Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wakuu za muda huu; Dah, mimi naitumiaga sana, lakini sijujua kumbe brand yake ni ya kitambo sana, mwenye maelezo zaidi atatusaidia kwenye comment hapa chini. Picha hapo chini zinajieleza. NB...
5 Reactions
27 Replies
1K Views
Asalaam wana jamii, Mimi nafanya kazi ya bajaj, hua nanunua na kuziweka kwenye mkataba lakini mwaka moja sasa bajaj kimekua zina panda bei vibaja mno Mwaka jana nilikua nanunua kwa bei ya 8.1...
13 Reactions
33 Replies
2K Views
Habari wana JF, Mimi ni Mtanzania mwenye elimu ngazi ya Degree ya biashara katika uhasibu. Natafuta kazi ya kuandaa Payroll na tax zake monthly kama Part time kwa gharama nafuu kabisa. Nina...
1 Reactions
1 Replies
285 Views
Habari za wakati huu. Nianze kwa kukiri kuwa mimi ni wakala wa NMB,Nataka kutoa malalamiko yangu kwa Bank hii kuhusu kamisheni tunazopewa kwa kazi ya uwakala ukilinganisha na hela wanayokatwa...
1 Reactions
10 Replies
902 Views
Ni nadra sana kuwa tajiri overnight everything is a process and it takes time you have to fight your way through riches nothing comes easily
6 Reactions
33 Replies
893 Views
Unahitaji gari la kuaminika kwa siku chache au wiki? Usiende mbali! Rhond's company limited huduma zetu za kukodisha magari zinatoa: Magari yaliyotunzwa vizuri Vipindi vya ukodishaji...
0 Reactions
1 Replies
170 Views
📖MHADHARA WA 13 Hello mjasiriamali mwenzangu. Naomba leo nishee mambo sita (6) muhimu ambayo ukiyazingatia hutopoteza wateja. Kama unataka kufungua biashara, au tayari umefungua biashara zingatia...
6 Reactions
3 Replies
855 Views
Salaam JF. Nimekuja hapa nikiwa na imani ya kuwa jf ni uwanja mpana uliosheheni watu wenye ujuzi tofauti. Nimeanzisha huu uzi kwa malengo ya kupeana elimu na uzoefu katika masuala mazima ya...
0 Reactions
1 Replies
375 Views
wapendwa Ukiacha biashara nilizonazo nimeamua kujikita kwenye biashara ya kiti moto. kwa wale wa Dar tujuzane inahitaji mtaji wa sh ngapi kuanzia. Mahali pa biashara papo fridge zipo mizani ipo...
3 Reactions
16 Replies
667 Views
Rejea kichwa cha habari apo juu kuna viwanja ambavyo vimekatwa vinauzwa vyenye Square mita 500 kila kimoja eneo ni zuri na viko karibu na shule ya secondary ya The new ambassador..kutoka viwanja...
0 Reactions
3 Replies
372 Views
Habari zenu ninataka kununua vitu online supplier anataka address ya msafirishaji ntakaemtumia, nimefanya research nimegundua kuna makampuni mengi ya usafirishaji. Naomba mliowahi kusafirisha...
3 Reactions
8 Replies
710 Views
Wote tumedanganywa kwamba eti waliofanilikwa ni wavivu na wanapenda kurahisisha mambo ndo maana wamefanikiwa where ukweli ni vice versa waliofanikiwa ndo watu wanaopambana kupita kiasi Point...
1 Reactions
0 Replies
222 Views
Price:3 mil Location:Mwanza Contact:0786673553 Engine:200 cc
4 Reactions
9 Replies
340 Views
Tunakodisha eneo la wazi la kufanyia shughuli mbali mbali kama sherehe, maafali, kipaimara nakadhalika... karibuni sana Kwa mawasiliano piga; 0684101707
4 Reactions
2 Replies
244 Views
Gharama za ununuzi na usajili - 2,800,000 Mkataba – miezi 13 (siku 365 za mwaka + 30 za mwezi moja) Hesabu ya siku – elf 10 Hesabu ya miezi 13 – elf 10 x siku 395 = 3,950,000 Faida miezi 13 =...
12 Reactions
29 Replies
2K Views
Wadau naomba kufaham japo kwa uchache kuhusu uanzishwaji wa online tv ambayo labda kwa kuanzia itafanya kazi Dar es salaam tu! Nifaham kuhusu vibali vya TCRA, gharama za camera, mic na nyenzo...
1 Reactions
30 Replies
1K Views
Nimewaza bora niuwe ndege wawili kwa jiwe 1 vip hii inaweza kufaa na vip changamoto zake?maana itakua two in one. Asanteni wakuu.
7 Reactions
35 Replies
545 Views
Naomba kupata uzoefu kwa mwenye uelewa juu ya hizi mashine za kusafisha maji chumvi kuwa maji safi ambazo kwenye baadhi ya miji zimefungwa na zimekuwa msaada sana kwa maeneo yenye adha kubwa ya...
1 Reactions
1 Replies
226 Views
Habari za usiku watanzania wenzangu.. Naomba kuuliza hili jambo kwa wanaofahamu.. Nimekuwa na mpango muda mrefu wa kuanzisha NGO itakayojihusisha na nyanja fulani ya maisha ila nikawa nasuasua...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom