Wadau heshima kwenu,
Hope humu kuna watu wengi walishafanya hii biashara na kujua changamoto zake, nimeoa wilaya moja mkoani kwetu huko kuna fursa ya kufungua ka-kiwanda kidogo cha kutengeneza...
Habari Wajasiriamali na Ma expexted Entrepreneurs.
Nilikuwa na pitia Uzi wa ONTARIO that is very nice stories na watu wana furahia sana kusikiliza story za mafanikio. Watu wanapata hamasa sana...
Maana ya wazo la biashara
Kabla mtu hajaanza biashara, huwa anaanza kupata wazo la nifanye nini? Mawazo haya hupitia hatua kuu mbili:
1. Hatu ya kwanza
Mawazo mbalimbali humiminika kichwani kwa...
Jana machinga wameitwa na kupewa TIN number wamefurahi sanaa pasipo kujua kazi ya TIN ni nini!
Binafsi nimefurahi sanaa kwasababu wakishajua ukweli wa haya mambo TIN number hawa TRA...
Natumai nyote mu-buheri wa afya Enyi wana wa nuru.
Nimeona ni jambo la kheri tukageuza macho yetu katika vitabu vitakatifu tuone Mwenyezi Mungu anatuasa nini kuhusu swala zima la uchumi. Na zaidi...
Habari za wakati wana jamvi!
Ninalo langu swali la kutaka kujua taratibu za mikopo kutoka taasisi za fedha.
Nimewahi kukopa katika bank moja na bado ninalipa mkopo
Niliwahi kusikia kuwa kuna...
Huduma iliyongojewa miaka mingi, hatimaye imefika: :: DSE SHARE PORTAL :: Sasa unaweza kuuza na kununua hisa kupitia mtandao.
Pa kuboresha:
1. Uwezo wa kununua hisa zilizo kwenye soko, siyo zile...
Wasalaam.
Kumekuwa na malalamiko sana kwa watu wengi katika kipindi hiki kuhusu ulipaji wa kodi, hasa katika matumizi ya mashine za kielektroniki za EFD katika ulipaji wa kodi. Binafsi sina...
Muda ndo rasilimali pekee ambayo Mungu hakuwa na upendeleo nayo.
Awe masikini awe tajiri wote tuna masaa 24.
Nchi tajiri na nchi masikini wote tuna saa 24.
Tofauti sasa ya Matajiri na masikini...
Leo katika taarifa ya habari ya saa 1 kupitia kituo cha Channel 10 kuna mama mjane alihojiwa na kituo hicho akilalamika nyumba yake kuuzwa na Benki na mnunuzi kuibomoa na kusababisha yule mama...
Hello
Kama heading inavyojieleza natafuta mshirika mtu ambaye ana biashara tayar iliyo halali au mwenye wazo na mtaji pia niingize kimtaji changu kidogo tufanye biashara pamoja
KWANINI MSHIRIKA...
Nimefuatilia hii issue ya kuteketea kwa moto soko la Mbeya. Nimeona niwashirikishe hisia zangu. Naona kuna hujuma kwa watu wa Mbeya ( Tena za kisiasa.). Mfano kitendo cha Mkuu wa wilaya ya Mbeya...
Choices You Make Will Make You, and herebelow is how millionaires think and act. Your choice is always yours. Posted as receiced.
"A Lot of people said to me I wanna be rich. I started...
Habari zenu wanajamii forum,bila kupoteza muda nlikiwa naomba maoni na mitazamo mbalimbali juu ya biashara ya mabasi ya mikoani.ningependa kupata ujuzi namna wamiliki wa mabasi ya mikoani hufanya...
Kumekuwa na tatizo kubwa la ajira nchini tanzania lakini je? Tatizo ni mfumo wetu wa elimu au sisi vijana kukosa ubunifu na uthubutu katika kujiajiri?
Asilimia 75 ya watanzania nI vijana na...
Nitatumia mfano ili nieleweke. Serikali ni kama mfugaji, sekta binafsi (wafanyabiashara) ni kama mifugo, (mfano Ng'ombe) na fani ya ufugani iwe kama aina ya uchumi wa soko tuliochagua kuufuata...
Chura anapenda sana Maji.
Tuna penda sana kazi asikuambie mtu, tunapenda sana tuonekane tuko ofisini hata kama kazini ni kugumu namna gani potelea mbali si niko kazini?
Tunapenda sana mtaani na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.