Maxcom Africa ni kampuni iliyoanzishwa mnamo mwaka 2010 nchini Tanzania, Maarufu Kwa jina la maxmalipo. Kampuni hii imejikita katika kutoa huduma za ulipaji wa bili na tozo mbalimbali Kwa kutumia...
Habari za jioni wadau. Juzi tarehe 17 mwezi huu wa name nilifanya muamala kupitia huduma ya vodacom Mpesa , sasa tangu iyo majuzi hela haikwenda nilikokusudia na kila nikiwapigia huduma kwa...
Habarin za wikendi wanajamvi, mi sio mtu wa kuposti sana thread ila leo nimeona niombe ushauri au wazo kutoka kwenu wadau. I mean nimesajili company na taratibu zote za kuisajili zimeshamalizika...
Please,
Ninayo biashara ambayo watu wanaweza kuinunua online, ninahitaji kutengeneza app nzuri, ninawezeje kuuza vitu vyangu kwa kutumia simu yangu tu? Wenye uelewa, nipeni procedure na namna ya...
Serikali imechukua hatua kufufua shirika mama TTCL ; Kushindana na Makapuni mengine ya simu
Chakushangaza katika market strategy ; uwa mtu anaingia sokoni kwa njia mbili
1. Cost
2. Unique of the...
Habari ya wakati na muda kama huu ndugu zangu watanzania na East Afrika kwa ujumla. Nianze kwa kutoa pole kwa ndugu jamaa na rafiki wote walioko kwenye mfungo. Mwenyezi awajalie wepesi...
Habari zenu,
Mimi ni kijana ambaye nimemaliza kidato cha nne mwaka 2007. Nilibahatika kupata div 4 ya point 26 nilipata C tatu.
Sikubahatika kuendelea advance nikaamua kujishughulisha na...
nimekuwa mhanga sana katika suala la upangaji wa mishahara na madaraja yake, mfano TGOS,TGS, PSOS n.k watu tunaomba kazi serikalini kwa kuangalia madaraja yale lakini wengi hatuelewi ni kiasi gani...
TUMEZOEA kuona wateja wakidaiwa na mara nyingi kuamini kwamba, kwa sababu mwenye duka ndiye anayemiliki bidhaa ziuzwazo, uwezekano wa kudaiwa na mteja haupo au ni kwa asilimia ndogo sana.
Mtandao...
Wanajukwaa kheri?
Naomba nianze moja kwa moja kwa kujikita katika suala hili la uandaaji mikataba baina ya serikali na mwekezaji. Hii inatokana na haya yanayo jili kila uchao na uchwao inapokuja...
Habarini wandugu mimi na rafikiyangu wote ni watu wa information technology I.T tuna lengo lakuanzisha mobile application itakayo wawezesha watumiaji wa simu kutuma, kupokea na kutoa fedha bira...
Naombeni muongozo nahitaji kufungua kiwanda kidogo cha kuzalisha bidhaa za kusindika na kiwanda cha sabuni za miche mwenye ufahamu au anayefanya ujasiriamali huu naomba anipe maelekezo, naanzaje...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
This pair is bullish in the long-term, but neutral in the short-term (for price has been going sideways for about two...
Kwanza niwasalimu nyote mlio fungua uzi huu kwa heshima mliyo onesha kwani hamkujua nini nimeandika ila natunaini hamta jutia.
Leo napenda tuangalie busara na maarifa yapatikanayo katika vitabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.