Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kuna wazo moja niko nalo kichwani hapa la majani ya chai/kahawa spesho kwa wanaume kwamba inaongeza nguvu za kiume unachanganya na congo dust kimtindo unapitisha tbs na TFDA kutest...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Looking for those who are interested in doing businesses in Constructions Industry. Jamani ni Capital tu inagomba but we can be more than NHC. Those who wish to invest in this Infustry let us join...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari zenu wakubwa! Nina mtaji wa laki moja nataka uza genge au niuze Machungwa ,je kwa mtaji huo utatosha kwa biashara ipii? kwa wataalamu unatosha wa hizo kazi?? Naheshimu mawazo yako! Ubarikiwe
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi nimepata wazo nichukue mkopo benki kisha ninunue gari aina ya hiace ili kuweza kuifanya daladala hapa Mwanza ambapo kwa siku itaniwezesha kupata elfu hamsini...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Wakuu na mpango wa kwenda kesho sabasaba, vp mliotangulia kutembelea pale, maonyesho yapo vizuri au yamedorora? Viingilio vya mwaka huu navyo vipo vp, bei yake kwa wakubwa na watoto?
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wiki iliyopita TRC ilirejesha safari za treni za mizigo kutoka Tanzania mpaka Kampala Uganda kupitia Tabora, Isaka, Mwanza na Ziwa Victoria kwa kutumia bandari ya Mwanza na Port Bell nchini...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
nimepata wazo hilo kwa sababu karibia tanzania itaingia kwenye digital,hivo nikianzisha vipind hivo nitauza kwa channel za tanzania,na nchi nyingine za afrika mashariki baadae nitauza ata kwa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nakuja kwenu ndugu jamaa na marafiki mimi ni kijana wa miaka 19 naelekea 20, Mungu akijaalia nimemaliza form miaka 12 iloyopita. Katika ishu za kutafuta nikawa najifunza ufundi umeme wa majumbani...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Wanajamii wazima? Kwanza poleni uongozi kwa kutokua hewani kipindi kile, mimi hadi leo app inanisumbua, haifungui, nimeunistall nikainstall tena lakini wapi... Nije kwenye suala langu, nataka...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naitaji ushauri wenu wakubwa.. lengo langu ni kua mfanyabiashara wa kimataifa shida nafkilia kuhusu Course ya kwenda kusoma chuo kikuu inayoendana na hio kitu. Msaada tafadhari
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Mwandishi huyu ameanzisha vipindi vya mfululizo kwenye maonyesho ya sabasaba,kipindi hicho kinarushwa TBC 1, kuanzia saa 21:15Pm. Wito wangu kwenu,tumpeni ushirikiano
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wana jamvi? Ninasafari ya kwenda Thailand hivi karibuni. Ninaomba order ya mzigo wowote unaohitaji kutoka kule hasa nguo. Nitakuja na mzigo na kukuuzia kwa bei poa ya jumla. Order plz!
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Naamini hamjambo waungwana Mkoa wa kagera unategemea zao la kahawa kibiashara. Inashangaza kuona zao hilo linashuka bei wakati nchi jirani - Uganda bei iko juu. Mkoa una wawakilishi wa wananchi...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Boeing and Embraer to Establish Strategic Aerospace Partnership to Accelerate Global Aerospace Growth CHICAGO and SÃO PAULO, July 5, 2018 /PRNewswire/ -- Boeing (NYSE: BA) and Embraer (B3: EMBR3...
0 Reactions
0 Replies
451 Views
Nature ya Project: Preparation of educational and training resources Cost of the Project: Office rent: TZS 70,000 pm x 6 months = 420,000 Other initial financial resources required for the...
5 Reactions
24 Replies
3K Views
Hivi mnaomba mikopo katika mabenki ya kibiashara kwa sasa mnaipata mapema au inachukua muda kuliko ilivyokuwa siku za nyuma? Hili ni swali lakini wakati huo huo ni utafiti usio rasimi kutokana...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
H
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 26 najishugulisha na Maswala ya IT zaidi, naningependa kufahamu au kupata elimu juu ya swala zima la uwekezaji kwenye hizi Saccos zetu hapa Tanzania.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Closed
Dunia kwa sasa imebadilika mno kiasi kwamba mtu asipo kiwa makini atajikuta nje ya wakati. SHARED ECONOMY ni model mpya kabisa kwenye Biashara na ndo kwanza inashika kasi. Hii ni Model inayo...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
JF ina members zaidi ya 400,000! Hizi figures nimezisoma hapo pembeni kulia kwa wanaotumia browser. Sasa hivi ninavyoandika kuna watu 2,500 online karibu nusu wanaperuzi kama guests. Imagine...
9 Reactions
25 Replies
2K Views
Back
Top Bottom