Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wakuu habari za muda huu. Nakuja mbele yenu na mambo kadhaa ambayo naomba mwenye kujua chochote juu yake anijuze. Hivi, wachoraji wa picha za tingatinga zile rangi wanazotumia ni rangi za aina...
0 Reactions
11 Replies
9K Views
Habari za jumapili, poleni na kazi za wiki nzima. Nataka kuanzishaa biashara ya kuuza mayai ya kienyeje yale local kbss yani kiini cha njanoo na sio chotaraa. Naombeni ushauri ni wapi naweza pata...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wanajamii forum.. Naomba kufahamishwa.. Nataka kuagiza basi aina ya Youtong kutoka china,,, Nataka kujua kuhusu 1..bei 2..ghalama za usafirishaji 3..kodi kwa hapa Tz 4.. Na ghalama...
1 Reactions
22 Replies
15K Views
Waungwana poleni na majukumu!,nakusudia kuanza harakati naomba tujulishane nani amewahi kupata mtaji kamili au kuongezewa mtaji na taasisi ya fedha kupitia 'Business Plan' yake au ndo zimebakia...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
AngloGold, African Barrick in Talks on Tanzanian Tax Refunds 2011-04-26 By David Malingha Doya April 26 (Bloomberg) -- AngloGold Ashanti Ltd., African Barrick Gold Ltd. and other miners of...
4 Reactions
68 Replies
7K Views
Wapenzi wana jf hamjambo? Nimekuwa nikitamani kufanya biashara za kijasiria mali na mda mwingi mimetamani kujua haya kama mada tajwa hapo juu. A. SOKO LA SUNGURA. Hii inamaama kuwa nataka kufuga...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Ni Kwa muda sasa nimekuwa nikiifuatilia hii biashara ambayo si maarufu hapa nchini kwetu Tanzania .Biashara hii imejikita katika ukusanyaji na uuzaji wa kazi mbalimbali za zanaa za ubunifu mfano ...
3 Reactions
8 Replies
6K Views
If you’re one of the many business owners spinning numerous plates and tackling everything that needs doing single-handed, or indeed if you’re a consultant helping said business owners in areas...
2 Reactions
24 Replies
6K Views
Salute comrades, Kuna exchange programe ya NGO moja nilifanya application, nikaitwa interview mara kadhaa na hatimae jana nilipokea email kuwa mimi ni mmoja wa vijana kumi ambao tutaenda kwenye...
2 Reactions
20 Replies
5K Views
Salaam wakuu. Nimevutiwa na taarifa niliyoisoma kwamba kampuni Fulani inayojihusisha na michezo ya kubahatisha imelipa bilioni mia mbili na milioni mia moja kama kodi kwa kile walichoingiza mwezi...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
SIYO KILA MWENDAWAZIMU NI MWENDAWAZIMU !! Palikua na mfalme na mwendawazimu ambao walikutana makaburini. Mfalme: imekuaje wewe unaishi makaburi siku zote?! Na hutaki kuondoka mahala hapa...
4 Reactions
0 Replies
1K Views
Bitcoin imepanda sana wiki hii. Leo imefika 2850.01usd update: Leo August 13 bicoin imefika $4145 kweli natamani mifumo yetu ingekubali matumizi ya fedha hizi za kimtandao na kusaidia kuepusha...
3 Reactions
59 Replies
14K Views
Kwanza napenda ku "declare interest". Kama kuna ex-diaspora basi mimi nime qualify. "Opportunity is rare, grab it when it appears". Hivi karibuni tulianzisha mjadala wa tulioupa kichwa cha...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Maana kuna wengine wanazitumia kujipatia maendeleo
0 Reactions
3 Replies
738 Views
Dear wana jamii forum, Naitaji kufanya biashara ya mkaa bora( biomass briquette). Nimefanya uchunguzi nikaambiwa kuna kiwanda kipo tanga kinatengeneza kwa wingi, tatizo sijajua kipo tanga sehemu...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wapendwa mm ni kijana nilihetimu chuo na kwa sasa kama mnavyojua ajira zinasumbua sana nimekuja na wazo moja la kufanya biashara ingawa sina uzoefu na biashara. Naomba ushauri wenu naitaji kufanya...
1 Reactions
10 Replies
6K Views
Wana jukwaa ninasikitishwa sana na bei ya kahawa nchini kwetu ukilinganisha na wenzetu wa Uganda ukizingatia kwamba wao ni lazima waipitishe nchini kwetu kkabla ya kwenda kwenye soko la dunia...
0 Reactions
8 Replies
11K Views
wakuu habari, ninampango wa kufungua shule ya awali au kwa jina lingine ni chekechea, lakini itakuwa na mfumo wa English medium na pia nitaweka day care. ombi language Kwenu kama kuna mtu mwenye...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu husika na kichwa cha habari hapo juu mimi ni kijana nisiye na ajira ila nimepanga kuanzisha biashara nahitaji mkopo wa 2 million ni taasisi gani riba zao ni nafuu msaada...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wadau? Mimi ni mjasiliamali naishi Singida. Natafuta mtu mwenye stationary au aliefunga biashara hiyo ila ana mashine ya kutolea copy ya ziada au haitumi. Nahitaji kukodisha au...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom