Wenye mapenzi ya biashara mliopo mikoaa hiyo mnaawezaa kupiga pesa na kupata milioni kwa mwezi ila mtaji uwe milioni 8-10 ndo utaweza Fanya Mwenye shida ya kujua na Mwenye mtaji aje pm
Pengo baina ya matajiri wakubwa na watu wa kawaida lilipanuka zaidi mwaka jana kwa mujibu wa shirika la Oxfam.
Asilmia 82 ya fedha zilizotengenezwa mwaka jana zilikwenda kwa asilimia moja tu ya...
Habari wana jamii forums,
Napenda kuwataarifu kuwa kwa wale wanaotembelea jukwaa la Mjasiriamali Desk, wanachama/wasio wanachama sasa wanaweza kutembelea jukwa hilo kwa urahisi sana kupitia simu...
Nasikia Forex, Nadex sijui nini.
Naona wengi wamemezwa na kampeni hiyo waki haidiwa kutajirika haraka.
Nakuasa kijana wangu, hakuna pesa rahisi, kila pesa ina jasho.
Ewe mwenye vipesa vyako...
Huenda zimeshaelezwa ila sio kwa maneno mepesi sana.
Hizi hapa ukizifuata hakika unatusua vema sana popote duania!
1. Uwepo wa soko
~ Kwamba biashara hio unayotaka kufanya vipi ina soko? Jijibu...
Wanabodi salama?
Nimepanga kufanya study tours za kutosha 2015 ili niweze kuimarisha shughuli zangu za ujasiriamali. Nilishawahi kufanya huko nyuma,niliyoyaona yalinipa hamasa ya kufanya vizuri...
Contact Email Address: donald.asheri@gmail.com
Kwa wafanya biashara
Napenda kuwaarifu kuwa natoa huduma zifuatazo:
MAJOR AREAS OF SPECIALIZATION
1. Business Advisory Services – business...
When economists are trying to understand the economics of growth, they usually go by the numbers. Yet, not only don’t the numbers always add up, they also lack the dimension and context needed to...
Habari wanabodi, kuna mkopo unahitajika urgent wa kiasi cha Milioni 4.
Dhamana ya mkopo huo: Kadi ya gari aina ya IST.
Kwa maelezo zaidi kuhusu picha, mawasiliano,nyaraka zingine muhimu na...
Habari wakuu natumai nyote ni wazima wa afya kabisa
Husika na kichwa cha habari hapo juu kwa mwenye ufahamu wa kusafirisha mizigo nchi za west na south africa kwa gharama nafuu naomba anielekeze
Ni maajabu sana mtu kukosa hela! Na ni ujinga uliokomaa!
Binadamu wana mahitaji mengi sana.Fursa ni kemkem kila mahali na kila sekunde iendayo kwa MUNGU.
1. Umeshindwa kufuga?
2. Umeshindwa...
Wandugu naomb mjihadahri na hawa watu. Hivi ni kwanini wabongo hatujifunzi tu?? Jaribu kuingia kw website yao ,halafu pima kama kuna ukweli.
Soma muongozo vizuri kabla ya kuchangia
Mfumo ni...
amani iwe nanyi ndugu zangu,kuna hii kitu inanishangaza sana utakuta kijana mfanya kazi za kawaida sana tukiachana na kazi zenye mishahara mikubwa kama ubunge hapa nazungumzia kwa mwanajeshi...
Habari za Jumapili,
Sera ya nchi tunaambiwa "HAPA KAZI TU"
Mimi ni kibarua katika kampuni moja hivi ya simu za mikononi lakini mnajua maana ya kibarua unaweza ukaamka ukaambiwa "your no longer"...
#FAHAMU Dubai ndio Mji pekee duniani ambayo askari polisi wake wanatumia magari ya kifahari zaidi na yenye spidi kali zaidi.
Polisi hao wanatumia magari aina ya Bugatti Veyron, Ferrarri FF au...
Habari zenu wanajamvi,ni matumain yangu mko salama.
Naomba kuuliza biashara ya kutumia selcom machine inalipa kwa wanaoifahamu?
Pili ukiwa na ile machine uweke biashara gani ya kuisupport ili...
Habari za Jumapili watu wa Mungu.
Ni matumaini yangu mu wazima kabisa. Pole kwa yeyote mweye matatizo, ndio ubinaadamu. Niende kwenye mada.
Miaka kadhaa iliyopita tulipata kusikia kuhusu upatu...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
This pair consolidated throughout last week, moving between the resistance line at 1.2300 and the support line at...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.