua hii biashara ya uber inalipa, sina ufahamu mzuri kuhusu hii biashara japo watu wachache...
1 Reactions
2 Replies
834 Views
Habari zenu wakuu Nimekua msomaji wa thread humu kimya kimya na kiukweli nimejifunza mengi Ningependa kujua hii biashara ya uber inalipa, sina ufahamu mzuri kuhusu hii biashara japo watu wachache...
0 Reactions
2 Replies
915 Views
Wakuu nimetumiwa pesa mtu simjui Toka Jana hadi Leo sijapigiwa simu vipi nile? Maana nimechoka kusubiri Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
43 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu Nimekua msomaji wa thread humu kimya kimya na kiukweli nimejifunza mengi Ningependa kujua hii biashara ya uber inalipa, sina ufahamu mzuri kuhusu hii biashara japo watu wachache...
1 Reactions
0 Replies
637 Views
Habari zenu wakuu Nimekua msomaji wa thread humu kimya kimya na kiukweli nimejifunza mengi Ningependa kujua hii biashara ya uber inalipa, sina ufahamu mzuri kuhusu hii biashara japo watu wachache...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu Nimekua msomaji wa thread humu kimya kimya na kiukweli nimejifunza mengi Ningependa kujua hii biashara ya uber inalipa, sina ufahamu mzuri kuhusu hii biashara japo watu wachache...
0 Reactions
0 Replies
521 Views
Habari zenu wakuu Nimekua msomaji wa thread humu kimya kimya na kiukweli nimejifunza mengi Ningependa kujua hii biashara ya uber inalipa, sina ufahamu mzuri kuhusu hii biashara japo watu wachache...
0 Reactions
0 Replies
482 Views
Habari zenu wakuu Nimekua msomaji wa thread humu kimya kimya na kiukweli nimejifunza mengi Ningependa kujua hii biashara ya uber inalipa, sina ufahamu mzuri kuhusu hii biashara japo watu wachache...
0 Reactions
0 Replies
827 Views
Wapendwa habarini za mda huu....me nnawazo la kufanya biashara ya urembo kwajiri ya kinadada na wakaka....kuuza. Mafuta& lotion,hereni bangiri vibanio na mambo mengine kama hayo ....nombeni mnipe...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…