Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wakati business plan nyingi huandikwa kuzishawishi benki au wawekezaji ili kukopesha pesa, business plan nyingine nyingi huandaliwa ili kuangalia kama business idea iliyopendekezwa inaweza kuwa...
12 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wadau; Kwa wanofahamu kuhusu hii biashara ya insurance Agency ningependa kujua; Taratibu za kufuata kabla ya kuanzisha Kodi zake huko TRA Gharama ya Leseni Kiasi cha mtaji Jinsi faida...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish This pair did nothing significant last week: It only moved sideways. However, the bullish bias on the market has been...
0 Reactions
0 Replies
509 Views
Habari wadau. Naomba kuelimishwa kidogo, au tuelimishane, Mtanzania anakatwa kodi kwenye mapato yake (mshahara) then akienda kununua vitu au kupata huduma kutumia pesa ile ambayo amekatwa kodi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Katika siku za hizi karibuni naonekana ni vigumu sana kwa wiki moja kupita bila kuwapo taasisi yoyote itakayochapisha ripoti kuhusuTanzania. Wiki iliyopita ilikuwa zamu ya Benki ya Maendeleoya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Biashara hii itakupa majibu ya kwanini uache; KUKAA MTAANI,KUBET,FOREX TRADING,BITCOIN,ONLINE BUSINESS ISIYO NA TIJA NA PENGINE KUACHA KUAJIRIWA REAL ESTATE NI NINI? Real...
1 Reactions
26 Replies
11K Views
Kwa wadau na wauzaji wa sabuni, ni kiasi gani kinapatikana kwa sabuni za unga mkiuza reja reja ?
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Kama heading hapo Juu, Mimi ni mfanyabiashara wa kati(middle class) kwa wajuvi wa suala langu hilo maoni yenu tafadhali.
1 Reactions
1 Replies
899 Views
Mr. & Mrs na vijana wengine Naomba ushauri wenu niko njiani kuanza biashara ya biashara ya Tgo pesa na mtaji niliokuwa nao ni (Tsh300000] tuu je nianze na mtaji huu mdogo au niongee kwakuchukua...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
jaman wana jamvi habarin za asubuhi, twende kwenye mada Mimi nataka knunua pikipiki ya kutembelea kwa MTU lakini sijajua taratibu zikoje, ikizingatiwa hii ndo mara ya kwanza kufanya biashara...
0 Reactions
28 Replies
14K Views
Hi great thinkers Jana katika mitandao mbalimbali nchini kuligubikwa na taarifa za JPM kulipa bilioni 200 Kwa wadai wa ndani. Napongeza hatua hii kwakuwa mvua zimeanza kunyesha sehemu nyingi...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari za humu brothers nd sisters ..... Nimepokea shutuma katika moja ya thread kuhusu biashara ambapo muhusika alikuwa akihitaji ushauri kuhusu biashara ya kufanya na mima kumshauri kufanya...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Wana Jf habar; Nimekuwa nikizipitia hizi sifa za kufungua kampuni ya Uwakala wa forodha kwakwel mashart yake ni magumu, ikizingatiwa na hali ya upatkanaji wa pesa halafu TRA anahitaji uweke Bond...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kwa wale wenye uzoefu wa biashara za kuzungusha bidhaa mbali mbali za maduka ya nguo na vitu vidogo vidogo vijijini nisaidie nataka nianze Kazi hii bora niende kijijini nimeona Kuna pesa nzuri...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa wale wenye uzoefu wa taaluma za "finance" na uwekezaji wataelewa kuhusu "capital pool" au mutual fund. Huo ni uwekezaji wa kuchangia mtaji kwa faida ya wengi ambapo aidha unapunguza makali ya...
9 Reactions
174 Replies
22K Views
Mimi nakaribia kuwashindwa hawa jamaa...manake siwaelewi.Baada ya kusikia matangazo yao matamu kwenye Power Breakfast nikapata mzuka wa kuwekeza kwao ...na nikajua wapo serious lakini tangu last...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Habar wakuu Naomba ushauri wenu Nataka kuanzisha biashara ya kuuza pampers za watoto naomba kujua faida yake na changamoto zake kwa mkoa wa dar me nimepanga nitafute vijana kama 5 ivi halaf wawe...
1 Reactions
2 Replies
6K Views
Habari zenu waungwana, Kuna biashara nilikuwa nafanya, yakuchukua mahindi hadi tone kumi kutoka mikoani, kuleta DSM. Sasa soko limeyumba kidogo hapa DSM, nikaamua kuanza kununulia hapahapa. Ishu...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
wakuu,habari nimeona nianzishe uzi huu maalumu kwa ajili ya kuwahamasisha vijana wa kitanzania kutokata tamaa ya kimaisha pamoja na magumu yanayotupitia ya kusaka chapaa,unaweza kuweka historia...
6 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom