Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Habari, mimi nimeamua kujitafuta kwa kutengeneza ubuyu, natafuta duka au soko ili niwe nauza kwa jumla. Nipo Morogoro Mazimbu.
0 Reactions
1 Replies
121 Views
Habari za wakti huu, Ni matumaini yangu kwamba nyote mnaendelea Vizuri na Shughuli za Ujenzi wa Taifa. Hata mimi niko Salama. Ni muda mrefu sana tangu niweke andiko rasmi hapa Jukwaani, hata...
3 Reactions
7 Replies
867 Views
PENYE UMASKINI NDIPO UTASIKIA MITIZAMO MINGI YA KISHIRIKINA. Kuna sababu nyingi za watu kuwa washirikina na kati ya sababu hizo umaskini ni moja wapo. Umaskini wa mawazo na kifedha ni sababu...
4 Reactions
17 Replies
550 Views
Soko la hisa la Dar es Salaam lina makampuni 26 yaliyo jiorodhesha. Katika hayo kuna makampuni yanayofanya vibaya na yale yanayo chechemea. Tuangalie orodha ya makampuni yaliyo na hali mbaya na...
38 Reactions
117 Replies
6K Views
Wateja karibuni bei ya shamba hiyo. DM for business. Location Dar na Katumba
1 Reactions
1 Replies
235 Views
WAZIRI MAVUNDE: ASLIMIA 20 YA UZALISHAJI DHAHABU NI KWAAJILI YA AKIBA YA NCHI Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Peter Mavunde amesema kuwa kupitia kikao cha Wadau wa Madini, Wizara ya Madini na...
0 Reactions
0 Replies
171 Views
Habari, "Tafuta kiwanja, Jenga, Oa/Olewa, nunua mkoko", njia hii na mawazo haya yamekuwa kwa vijana wengi wanaoanza maisha, hususani waliobarikiwa kupata ajira au biashara zao binafsi ambazo...
69 Reactions
223 Replies
29K Views
OFFLINE ❌ ❌ 🥶
0 Reactions
0 Replies
309 Views
Wadau Mimi ni mtumishi wa afya, mshahara wangu unaniruhusu kukopa mil 15. Nataka nikope mil 15 niwe nakatwa kwenye mshahara Kwa miaka sita, Nichukie mil 10 niingie kwenye mpunga na mahindi...
9 Reactions
57 Replies
2K Views
Salaam wakuu: Kama ushamaliza chuo na bado hujaajiriwa kwenye taasisi yoyote ya serikali au private Tunajaribu kusaidiana na kukumbushana, japo hiki kitu vijana wengi wanafanya. Acha kubet na...
36 Reactions
48 Replies
3K Views
Habari Wana jamii forum LBD cocktail ni cocktail Ina sifa gani na zinauzwa sh ngapi hapa dar kwenye bar au club Ina pombe au haina? Tamu au chungu?
0 Reactions
0 Replies
104 Views
NAIBU WAZIRI MKUU BITEKO AIPONGEZA WIZARA YA MADINI KWA MPANGO WA KUONGEZA AKIBA YA DHAHABU NCHINI. -Awataka wadau kuunga mkono mpango wa Serikali -Waziri Mavunde asema mgomo umeisha kupitia...
0 Reactions
6 Replies
236 Views
Habari za Leo wajasilia Mali. Mimi ni mfugaji wa kuwa nyama, hupendelea sana kufuga kuku aina ya sasso Kwa sababu hawashambuliwi sana na magonjwa. Sasa Leo nilikuwa naomba elimu kwenye nataka...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kuwa tajiri mara nyingi kunategemea mchanganyiko wa mambo, na bahati huweza kuwa na nafasi, ingawa kwa kawaida siyo kipengele pekee cha utajiri. Watu wengi wenye mafanikio wanakiri kuwa...
4 Reactions
35 Replies
2K Views
Mhadhara - 38: Baada ya kumaliza matembezi yangu kwa takribani wiki mbili kule jijini Mbeya. Leo nimefika Dar es salaam hivyo naomba niwashauri wafanyabiashara (wawekezaji) wakubwa wa kule Mbeya...
1 Reactions
3 Replies
410 Views
Katika kusheherekea siku ya bia duniani, Kampuni ya Bia ya Tanzania (TBL), inayoongoza kwa utengenezaji wa vinywaji hapa nchini, leo imezindua Kampeni yake ya ‘Smart Drinking’ yenye lengo la kutoa...
1 Reactions
9 Replies
320 Views
Habari za wakati huu wana JF, natumai mko salama na mwaendelea na mapambano ya kujitafutia mkate wa kila siku. Niende moja kwa moja kwenye mada yangu. Mimi nipo jijini Mwanza na nimekuja kwenu...
1 Reactions
3 Replies
275 Views
Habari wanajukwaa , Korosho ni zao ambalo hulimwa mikoa ya Mtwara na Lindi, Na ni zao kuu la biashara katika mikoa hiyo. Biashara ya ununuzi wa korosho, imewatoa watu wengi sana kutokana na...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wadau nauza eneo langu la biashara rangi 3 nimelipia kodi miezi 4 nauza kwa laki moja na 20 lipo karibu na sheli ya puma jirani na dar live wanaotaka kuuza makava ya simu,viatu vya kiume na...
4 Reactions
8 Replies
450 Views
Ni biashara ambayo huwa naifanya kipindi ambacho game ya mpira toleo jipya likitoka, silaha kuu ni kujitahidi kuwa mtu wa mwanzo kabisa kumiliki mali, inasaidia sana kufahamika kirahisi na kuweka...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom