Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Mtazamo ni vile ambavyo mtu amejengewa au amejijengea maana fulani au imani fulani juu ya jambo fulani. Mtazamo waweza kutengenezwa kutokana na mazingira unayoishi vitu unavyosoma, kutazama na...
3 Reactions
15 Replies
4K Views
Ukiwa umeajiriwa na kampuni binafsi ikaja ikatokea mmiliki wa kampuni halipi mishahara inafika mahali hata ofisi halipii jengo ilipo, landlord anafunga ofisi na mamlaka za serikali nazo...
0 Reactions
2 Replies
880 Views
Hali ni tete kwa wakulima wa mahindi, bei ya mahindi na bei mbolea tofauti yake ni kama mbingu na ardhi. bei ya mbolea aina ya urea ni tsh,58 000, bie ya mahindi kwa gunia ni tsh,24000, basi...
7 Reactions
57 Replies
47K Views
Nimeagiza mzigo wangu kutoka china kupitia aliexpress na nimeufuatilia kupitia traking number mpaka ukatua dar es salaam tarehe 19-07-2016 lakini mpaka leo sijaupata. Nimejaribu kufuatlia kwenye...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Ni decentralized coin ,ambapo haina institution,authority,au organization ambayo ina handle coin hii ni kama bitcoin lkn litecoin is better kuliko kutokana na sababu zifuatazo 1.blocksize kubwa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wadau. Naomba nijielekeze moja kwa moja kwenye hoja yangu. Mimi naishi Rukwa,na nina kampuni iliyosajiliwa kisheria na inafanya kazi tangia miaka ya 2013. Najikita na shuguli za...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau, Kuna binamu yangu (mtumishi wa Serikali) amechukua mkopo CRDB huko Ruvuma, lakini cha kushangaza hadi wiki inakatika hajapewa huo mkopo. Je, kwa wale waliokwishachukua CRDB huwa inachukua...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
HOPE UJUMBE ULIFIKA...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Habari gani jukwaani? Mimi ni mwandishi wa vitabu vya motivation and inspiration pamoja na riwaya. Kweli nimefanikiwa kuandika vitabu kadhaa. Nimefanikiwa kutoa kitabu kimoja cha riwaya ili...
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Kwa wajasiriamali walioamua kuwekeza kwenye utengenezaji wa shampoo na sabuni za maji,ni kitu gani kinaifanya shampoo kuwa nzito sana!?
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wizara ya Fedha na Mamlaka ya Mapato (TRA) wamethibitisha kuwa tatizo lililotokea kwenye mfumo wa kielektroniki wa utoaji risiti (EFD) kwa siku kadhaa zilizopita limetatuliwa sasa. Hivyo asitokee...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hivi Kibali au leseni ya kufanya biashara kati ya Zanzibar na bara unapataje mfano unapereka mazao visiwani
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima kwenu! Naomba msaada wa kuelekezwa Jinsi ya kuandika Business Proposal! Ni Chuo kinatakiwa kujengwa sasa nahitaji kuandaa hio kitu Msaada tafadhari!
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Hey, there. We only talk about earning money during construction phase of Natural liquefied Natural gas (LNG) plant in Lind town, Tanzania. Either you are looking to invest or you're looking for...
0 Reactions
1 Replies
949 Views
Mfano ukikopa NMB, CRDB au NBC kisha ukafanya mambo yako yakaenda kama ulivyotarajia na ukataka kurudisha mkopo mapema ni gharama zipi utakumbana nazo tofauti na kiasi cha mkopo kilichokuwa...
4 Reactions
16 Replies
4K Views
Ndugu wajasiriamali, Kama mnavoona hali ya chakula nchini ikiwa vizuri kabisa. Cha kustabisha wafanyabiashara ya mahindi namba zinasomeka kwelikweli saivi kilo kuanzia 400 /= Tatizo linakuja mtu...
0 Reactions
1 Replies
828 Views
Kuna kipindi(about 5months ago) niliwahi kuleta idea yangu ya project, . . . Project yangu ilijikita zaidi kuweza kutatua kero ya UPUKUCHUAJI wa mahindi kijijini kwetu na baadhi ya vijiji vya...
15 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari Wakuu, Nianze moja kwa moja kuzungumzia kuhusiana na mada tajwa, mimi ni mkulima na pia nafanya biashara ya kununua mahindi kisha naweka store kwa muda nikisubiri bei iongezeke... Miaka...
2 Reactions
46 Replies
7K Views
Habari! Leo nimemsikia Dr. Charles Kimei katangaza neema kwa warumishi wa umma na sekta binafsi ila katika yote kasema hits point kama zifuatazo 1. Muda wa marejesho imeongezeka toka miaka 5...
2 Reactions
51 Replies
9K Views
Back
Top Bottom