Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari Wana JF nina idea ya biashara ,nipo Kilimanjaro,Nina proposal ya biashara but nahitaji Sponsor, niingie nae mkataba, Mimi ndiye nitasimamia kampuni Je, naweza kupata wapi au pakuanzia...
2 Reactions
11 Replies
426 Views
Una uwezo wa kuwasha mpaka tv nch 43 Mobisol hawatudai,tumeshamalizana nao Bei 400,000 Mwanza
0 Reactions
1 Replies
196 Views
Korosho seasonal Kuna kagomba wa ajabu sana mkoa wa kusini. Mtu anapigia maboss walioko dar huko au mikoa mingine kuwaaminisha kuwa korosho mwaka huu ni Big deal kwa sababu uchaguzi upo njiani...
4 Reactions
21 Replies
852 Views
Habari wanajamvi, nipo katika harakati za kutafuta masoko ya peanut butter natengeneza peanut butter za organic (isiyo na mchanganyiko wowote) ya chumvi na ya asali shida ni masoko napatikana...
3 Reactions
5 Replies
284 Views
1. Smartphones na mobile ndogondogo nzuri zenye mvuto mfano nokia Og au vile vidogo kbs.pia kuna protector na cover za simu 2. Flashes na memory card..sio nzito hivyo zinabebeka kiurahisi...
2 Reactions
15 Replies
294 Views
Kwenye kujitafuta bhana nikasema niombe Uwakala wa benki ya CRDB Sasa achana na Pesa ambayo nitaweka kwenye Account kwaajili ya kazi, naambiwa mashine yao inapatikana kwa Milioni 1 hadi...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Nimekua mtu wa kubet hapa na pale kwa muda mrefu bila mahesabu, yaani sijui napoteza kiasi gani wala napata kiasi gani.. Mwaka ulipoanza nikaamua nifanye kiufasaha kidogo, nikajipa miezi minne ni...
49 Reactions
644 Replies
211K Views
Naulizia mwenyeji ujuzi wa biashara ya subwoofeer kubwa na ndogo imekaaje kimzunguko wa fedha kwa DSM
1 Reactions
3 Replies
165 Views
Ukiwa Mbeya ni sifa ya nyongeza 🤝 lakini popote tutazungumza tu. Kuna malighafi ya kuundia manati mipira bora kabisa inatafuta mjasiriamali. Acha kutumia iliyotumika kwanza ni hatari kiafya...
0 Reactions
6 Replies
221 Views
Mashine inauzwa bei kitonga sana, wahi kabla haijachukuliwa Device: Renovvo Processor - 2.16 GHz RAM - 4GB EDITION - Window 10 pro Version - 22HZ CONDITION: Used like New BEI : 250,000 (njoo...
0 Reactions
0 Replies
171 Views
Habari wakuu: Nafanya biashara ya duka la rejareja yapata miaka 6 sasa mafanikio makubwa nimeyapata kupitia hii biashara hakika sijutii kuingia katika hii biashara. Nakaribisha wana JF kushare...
24 Reactions
133 Replies
51K Views
Habari wakuu
1 Reactions
4 Replies
191 Views
Wakuu Nafanya hii mishe, wenye kufahamu machimbo yawekeni hapa Karibuni kwa uzoefu
1 Reactions
4 Replies
183 Views
Taarifa za kufanikiwa katika biashara zinapatikana kila mahali lakini hakuna mahali wamenyesha hizo biashara zinazosababisha hayo mafanikio, ni biashara za aina gani hizo? Soko la mitaji likiwa...
6 Reactions
118 Replies
33K Views
- Awapongeza Rais Samia na Museveni kwa msimamo wa uongezaji thamani madini - Azitaka nchi za Afrika kuwa na mkakati wa pamoja wa uvunaji wa rasilimali Madini - Uganda yavutiwa na maendeleo ya...
0 Reactions
0 Replies
151 Views
Lets say take home yako baada ya makato yote ni shilingi X per month. Umeanza biashara yako au umetoka nayo mbali, upepo unavuma wa pesa direction yako yani kila wiki au kwa siku kadhaa chache...
4 Reactions
4 Replies
518 Views
Habari wana jf Nina mtaji wa milioni 10 nifanye biashara gani ambayo inaingiza kipato kizuri kwa siku ambayo haitaniletea hasara?
4 Reactions
40 Replies
4K Views
Salaam Moja kwa moja kwenye mada, Mods na max naombeni mnilinde. Inawezekana watu wengi hawajui labda tuanze kuwekana wazi ili vijana wengine wabunifu wajifunze na waache kukopy idea za watu...
5 Reactions
29 Replies
795 Views
Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile akimwakilisha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko leo Oktoba 01, 2024 amezindua usafirishaji wa bidhaa mbichi zikiwemo mbogamboga na...
1 Reactions
1 Replies
237 Views
Back
Top Bottom