Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Ni Biashara ipi inayopatikana kariakoo ina faida kubwa kwa mfanyabiashara mdogo mwenye mtaji mdogo? Mtaji wa laki moja hadi laki tano. Na ieleweke sio lazima biashara ya kuuza iwe kariakoo...
14 Reactions
53 Replies
8K Views
1) Nina Epson Styplus Photo PX660 nauza iko Arusha. Namuhitaji mnunuzi wa haraka 2) Ninauza pia Photocopier ya Canon IR2202 Zote mbili hazijatumika sana
0 Reactions
7 Replies
295 Views
Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi 1. Tanga ndio kinara 2. Lindi unafuatilia 3. Dar es Salaam 4. Mtwara 5. Tabora 6. Kigoma 7. Mwanza Mikoa yenye wachawi...
49 Reactions
965 Replies
379K Views
Je, wananufaikaje na haya wafanyayo? Je, wanavibalu kisheria kufanya wafanyayo?
3 Reactions
4 Replies
243 Views
Wataalamu naombeni maelekezo jinsi gani naweza kutengeneza peanut butter kwa njia rahisi
1 Reactions
9 Replies
488 Views
Habari. Nina wazo la biashara inahusisha zaidi kugawa huduma ya internet kwa wananchi kwa ghalama nafuu. Hii itawagusa wote wa chini na wafanya biashara. Nahitaji mtu mwenye mtaji na uzoefu...
1 Reactions
2 Replies
274 Views
Kuna wakati inatupasa kuendelea kujifunza na kuhimizana kuhusu USHAURI KITAALAMU. Katika jamii ya Watanzania na duniani kote, kuna watu wamejikita katika weledi na pia wenye vipaji fulani. Wengine...
0 Reactions
0 Replies
169 Views
Mambo vipi wadau, huu mchongo hapa chini naona unasambaa sana kwenye mitandao ya kijamii nikaona niulete humu tuujadili kama una uhalisia wowote, karibuni kwa maoni. ************************* Kwa...
13 Reactions
40 Replies
16K Views
Wakuu msaada kwa wale wabobevu wa uchumi kipi sahihi hapo kupangisha sehem frem penye watu sio wengi na bei 30 elf wakati huo huo kwa sh elf 50 eneo populated. Asanteni.
1 Reactions
18 Replies
685 Views
Habari zenu jamani. Kwanza nikiri kwamba naandika post hii huku kichwa kinaniuma. Toka nimepata hii pesa (600k nimeuza mali, 400k nimekopa) nimeumiza sana kichwa biashara gani ntafanya ili...
11 Reactions
98 Replies
47K Views
Wakuu Habari ya muda huu. Naombeni msaada mwenye uzoefu wa biashara hii ya Bajaji atushauri. Tumenunua Bajaji 5 mwaka 2021. Na mpaka Sasa zimefanikiwa kufanya kazi mwaka 1 na miez 5 tu. Bajaji...
6 Reactions
109 Replies
23K Views
Sina budi kumshukuru muumba kwa kutupatia neema zote kubwa kwa ndogo ndogo Naomba nisikuchoshe mdau katika jukwaa hili tuende moja kwa moja kwenye kusudio husika la uzi huu Iko hivi miezi...
4 Reactions
30 Replies
1K Views
Binance ni exchange number 1 Duniani nayo wamekuja na airdrops kwa Jina la Moonbix Hii ni rahisi na tutaunda $1000 kirahisi zaidi. Inakuchukua sekunde 11 kujoin n kuwa rewarded...
0 Reactions
0 Replies
216 Views
Habari za Mchana wana JF, Ndugu yenu hapa naomba info kuhusu biashara ya Nyama (Burchery), Bei wanazonunua Machinjioni inakuwa kiasi gani? wangapi wamefanikiwa through this business. WADAU...
5 Reactions
213 Replies
92K Views
Habari hili ndo chapisho langu la Kwanza kuandika ndani ya jamii forums na nimeona niandike ili kuwazindua vijana wenzangu kuhusu utapeli unaondelezwa na vijana wanaojifanya wanafanya forex nchini...
8 Reactions
136 Replies
13K Views
Wahi offer Laini za wakala zimebaki mbili ni full documented na tunaandikishana, ikiwezekana twende kuchange usajili Imebaki Halo pesa na Airtel money, Zote nataka 90K Karibu Dm
1 Reactions
6 Replies
271 Views
Muhasibu wa Chanzo cha Mabango anasema wametakiwa kukusanya mapato ya shilingi bilioni 3 kwa mwaka mzima kupitia chanzo hicho. Aidha anaelezea gharama ya kubandika matangazo kwenye gari. Inafikia...
5 Reactions
9 Replies
462 Views
Habari? Nina milion2 kama kianzio naona nitafute bajaji ya mkopo, vipi inawezekana na inautaratibu upi? Hii pesa nimekosa wazo zuri la biashara naona itaisha tu. Au kama kuna mtu ana wazo zuri...
1 Reactions
7 Replies
505 Views
Awali ya yote Napenda Kushukuru na Kupongeza Jukwaa kwa Mawazo Elekezi. Naomba nielimishwe/nijulishwe juu ya Biashara ya Stationaries kwa ujumla, (Uuzaji wa Tonner, Karatasi, madaftari, peni...
6 Reactions
599 Replies
277K Views
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Mussa Mbura amezungumzia mafanikio ya Viwanja vya Ndege nchini katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa Rais Samia Suluhu...
2 Reactions
6 Replies
602 Views
Back
Top Bottom