Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Amani na utulivu iwaangazie wana JF: Ndugu zangu katika Imani kwa heshima na tahadhima naomba mwenye kujua masoko ya jumla ya vichwa, shingo, firigisi na miguu ya kuku wa kizungu (VIZIGO)...
1 Reactions
28 Replies
557 Views
Hivi wadau biashara maeneo ya masokoni kwenye mikusanyiko mingi kama mbagala na kkoo hivi kuna uchawi kweli maana watu wanadai pamoja na mkusanyiko mkubwa hawauzi kitu au wanauza tuwili tatu au 4...
2 Reactions
4 Replies
337 Views
Times Reporter and Agencies At first it was just romours. But now France-based media and telecoms conglomerate Vivendi has formally confirmed it is in talks to buy a controlling stake in Zain...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Katika pitapita yangu kwenye mtandao nimekutana na taarifa hii ya kuuzwa kwa kampuni ya simu za mkononi ya Kuwait Zain(zamani Celtel) ambayo ni mojawapo ya makampuni makubwa yanayotoa huduma ya...
0 Reactions
75 Replies
12K Views
Maswali ya msingi kabla sijakuelezea makato... a) Kipi Bora kutoa hela kupitia kwa Wakala, ATM au Ndan ya benk (Over the counter)? b) Kipi Bora kuangalia salio kupitia kwa Wakala, NMB mobile/CRDB...
31 Reactions
52 Replies
21K Views
Anayetaka anicheki inbox
0 Reactions
8 Replies
472 Views
Maneno ya huyu mhasibu yamenikera sana. Bora kuuza Kangala na kufanya biashara. " Mimi sio kama walimu, mshahara ukitoka siku mbili tu hawana kitu" Mhasibu wa halmshauri yetu. Mbaya zaidi...
7 Reactions
25 Replies
860 Views
Je unapo uza nyumba ni tax ipi ambayo unapaswa kulipa muuzaje na je hii kitu capital gain tax huwa ni asilimia ngapi?asante.
2 Reactions
9 Replies
369 Views
Wakuu vipi? Nina Imani wote mu wazima, ni kampuni gani kwa dar hapa inanunua mwani wakuu? Bei ya kilo ikoje? Nawezaje na naanzaje kupata mteja nje ya nchi ikiwezakana wakuu?
5 Reactions
55 Replies
2K Views
Mim ni mfabiashara ya duka la rejareja naomba msaada wenu maduka yamekua mengi miaka miwili naishia kupata pango pekee hivyo naombeni msaada wenu nyinyi wataalam wa bashara mnisaidie nifanye...
2 Reactions
13 Replies
966 Views
Mashirika mengi yasiyo ya kiserikali yaani, “Non-Governmnetal Organizations” yanapokea ruzuku kutoka kwenye vyanzo vikuu vitatu, ambavyo ni; 1) Taasisi za ufadhili yaani “funding...
1 Reactions
1 Replies
263 Views
Jitihada zako ndio zitakupa faida kama zilivyowafaidisha waliokuwa na Dogs coin Airdrop Link hizo hapo chini click then start anza kukusanya coin https://t.me/major/start?startapp=474175254...
2 Reactions
4 Replies
423 Views
Habari Nahitaji shipping agent faster , nahitaji kusafirisha bishaa kutoka dar kwenda Dubai au oman Njoo whatsapp leo hi hi 0620304289
0 Reactions
2 Replies
177 Views
Habari wakuu, Nilikuwa naomba kujuzwa wapi nitapata furniture za nyumbani kama sofa sets, dinning table, coffee table na tv showcase kwei ya kizalendo. Najua huku kuna watu washanunua hivi vitu...
2 Reactions
5 Replies
427 Views
Salaam: Sasa hii mada sijui niwekeje lakini, juzi kati nilikuta kipindi ndio kinaishia niliwaona tu kina Gerald hando na wengine wanatuonyesha chumba cha kuvunia mbegu za kiume, kwa uchache...
2 Reactions
6 Replies
278 Views
We are dedicated to delivering top-tier mobile app and website design services that set you apart in the digital landscape. Our approach blends creativity with technology, ensuring that each...
2 Reactions
1 Replies
204 Views
Hivi wadau mfano umepata goli sehemu ambapo biashara haiendi na umelipia ndani ya wiki moja ni sahihi kuhama yaani wiki nzima hujauza na kodi umelipia miezi 4 na huku wenzako wanauza balaa,na...
3 Reactions
6 Replies
313 Views
Habarini wanajamvi, Mimi ni kijana ambae nimeingia kwenye biashara ya Barbershop (haijakamilisha mwezi lakini inaniumiza kichwa) biashara ipo Mbeya. Naombeni ushauri jinsi ya kusimamia ili...
2 Reactions
47 Replies
6K Views
Huwa kuna vijana wafanyabiashara wanapata upepo mkali wa pesa uelekeo wao wakiwa wadogo kwenye rika la 20s - 30s za mwanzo, Ghafla kuna kipindi inatokea biashara zinayumba nao huanza kudondoka...
14 Reactions
31 Replies
1K Views
Wakuu,,.hawa ndugu zetu ambao wanaendesha bodaboda hali ya kuwa umri wao kidogo umesogea huwa wanakuwaga na ka ukoloni flani hivi. Leo nikiwa nimetokea kigamboni,niliposhuka na pantoni pale...
13 Reactions
11 Replies
633 Views
Back
Top Bottom