Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Nawasalim kwa jina la muungano!! , Wakuu nina mtaji wa 20m nataka nianze biashara ya ng’ombe kutoka mikoani nakuleta Pugu DSM, naomba kujua ABC za hii biashara na kama inalipa au lah
6 Reactions
74 Replies
12K Views
Wadau wenye maduka kutokana na hali ngumu ya kiuchumi imeibuka tabia ya wateja kupenda kubandika bidhaa dukani yaani kulipia kidogo kidogo mpka amalize,sasa najiuliza mfano bidhaa nauza cash elfu...
0 Reactions
1 Replies
162 Views
Sababu ya mfanyakazi anaye hustle 24/7 kula 400k monthly huku Boss aliyekaa tu anakula 5M+, oa wakuu wamiliki wa biashara wanatake risk! Yaani anguko lolote ni lake, we chako kiko standard, ko...
6 Reactions
4 Replies
466 Views
Sio sawa kusema kuwa kuna biashara ndogo, bali unaweza kufanya biashara kwa mtaji mdogo. Matendo yetu huongozwa kwa mawazo na fikra zetu, hivyo kuanza kusema biashara ndogo inaweza kuathiri...
6 Reactions
37 Replies
36K Views
Habari zenu wadau? Natumai mpo salama na mnaendelea vizuri na majukumu ya kila siku. Mimi ni kijana mtafutaji. Tafadhali naomba ushauri kwa wale wenye ujuzi kuhusiana na suala la Studio za kuuza...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Ninayo app nzuri ya kupiga mahesabu ya duka.Inafaa kutumia wakati wa kufanya stock. 1. Unaweza kujua duka lako limekuingizia sh. kwa mwezi au kwa mwaka. 2. Inaonyesha thamani stock iliyopo dukani...
1 Reactions
2 Replies
536 Views
Naombeni ushauri. Nina bodaboda yangu nipo Dar vipi nikifunga Bolt itaweza kuniingizia walau elfu 40 kwa siku au nikae kijiweni?
1 Reactions
3 Replies
298 Views
Wadau kuna mtu anayeishi magole kwa mpemba msafi hivi hali ya kibiashara ikoje kule nikiweka viatu vya kike na pochi maana watu wanasema pagumu
0 Reactions
2 Replies
180 Views
Mim ni kijana mwenye umri wa miaka21, Nina mashine mbili moja ya kusaga na ya kukoboa mashine kubwa za kuzalisha unga wa kupeck. Nina million kumi cash ya mtaji na mashine zipo complete kwa...
8 Reactions
50 Replies
5K Views
Kutunza taarifa za biashara ni eneo la muhimu kwa kila mfanyabiashara. Hii husaidia kujua mali ilyotoka, iliyoingia, mali zilizopo, madeni, mauzo na faida au hasara iliyopatikana. Wengine...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa Tanzania hasa kwenye miji mikubwa hili limekuwa tatizo kubwa. Wafanyabiashara wadogo tena wanaoanza biashara utakuta wanatumia hela nyingi za mtaji kuwekeza kwenye mwonekano wa duka badala ya...
8 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa mfanya biashara ni lazma kila siku kutoa taarifa ya mauzo kwenye EFD Mashine? Ina umuhimu gani kwangu kama mfanyabiasha na inawasaidia nini TRA?
2 Reactions
10 Replies
725 Views
A. Wastani wa faida kwa mwezi kwenye mauzo - 800,000 B. matumizi - TRA (kwa mwaka) 300,000 leseni (kwa mwaka) 120,000 frem (laki 5 kwa mwezi) 6,000,000 Taka (elf 5 kila mwezi)...
12 Reactions
43 Replies
3K Views
Huu ni uzi maalumu wa kuelezea changamoto wanazopitia wafanyabiashara wa Maduka ya Rejareja almaarufu "Maduka ya Mangi". Kama una Changamoto yoyote unayopitia andika hapa, hata kama wateja...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wajuvi wa JF Katika kufikiria namna ya kutoka kimaisha hapa mjini kujiajiri hakuepukiki maana ajira hakuna. Naombeni mnisaidie mchanganuo wa nini kinahitajika katika biashara hii. Location nipo...
4 Reactions
11 Replies
8K Views
Wakuu wa JF Kati ya biashara ya underwear, pochi, viatu vya kike na watoto na biashara ya phone accessories ipi ambayo una uwezekano wa kupata wateja wengi kila siku kwa maeneo ya uswahilini au...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
0 Reactions
0 Replies
97 Views
Mafuta ya kuendeshea gari langu yanazidi kupanda bei. kwa wiki natumia elfu 70.kwa mwezi ni around 250,000. hapo sijafanya tripu za kutembelea nje ya dar ktk kusaka mashamba etc.nikipiga hesabu ya...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Karibu kupendezesha miguu kwa sendo kali na za kisasa. Kwa 15,000 tu unapata chaguo lako leo. Kama unataka kwa jumla nakuuzia kwa bei ya punguzo kubwa kuanzia pair 5. Piga simu/WhatsApp: 0683535699.
0 Reactions
0 Replies
431 Views
Salute Bosses!! Kwanza nitangulize shukrani zangu za dhati kwa wote waliobahatika kusoma uzi wangu niliouweka hapa miezi kadhaa iliyopita na tukaShare ideas mbali mbali za kibiashara. Lkn zaidi...
93 Reactions
506 Replies
116K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…