Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kwa sasa mtaani kumekuwa na shida kubwa juu ya hawa ndugu zetu wachina kwani wanachofanya mitaani si sawa hasa kwa vijana na watoto walio chini ya umri wa miaka kumi na nane , wanasambaza mashine...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nini mtazamo wako baada ya kutazama madini haya? Mimi nadhani inaweza kuwa Diamond au Moissanite nipe mtazamo wako. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Najua huku kuna wataalamu wa mambo ya fedha. Naomba usharui nataka kufungua account ya fedha ya kigeni husasani Sterling Pound (£) na vile vile nataka niwe nahamishia fedha kwenye e-wallet kama...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish This pair is neutral in the short-term, but bullish in the long-term. Price moved sideways from Monday to Thursday, and...
2 Reactions
0 Replies
562 Views
Wakuu naombeni msaada nataka kukopa benki Million 1 masharti yake ni yapi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tafadhali nambie ili niweze kufahamu pia ukijua na bei itakuwa poa sana wakuu
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Wakuu habarini. Nataka kuanza kufanya manunuzi online ila leo nimeenda posta wamenambia kuwa natakiwa nifungue sanduku langu la posta kwa elfu 30 yaani ngachokaa kbs Hii ni ile posta pale...
1 Reactions
62 Replies
8K Views
Kati ya hivi ving'amuzi Continental HD 2 cha Star Tv na Digitec cha ITV kimoja wapo kikiwahi kuingia sokoni hivi sasa kitauzika sana kuliko kingine kwa sababu market demand ipo juu sana. Startimes...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau wa jukwaa hili salaam zenu wote, Leo ni nane nane na wengine tumetembelea au tuna mpango wa kutembelea maonyesho mbali mbali ya wakulima. Kwenye banda moja mfanyabiashara/mkulima huyu...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Viwanda vinahitaji malighafi ya uhakika ili viweze kuzalisha kwa mwaka mzima. Vile vinavyotumia malighafi ya mazao ya kilimo na ufugaji vitahitaji ukulima na ufugaji wa kibiashara unaozingatia...
0 Reactions
0 Replies
579 Views
1 Reactions
35 Replies
11K Views
Mwenye uelewa wa lini msimu wa maembe unaanza au wapi zinapatikana kwa sasa, tafadhali naomba kujulishwa..nimepata soko kubwa la ku supply.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari zenu wana jf, naweza kupata mtaalam wa kuniandalia return za TRA na gharama zinakuwaje? Nawasilisha. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
952 Views
Kwanza niwasalimu nyote mlio fungua uzi huu kwa heshima mliyo onesha kwani hamkujua nini nimeandika ila natunaini hamta jutia. Leo napenda tuangalie busara na maarifa yapatikanayo katika vitabu...
19 Reactions
28 Replies
5K Views
Habari zenu, Nipo Dar es Salaam na nina misaada nataka kutoa kwa watoto yatima (na pampers labda kwa ajili ya hospitali?) ila sijui pa kwenda. Nahitaji kufahamu ni wapi ninapoweza kupata taarifa...
1 Reactions
8 Replies
6K Views
Habari za sahiz .ningependa kujua HV hii biashara ya cable TV IPO kihalali (tcra ) wameiifhinisha? Maana ninachoona ni kama wanawanyonya weny makampun ya ving'amuzi(Azam,zuku, nk) na kama IPO...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Wadau wa JF nataka kujua soko la asali kwa upande wa Dar Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari wadau, Nataka kujua kwa mtu mwenye ufahamu na biashara ya kuleta mifugo sokoni..i.e vinguguti. Soko la wanyama kama ng'ombe au mbuzi kwa mzoefu anipe mchanganuo kuwasafirisha mpaka kuja...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mkuu wa masuala ya Teknolojia na Ufundi Zantel, Larry Arthur (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kisiwani Zanzibar hivi karibuni kuhusu uboreshwaji wa mtandao wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Poll Poll
Wadau kuna suala napenda niliweke kwenu mnisaidie mawazo. Kume kua kuna ongezeko la Kampuni Nyingi Duniani Kama si Tanzania kujiita " Group" yani kwa Mfano : Bakhresa Group of Companies , Virgin...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…