Hali ya sintofaha inayoendelea wilaya ya nachingwea ya kuhakiki mikorosho na wauza korosho
Mtu mmoja aliitwa siku ya jumatatu apeleke risiti zake zote alizouzia korosho alipofika ofisi ya mkuu wa...
Habari zenu
Nimeipitia hii thread na imenisaidia kuanzisha biashara kwa mtaji mdogo sana hasa kwa aaiye na uwezekano wa kuata mitaji mikubwa
Mafunzo ya kutengeneza mkaa wa kisasa - JamiiForums...
Ujasiriamali ni shughuli inayohitaji ujasiri na uimara kiroho na kimwili. Kama unadhani kufanya biashara au Ujasiriamali ni shughuli yako ya pili au mbadala baada ya kukosa kazi unayoipenda basi...
Nimepata hizi habari ila sina uhakika nazo kwamba CBA bank wamepunguza interest rate from 24% to 21%, ingawa hii rate sio friendly pia ila kama wamepunguza nadhani ni wakati wa mabenki sasa...
Kwanza polen na majukumu, pia mungu ashukuriwe katika kutupatia uhai wa kila siku,
Naanza na kuwapa ushauri wa kupanua biashara yako kimataifa,
1. Sister schools,
Wale wenye shule ambazo...
Wakuu,
Nahitaji kufungua duka kwaajili ya kuuza viatu vya kiume, walengwa ni vijana wenye umri wa kuanzia miaka 15 mpaka miaka 35.
Hivyo naombeni ushauri wenu, ni jina gani litafaa kwaajili ya...
Ndugu wanajf wiki moja iliyopita nilikuja hapa na kuwashukuru kuwa baada ya kunishauri kuwa nifungue genge kwa kamtaji kangu kale ka sh.350,000/=.Nimefanikiwa kufungua genge kwa sh.100000/=na...
Habari wadau?
Hivi ni biashara au huduma gani naweza kuianzisha mwaka 2019 na baada ya miaka 5 ikakua na ikafaa na kizazi changu kijacho. Mtaji wangu mpaka June mwakani naweza kuwa na cash 20M ...
Habari za jioni wakuu, kwanza kabisa nipende kueleza hali halisi ilivyo huku mkoa wa lindi na mtwara kwa hali ya korosho wa hali kimsingi ni mbaya sana kiasi kwamba watu waliokuwa bado na korosho...
Wasaalam.
Wakuu kama mada tajwa hapo juu,
Naomba kila mtu mwenye biashara ya ujasiriamali ambayo amewahi kufanya au pengine mpaka sasa anafanya. Dhumuni la uzi ili kila mtu apate mbinu mbadala...
KIJANA WA UMRI WA MIAKA 20+ AFANYE NINI KUJIHIMU NA MASUALA YA KIUCHUMI NA KIUWEKEZAJI?
Mwaka ndiyo upo ukingoni , wengi wetu wakati huu pia tumeongeza umri kwenye namba za miaka yetu na wengi...
Habari za muda huu wana jukwaa! Naomba kujua tafsiri sahihi ya mmachinga ambae ndie mlengwa wa kitambulisho cha umachinga!
Swali langu: kama wewe ni mtumishi wa serikali mfano mwalim, au...
Hallow guyz,
Ebhana mimi ni kijana mjasiramali lakini katika pitapita zangu mitandaoni nikakutana a video moja ya jamaa moja akiwa ana refine mawese kwenda mafuta haya yakina korie bila machine...
Hivi tofauti na ufugaji na kilimo idea kubwa ambazo zitakufikisha mbali zaidi ni zepi zaidi ya nyanja za teknolojia hususani ile ya mawasiliano.
Kwa dunia ya sasa matajiri wengi wantokea kwenye...
Baada ya kumaliza form four miezi michache niliyokaa nyumbani ilikuwa productive sana nilifanikiwa kujiingizia hela nzuri sana kwa umri wangu kupitia biashara niliyohifanya ( forex) ila hii sio...
Natumaini wengi wenu mtakuwa mmegundua hali ambayo si nzuri katika biashara ya ushindani kati ya maji yenye chapa ya KILIMANJARO na maji kama UHAI na mengineyo.
Hali iliyopo ni kuwa katika...
Habari wanajukwaa,
Mimi naomba kufahamishwa jambo; kwa mfano ninahitaji kuanzisha kampuni ambayo itaitwa JIWE. Lakini malengo yangu hiyo kampuni ifanye biashara nyingi kwa jina hilo hilo la JIWE...
*📚Tofauti Kati ya Mwajiriwa na Mjasiriamali*
Kwa hakika kuna tofauti kubwa kati ya mwajiriwa na mjasriamali; tofauti hii inahusisha tabia, fikra, maamuzi au hata matendo.
Kuna baadhi ya watu ni...
Dalili kuu 7 zinazoonyesha mtu ambaye atachelewa sana kufanikiwa.
by Saidi Makini MAFANIKIO
1. Siku zote ana pesa za kununua vocha na kuweka vifurushi,ana pesa za kununua nguo lakini hana PESA...