Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kwa hali ya maisha ya watanzania walio wengi ni VIGUMU sana kuishi bila kukopa. Vinavyokopwa ni vingi kianzia fedha, vyakula, nguo na bidhaa nyingine. Ziko sababu kadhaa ambazo HUMLAZIMU mtu...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanajamii, kwa wale wenye uelewa mzuri kuhusu hizi taasisi za kifedha,ni ipi hasa inatoa mkopo mzuri na kwa riba kidogo? Swali lingine ni utaratibu wa paying off loan, yaani ulichukua mkopo...
3 Reactions
151 Replies
65K Views
Naamini humu kuna kila aina ya watu wanaoweza kunielimisha kuhusu hili. Hivi ni benki gani hapa nchini ambayo inalipa interest nzuri katika ule mpango wa Fixed Account? Mfano ukiwa na milioni moja...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Tunapatikana kkoo msimbaz na China Plaza FL ya pili ukiagza tunakuletea ulipo mda wowote sisi ni huduma kwanza malipo baadae free delivery
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Tunapatikana kkoo msimbaz na China Plaza FL ya pili ukiagza tunakuletea ulipo mda wowote sisi ni huduma kwanza malipo baadae free delivery
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wafanyabiashara wengi wachanga huanza safari yao na ndoto ya kufanya makubwa katika ulimwengu wa biashara. Kuanza biashara na kuendeleza kwa ufanisi ni changamoto kubwa sana. Kunahitajika...
4 Reactions
36 Replies
6K Views
Salaam wanaJambo wenzangu. Nilitokea kupita mitaa ya Arusha siku chache zilizopita na kwa mshangao wangu mkubwa nikakuta kwamba kiwanda cha General Tyre (Njiro Area) kimefungwa.... Nilifanikiwa...
0 Reactions
92 Replies
17K Views
Habarini wakuu, Kama kichwa cha habari hapo juu. Naomba kwa wajumbe humu ndani wenye kuwa na Moyo, niazimeni kiasi cha shilingi milioni moja. Lengo la kupata kiasi hicho cha pesa ni kuongezea...
3 Reactions
55 Replies
7K Views
Wakuu habari zenu,ninatafuta kujua bei ya fusso used toka Japan or anywhere ambako zinapatikana. Specification ni Fighter Box yenye engine ya D16. Please mwenye idea naomba anipe msaada wa kufaham...
0 Reactions
9 Replies
18K Views
Habarini wajasiliamali Mimi ni mwanamke wa miaka 29 nataka nianze biashara ya umachinga naombeni ushauri biashara gani inatoka sana huko mitaani hasa maeneo ya mjini kama kariakoo kwa mtaji wa...
2 Reactions
43 Replies
8K Views
Kwa wale wauzaji wa jumla tuwasiliane nataka nianze kufuga kuku wa kutotolesha mayai naanza na vifaranga 150 tu, na naombe ushaur namna ya kuanza kufanya biashara hii ya ufugaji wa kuku wa mayai...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta mwingi ya njano kuanzia tani 5 na kuendelea, mwenye nayo anijulishe.
0 Reactions
1 Replies
630 Views
Tanzania: kama familia ya mama Pekupeku Nani aje kuisimamisha nchi yetu katika mzunguuko huu wa matukio na umasikini? Kwa maana bila yavyo, hatutoki ng'oo! Kwamba ukiitafakari nchi hii, na yale...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nipo hapa vingunguti kkkt kanisan stend kubwa kabisa ya daladala yaani 90%ya wanavingunguti hii ndio starting point ya safari zao nyingi hasa za kuelekea ndani ya mji na maeneo mengine. Nilipata...
2 Reactions
0 Replies
468 Views
Karibu kila mtoto wa shule ya msingi utakayekutana naye leo ukamuuliza (kwa wale wanaojitambua) anataka kufika wapi kielimu, atakuambia anataka kufika Chuo Kikuu. Ni ndoto ya karibu kila mtoto...
9 Reactions
21 Replies
3K Views
Muda sio mrefu wale mnao deal na forex mtakufa kufa midomo wazi! Baada ya upepo wa hizi visual currency kuanza kudorola. Kuweni makini na hizi exchange maana kuna mtu mmoja kaja na mtazamo wake wa...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Kwa mfano: KILIMO kinalipa kwa sababu kila siku lazima wale chakula. Ndo maana hii ni fursa kubwa Africa hata sasa kwa sababu kuna nchi zina uhaba wa chakula. Ningependa tu-orodheshe...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
[emoji830]Kuna jambo ambalo linawaangusha wafanyabiashara wengi na kuwafanya washindwe kufikia mafanikio [emoji117]Jambo lenyewe ni *kutokuwa na subira,* Kwa mfano mtu unapongia katika...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Kuna hawa jamaa wanajiita WOP, Himo-Tuneries aisee wana Products za viatu, bags, football, mikanda, n.k vyoti ni ngozi original. Niliwahi kununua kiatu miaka mitano iliyopita mpaka sasa utafikiri...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Natafuta mahali au duka napoweza kupata Ethernet cable kwa ajili ya Internet. Nisaidieni wakuu wangu wenyeji wa Arusha hapa, mie mgeni. Nimezunguka zunguka maduka baadhi hata Sipati.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom