Salaam wadau
Katika moja ya idea(project) zangu zilizo kichwani ni biashara ya kukodisha makokoteni, dhumuni kubwa la kutaka kuanzisha hii biashara ni kukuza au kutengeneza mtaji wangu mwenyewe...
Bank za Barclays barani Afrika kubadilishwa jina na sasa kuwa ABSA bank, hii ni baada ya Barclays ya Uingereza kuamua kuachana na biashara ya Africa na kuuza hisa zao nyingi za Barclays Africa.
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Neutral
The market did not do anything significant last week. In fact, the market has generally been choppy since February...
The latest Deloitte African PE Confidence Survey indicates that investors interest in TZ has increased from 52% in 2016 to 67% in 2017. This is good news
Habar wakuu
Wiki 3 zilizopita nimeweza kufungua biashara ya miamala ya pesa (tigo pesa&m pesa) matarajio yangu ni angalau kwa mwez iniingizie si chini ya 50,0000 kwa mwezi
Kabla ya kumuweka mtu...
Ukipata pesa leo halafu uka nunua kiwanja, usitafute pesa ya kuanza kujenga, bali tufuta pesa fanya kitu amabacho kitaingiza kipatao kingine kwa ajili ya kujenga kwenye kiwanja hicho, Ni Sawa...
Habarini wandgu?
Nina simu ya smarphone na huwa natumia muda mwingi saana kutumia kwa ajili ya social media n.k.
Nimejitathimini na kujiuliza je kupitia hizi social media zinazonyonya muda wangu...
Kuna uzi uliletwa humu kama sikosei ilikuwa tarehe 22 February uliosema kuwa fursa yakujipatia pikipiki mpya kwaajili yakufanyia kazi kutoka kwawaziri waviwanda nauwekezaji Ndugu Charles mwijage...
Je, mnajua ni kosa kwa watu binafsi kukopeshana kwa riba?
Ni muhimu sana kwenu kulijua hili. Anakuja mtu anaomba umkopeshe hela.Unamkubalia lakini kwa sharti la riba ya kiasi...
Habari wadau;
Ndugu yangu ako na 15,000,000 nahitaji biashara itakyompa profit isiyopungua 3m kwa mwezi.Je ni biashara gani inaweza kuwa na return hiyo
Asnateni kwa msaada
Najua watz wengi tunapenda michezo mbalimbali na haswa huu mpira wa miguu.
Na hiii imeenda mbali zaidi kufikia hatua ya watz wenzetu kuiona hii ni kama fursa kwao ya kujiingizia kipato kulingana...
Waslaamu,
Naomba maelekezo kwa aliyewahiq kukopa katika mabank hapa nchini,kwa miradi ya kilimo cha kumwagilia na greenhouse.
Nitashukuru kupata maelekezo yenu.
Siku njema.
1.Mfumo wa kutokupeda kujifunza,sio wengi wetu wanao penda kujifunza wengi wetu tunapeda kufanya mambo bila hata kufikiria namna ya kupata maarifa ya kutosha kuhusiana nalo.
Tanzania tunayo...
Habari za kuamka
Wanahitajika wabia wanne wenye uwezo wa kuwekeza katia ya milioni 1.5 hadi 7 katika biashara inayohusu elimu.Matarajio ya faida ni kati ya shilingi 300,000 hadi 750,000 kwa miezi...
Wakuu nilikuwa na mpango wa Kuagiza mashine kutoka China na nisha pata hadi Proformal Invoice, Ila baada ya kuwasiliana na Ma agent walinipigia ghalama za kufa mtu ikiwemo kodi, Ikabidi nifuatilie...
Salaam Wakuu,
Ni dhahir shair bila chembe ya kumung'unya kuwa uchumi umedorora, biashara zinafungwa na hali ya uchumi imekuwa ngumu kuitabiri
Sabab mjasiriamali sio mwanasiasa ayo mengine...