Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Nina lengo la kuagiza machine nje kwaajili ya biashara hii nadhani ni Mpya nachowaza sana ni soko na namna ya kuitangaza
1 Reactions
4 Replies
298 Views
Wakuu, nahitaji wazo la biashara ndogondogo yoyote Location: Dar es salaam
3 Reactions
7 Replies
562 Views
Tips: Start thy purse to fattening (Pay yourself first using the skills you already have) Control thy expenditures (Keep your expenses low) Make thy gold multiply (Invest what you save) Guard thy...
4 Reactions
5 Replies
393 Views
Siku hizi mitandaoni hata JF kumekuwa na posts na comments nyingi sana za chuki. Single Mama na waalimu wamekuwa wahanga wakuu wa hizi chuki. Pamoja na wingi wa watu wenye roho mbaya ila bado wapo...
32 Reactions
57 Replies
2K Views
Kwa Wataalamu wa kodi, Mtanzania akinunua gari dogo la kutembelea kwenye duka la magari kenya atawajibika kulipa kodi Kenya na Tanzania? Pia soma: Zijue gharama za kodi kabla hujaagiza gari
2 Reactions
17 Replies
582 Views
Nahitaji kufanya biashara ya mayai, nani supplier au mzalishaji mkubwa. Niko dar
2 Reactions
18 Replies
799 Views
Salaam wakuu. Wakuu nahitaji kufanya hii biashara ya vifungashio. kwahiyo nilikuwa nahitaji kujulishwa kilipo kiwanda cha viroba vya kg100 vile vya kijani na nahitaji viroba bora sio bora...
0 Reactions
3 Replies
243 Views
HABARI WANA JAMII NATAFUTA MASHINE YA KUKANDIA MAANDAZI .HATA IKIWA USED AS NEW ITAKUWA POA. Kwa mawasiliano zaidi pm wanangu.
0 Reactions
11 Replies
629 Views
📖MHADHARA WA 14: Sisi tunaokuja kuomba kazi kwenye maofisi yenu huwa mnatuomba UZOEFU. Swali kubwa mnalotuuliza; "Una uzoefu wa miaka mingapi kazini?" Hakuna shida; ubaya ubwela. Ngoja basi na...
16 Reactions
25 Replies
1K Views
Habari za wakati huu ndugu zangu wa JF, tukiendelea na mapambano ya kila siku Kwenye harakati za mapambano nimefikiria kutafuta eneo kwa ajili ya kuuza maziwa ikibidi kuongeza na bites na vitu...
1 Reactions
6 Replies
993 Views
Kwenye industry ya forex sio lazima utrade huku Kuna fursa nyingi nje ya kutrade na ukapiga pesa Safi 1. Unaweza kuwa agent wa malipo ya pesa , Hawa ni watu wanaowasaidia traders katika kudeposit...
1 Reactions
1 Replies
594 Views
Naomba mnishauri ni maeneo gani hapa Dar yanafaa kuanzisha biashara ya nafaka na mafuta ya kupikia kwa jumla na Rejareja? Nimepata mtaji 10M nataka nianzishe store ya kuuza nafaka but naomba...
0 Reactions
0 Replies
678 Views
Watu wengi hawaelewi namna ya kuendesha Business Online Kipengele muhimu usifanye kujaribisha Zingatia sana Jifunze mbinu za dominate sphere ulio ichagua Bila kujifunza huwezi kufanya Kwa usahihi...
2 Reactions
4 Replies
294 Views
Naomba niende chap kwenye point yangu. Nimekuwa mzoefu na sehemu za mgodi kwasababu pia nimefanya kazi mgodini,huko buana kuna fura nyingi ambazo zina ela nzuri tu. Mfano kwa mtu abaeweza...
13 Reactions
31 Replies
3K Views
In today’s digital age, social networks offer numerous opportunities for making money. With billions of users globally, platforms like Facebook, Instagram, Twitter, LinkedIn, and TikTok can be...
1 Reactions
2 Replies
328 Views
  • Poll Poll
Money management ni moja ya life skills muhimu sana unayotakiwa kuiboresha, lakini bahati mbaya sio kitu ambacho kinafundishwa shuleni. Wapo tayari kutufundisha Kiundani zaidi historia ya akina...
9 Reactions
7 Replies
744 Views
WAZIRI MAVUNDE AAGIZA LESENI ZA UTAFITI 45 MKOANI RUKWA KUREJESHWA SERIKALINI -Ni Leseni ambazo hazifanyiwi kazi na kuzuia maelfu ya wachimbaji kuchimba -Eneo lililorejeshwa la ekari 812,383 ni...
0 Reactions
1 Replies
203 Views
Habar wanajf naimani mko powa Sana Leo nataka tujadili kuhusuu hii idea siyo ngeni maana maduka kazaa nishawah ona so ntaka mnishauriii kidogo.. Nataka kufungua duka la vifaa vifaa vya...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Rwandair wanatua destinations za mashiko kibiashara 1. London Heathrow, 2. Brussels, 3. Paris, 4. Dubai, 5. Doha, 6. Mumbai, 7. Lagos, 8. Douala, 9. Libreville, 10. Accra, 11. Dar, 12...
4 Reactions
8 Replies
640 Views
Nimewahi kuziona Baa kadhaa ambazo sikuwahi kudhania kabisa zitakuja kupoteza wateja, Wateja walihama kwa style za kimafia sana, yani vuuup!! ghafla bar inaanza kuwa tupu !! sio kwamba bar...
7 Reactions
21 Replies
1K Views
Back
Top Bottom