Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

N:B: Lazima uwe na ujuzi au maarifa ya kutatua shida, sio kuminya tu simu. Tafuta ujuzi au maarifa ya kumtatulia mtu shida kwa uhakika na uaminifu. mfano mimi hii ni kazi part time, najihusisha...
3 Reactions
1 Replies
207 Views
Habarini Wadau? Nina semi-trailers 2 moja inabeba mizigo Tani 31 na nyingine Tani 32. Natafuta Mdau/Wadau wenye mizigo ya uhakika ya kusafirisha ndani na nje ya Nchi jirani. Awe tayari tuingie...
1 Reactions
3 Replies
246 Views
“NI MARUFUKU BIASHARA YEYOTE YA MADINI KUFANYIKA MAJUMBANI WILAYANI TUNDURU – WAZIRI MAVUNDE” Apiga marufuku wageni kwenda kununua madini machimboni Aweka jiwe la msingi la ujenzi wa soko la...
0 Reactions
3 Replies
275 Views
Mdogo wangu ni muandishi wa habari wa kujitegemea, ana online TV, YouTube channel Anawezaje kutengeneza pesa kwa kutumia karama yake ya uandishi wa habari wa kujitegemea. Wenye ABC naomba....
0 Reactions
1 Replies
170 Views
Habarini wakuu, Katika kujitafuta nimefanikiwa kununua mashine ya kusaga na kukoboa mahindi.Nilikua naomba kama kuna mtu ana eneo sehem yenye mzunguko wa watu wengi au kama kulikua na mashine...
4 Reactions
33 Replies
1K Views
Habari wana jamvi. Kisiwa cha Mafia ni mojawapo ya wilaya zinazounda mkoa wa Pwani. Kutokana na aina ya wakazi wa kisiwa hiki kuegemea sana kwenye shughuli kuu ya uvuvi na kilimo cha nazi...
2 Reactions
3 Replies
426 Views
Habarini za muda huu ndugu Watanzania. Naomba kujuzwa ni wapi wananunua chenga za mchele kwa hapa Dar es salaam. Kwa wale mnaojua chenga za mchele ni wapi zinanunuliwa zinazotokea mikoa mbali...
5 Reactions
18 Replies
733 Views
Kwa namna maarifa yanavyozidi kuongezeka kuna bidhaa nyingi zinaweza tengenezwa ukiwa nyumbani tu kikubwa ujikusanyie malighafi Kwanza. Mimi binafsi nmejifunza vitu vingi na nisingependa kuwa...
16 Reactions
99 Replies
23K Views
Rafiki yangu mpendwa, Inapokuja kwenye fedha, watu wamehangaishwa na mambo mengi ambayo yamekuwa hayafanyi kazi. Kumekuwa na njia nyingi za mkato zinazowaahidi watu utajiri wa haraka tena bila...
9 Reactions
19 Replies
1K Views
Vinauzwa kwa bei nafuu; Kitanda 5x6. = 120,000/= Godoro dodoma 5x6 inch 8 = 120,000/= Kabati la nguo. = 120,000/= Mtungi wa gesi, jiko na Meza. = 150,000/= Coffee table. = 70,000/= Friji ndogo...
0 Reactions
1 Replies
359 Views
Wadau hamjamboni nyote? Niombe kampuni kubwa ya kimataifa ya Pizza Hut isogeze huduma maeneo ya temeke na mbagala jijini dar es salaam. Naambiwa kampuni hii ina migahawa maeneo mikocheni...
0 Reactions
3 Replies
288 Views
💼 MHADHARA WA 11: Hakikisha uzito wa VICOBA/au MICHEZO YA KUPEANA HELA unayocheza usizidi Mzani wa MFUKO (UCHUMI) wako. Kwa mfano upo kwenye uanachama wa VIKUNDI VYA MICHEZO YA KUPEANA HELA au...
0 Reactions
1 Replies
163 Views
Habari wanajamvi, Kwanini waotokea mikoa ya Arusha, Njombe, Iringa, Kilimanjaro wanakuwa fiti kifedha na kibiashara hata kama ni vijana wa umri mdogo? Natumai nitapata majibu ya kuridhisha.
5 Reactions
75 Replies
15K Views
Habari natumaini wakongwe mko vizuri Nina mpango wa kuanzisha kampuni ya usafirishaji nikiwa na mpango wa kusafirisha mizigo kutoka nchini kwenda nchi jirani kwa maana DRC, Zambia, Burundi...
26 Reactions
134 Replies
16K Views
Wakuu, wale wenyewe experience ya aina hizi mbili za businesses ipi inaweza ikaleta manufaa kwangu? NB mi mwenyewe ni fundi ila nitakua sikai mimi labda mi nitakua nakaa kuanzia jioni. Sababu nina...
5 Reactions
43 Replies
1K Views
Ndugu wateja tumefungua BRIGHT CANDLES FUNERAL SERVICES Sinza karibu na Kitambaa cheupe bar. Gari kali Mercedes Benz c200, 220, Jeep Grand Cherokee, Land rover Discovery 4, Alphard, Noah na...
6 Reactions
22 Replies
2K Views
1.Fungua youtube channel -Hapa focus kwene kipaji chako, waonyeshe au waambie watu kuhusu kipaji chako. Kama n mbea pia uwe unaongelea watu maarufu 2.Uza vitu/bidhaa -Kam huna mtaji anza kuuza...
3 Reactions
12 Replies
494 Views
Kuna wakati nilikuwa z'bar nikaenda kwenye hoteli moja ya kitalii, nilikuta watu wakishusha mizigo kwenye gari moja kubwa hapo hotelini, moja ya mizigo hiyo ilikuwa ni mayai na vinywaji vikali...
7 Reactions
38 Replies
21K Views
Tukumbushane na tusisahau kuwa uhuru wa kifedha unaepusha fedheha isiyo ya lazima inayotokana na ukosefu wa fedha. #financialfreedom
1 Reactions
0 Replies
140 Views
Hivi wadau tukiachana na mbagala na kkoo kuna maeneo gani mengine yana vibe la biashara kama huko
4 Reactions
9 Replies
289 Views
Back
Top Bottom