Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wasaalam ndugu na jamaa Naomba kuuliza, je biashara ya electronic transactions kama mpesa, tigopesa, Airtel money na halopesa ,faida yake inapatikanaje? Na je kwa hapa dsm, biashara ipi inatoa...
4 Reactions
3 Replies
419 Views
Mara nyingi huwa nakutana na matangazo Mtandaoni yanatangaza bidhaa na kunadi ofa ... Unakutana na Tangazo linasema OFA OFA OFA jipatie ......kwa bei ya ofa ,lakini ukiangalia sababu za yeye...
2 Reactions
3 Replies
722 Views
Hello wana Jf habari za wakati huu sikuyajana nimejaribu kupitia katika app ya alibaba na nikaanza kujaribu kuagiza kamzogo lakini changamoto niliyokutana nayo ilikuwa ni estimated shipping fee...
2 Reactions
7 Replies
397 Views
Habari zenu, wakuu naomba Msaada ulikuwa ni tareh 27 mwezi wa 7 mwaka Huu 2021, nilikwenda Tra kuchukua TIN number nikafanikiwa kupata Biashara yangu ni playstation Nina TV moja chogo na moja flat...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Will come soon (anonymous content to anonymous members)
7 Reactions
148 Replies
23K Views
Jinsi Watu Wanavyojiajiri Kupitia Blog Blog ni Nini na Inapatikanaje? Blog ni tovuti au sehemu ya tovuti inayosimamiwa na mtu binafsi au kikundi, ambapo taarifa, mawazo, na habari zinachapishwa...
0 Reactions
7 Replies
767 Views
Teknolojia na mitandao ya kijamii zimeleta mapinduzi makubwa katika sekta ya biashara ulimwenguni, na Tanzania siyo tofauti. Kwa kutumia teknolojia ipasavyo, wafanyabiashara wanaweza kuongeza...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Nawishi kuchukua loan kozi life limekua likinichapa sana, wataalamu nipeni uzoefu sana. Je, nitaweza kopesheka shingapi kwa benki ya CRDB kwa hio salary?
13 Reactions
193 Replies
15K Views
Sijui hata nani kawaloga. Unaweka maelezo yote kamili bei na njia ya mawasiliano etc. Anakuja mtu anakuuliza maswali ambayo majibu yake kwenye maelezo ulishaweka. Yaani mwisho wa siku ni usumbufu...
28 Reactions
243 Replies
13K Views
Wapendwa kwa unyenyekevu natanguliza salamu kwenu nyote. Nimeamua kuanza kununua bidhaa kama mikoba na pochi za wanawake moja kwa moja kutoka China kupitia Alibaba na Aliexpress na kuzileta hapa...
13 Reactions
63 Replies
20K Views
Wakuu, Kila mara ninapolipia bidhaa toka hizi supermarkets, napewa option ya kujaza nambari yangu ya mlipa kodi, maarufu kama TIN number kwenye receipts. Swali: Je, kuna faida yoyote...
0 Reactions
0 Replies
185 Views
Kuanzisha na kukuza biashara ni ndoto na malengo ya kila mjasiriamali, lakini mara nyingine ni vigumu sana kupata mawazo ya namna ya kutoka ngazi moja kwenda nyingine. Biashara nyingi ndogo ndogo...
57 Reactions
86 Replies
16K Views
Wana mazengo baada ya kufanya sana biashara hii ya kuagiza bidhaa nchi mbalimbali kama vile China, Turkey, India, oman nk. Kwa takriban miaka 7 sasa ikiwa ni mjumulisho wa miaka 4 bila eneo la...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Nimekuwa na shauku ya kuanzisha barbershop, au saloon ya kiume hata ya kike naipenda nikipata msimamizi maana mimi sijui hayo mambo ila naogopa maana mambo ya kuwindana kama tuko paredi hapana...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
BIASHARA YA KUAGIZA CHINA Leo nimeona nitumie haki yangu ya kikatiba chini ya ibara ya 18 kifungu cha kwanza kuhusu uhuru wa kutoa maoni. Nitazungumzia kuhusu hii biashara ya kuagiza vitu China...
20 Reactions
58 Replies
24K Views
Jamaniee, Mungu atupe nini sisi watz? Kule Liganga kuna chuma ambayo tutaweza kuchimba kwa miaka hata mia, kule mchuchuma na mbinga kuna makaa ya mawe tunayoweza kuchimba kwa muda wa miaka...
0 Reactions
45 Replies
10K Views
Habari, Nahitaji choroko 100kg nipo dar mabibo, nanunua kwa sh 1800 Hadi sh 2000 kwa kilo
2 Reactions
3 Replies
240 Views
RAIS SAMIA AZINDUA SOKO LA MADINI YA VITO NA DHAHABU TUNDURU -Ni soko la Madini la 43 nchi nzima -Apongeza ushiriki wa sekta binafsi -Waziri Mavunde aelezea ukuaji wa makusanyo ya maduhuli...
0 Reactions
0 Replies
218 Views
Wakuu Kwa mshahara wa laki 6 take home naweza kukopa mpaka sh.ngapi na marejesho yanakuwaje
2 Reactions
61 Replies
14K Views
Habari wana jamvi kama kichwa kinavyosema hapo juu nina omba kujua ukiwa na mshahara wa laki 5 mpaka laki 7 ambayo ni take home, Unaweza kupata mkopo wa maximum kiasi gani? Na itabaki shilingi...
4 Reactions
26 Replies
9K Views
Back
Top Bottom