Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Source: Kampuni China yatangaza neema kwa wakulima Tanzania
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau, Naomba kwa wale wenye uzoefu wanipe uzoefu wao nina millioni nane nataka kuanzisha kimoja wapo ya vitu vitatu Restaurant, M Pesa. Na duka la rejareja, ikiwezekana viduka vya rejareja...
3 Reactions
122 Replies
27K Views
Kuanzia mwezi wa 8 Fastjet wataanza kupaa kwenda Harare, Zimbabwe kutokea Dar, TZ. Kwa wale wafanyabiashara katika ya nchi hizi mbili tuliokuwa lazima tupitie Nairobi kwa KQ/PW sasa tukamate fursa...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Umuhimu wa nembo na maana ya nembo katika biashara ama chapa yako. [emoji843] Logo/Nembo ni nini? [emoji843] Nembo ni alama maalum inayokutambulisha sehemu fulani katika jamii, hiyo ni maana ya...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Naomba kujua nawezaje kuwa wakala wa gas kwa kampuni lolote MF.Oryx na Mihan.je wapi zilipo depot za kampuni za gas kwa jijini Dar
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Salaam Wadau, Tunakusogozea huduma zetu karibu yako zaidi kupitia ubunifu mpya katika ulimwengu wa kidigitali, NMB KLiK nama rahisi, salama na isiyo na usumbufu wa kuwa na huduma za kibenki wakati...
5 Reactions
42 Replies
12K Views
Wadau habari.. Mimi mwezi december nimepokea mkopo wa milion 18900000 kutoka crdb... Niliuza mkopo wangu wa nmb... Tulifanya calculation na loan officer ya fedha nazoweza kupata ikaja kwenye...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Salaam., natafuta mwekezaji wa kuwekeza chochote atakachoona kinafaa kulingana na eneo lilivyo. Eneo lipo Tanga, Pangani karibu kabisa na beach, ni mita 100 kutoka baharini(mita za serikali na...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
jamani eheee mimi mwenzenu kila nikiangalia vijana wenzangu walionitangulia naona wamerudi nyuma wakati nikifikiria kuhusu plan B katika maisha nimejaribu kuangalia jamaa zangu waliokuwa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari, Hivi kwa mfanyabiashara anaeuza bidhaa nje ya nchi akitaka kulipwa kwa kutumia paypal afanyaje? Tanzania haiko listed kama unaweza ku receive money kwa paypal
0 Reactions
6 Replies
875 Views
Kwamba wewe unaenda kiwandani unachukua mzigo kwa jumla let us say tani moja ya Sundrop au Blue band au pipi whatever,unaenda mtaani kutafuta wenye maduka ya rejareja unawauzia kwa bei ya jumla...
3 Reactions
13 Replies
7K Views
Nina hicho kiasi cha pesa,nataka nikanunue simu China niuze mkoani,je itanilipa?nipeni uzoefu wenu.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Jamani naomba kujua process na gharama za kufanya usajili wa kampuni ya media (online media)
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau wenye kufahamu. Je katika kuanzisha Fuel filling station kubwa maeneo ya mjini kama Dar es salaam, Je kuna kigezo cha umbali kati kituo kimoja cha mafuta kwenda kingine vilivyo upande mmoja...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Source: NEWS ALERT: NDEGE MPYA AIRBUS A220-300 IKIWA TAYARI KULETWA TANZANIA KUTOKA CANADA - ZanziNews NEWS ALERT: NDEGE MPYA AIRBUS A220-300 IKIWA TAYARI KULETWA TANZANIA KUTOKA...
2 Reactions
11 Replies
4K Views
UTANGULIZI Kwanza kabisa nitoe angalizo vyote nitavyo viongea kwenye thread hii sijalenga kampuni yeyote(ndio maana sitotaja jina kabisa la kampuni yeyote) bali huu ni uchunguzi binafsi nilio...
4 Reactions
39 Replies
10K Views
Habari wana jf naambatanisha na screenshot kutoka account yangu na nimeacha ubini tu wa kitanzania Ili ujulikane kweli ni account yangu mimi mtanzania. Nikiwa mdogo sana nilikuwa naamini kuwa...
14 Reactions
79 Replies
9K Views
Habari zenu wapendwa, Nahitaji ushauri hasa kwa wazoefu au wamiliki wa noah na hiece katika mkoa wa moshi na Arusha je ni root ipi nikiweka hoan au hice bas pesa itakuwa ya uhakika? Maana kuna...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wana if.... Naomba kujuzwa kwa yoyote mwenye uelewa kuhusiana na biashara ya maziwa ya ng'ombe kuanzia lita 100 mpaka mia tano je mtu unaweza anzisha small firm ya package...
3 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom