Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

BILA shaka ukiulizwa leo kama unataka kuwa tajiri, jibu lako litakuwa ni NDIYO! Lakini je, tunaelewa maana ya utajiri na namna ya kuwa tajiri? Hili ni swali ambalo majibu yake yanawasumbua wengi...
25 Reactions
57 Replies
92K Views
Naomba Ushauri jinsi ambavyo nitaweza kuuza nguo zote bila kuwa na frem. Niko dar
0 Reactions
25 Replies
13K Views
haiwezekani Nitume Hela Kabla Ya Kupewa Mzingo, Na Mwenye Mzigo Najua Hawezi Kunitumia Bila Ya Kumtumia Hela Kwanza, Sasa Hapo Nani Aibiwe??? Mi Sina Uhakika Kabisa Na Hizi Biashara Za...
0 Reactions
2 Replies
926 Views
Hi wanabodi hamjambo, Ndani ya mwezi mmoja toka sahii natarajia kufungua nite club ambayo itatarget watu wa hali ya kati na juu.. Naomba wenye uzoefu wanipe experience yakurun hii biznez, wateja...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wakuu, Habari, Leo nlikuwa napitia kwenye Ukuraasa wa Vodacom, nikakuta wameandika mambo mazuri kusu haya mambo ya hisa, nikaona si vibaya kushirikisha. Hapa chini ndicho walichoandika; => Bila...
11 Reactions
161 Replies
28K Views
Habari wadau JF, Nimefikiria kuanzisha mradi wa kusaga, kukoboa na kupack unga na mchele ili niweze kuuza kwa watumiaji wa maeneo yote. Nilitembelea Supermarket moja nikaona namna vifungashio...
4 Reactions
15 Replies
14K Views
Natafuta mfanyabiashara tushirikiane kwenye bar na restaurant yangu pale daraja la Kigamboni. Imekamilika kwa kiasi cha 85%. Ipo kwenye barabara kuu kama hatua 100 baada ya sehemu ya kulipia...
1 Reactions
2 Replies
905 Views
Habarini wadau, naomba msaada ni benki gani inatoa credit card kwa kianzio kidogo mfano TZS50000-200000. niliuliza DTB nikaambiwa laki tano.
0 Reactions
21 Replies
4K Views
CRDB divident per share shs 10. huku benki ni ya pili kwa ukubwa nchini. TOL ndio usiseme. tangu waingie DSE kwa prospectus ya kubuni hawajawahi kutoa gawio la hisa. wakurugenzi na management ndio...
8 Reactions
52 Replies
8K Views
Ukinunua kifurushi cha Vodaco mathslani Haliishi bundle 5000 unaambiwa kuwa una dakika 125 Voda-Voda na dakika 10 mitandao yote. Lakini cha ajabu utapiga simu za voda na dakika zitakazotumika ni...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
★"TUPATE SHULE KIDOGO"★ Kati ya sifa kubwa unayotakiwa kuwa nayo ili uweze kufanikiwa kimaisha ni uwezo wako wa kughairisha (suspend) mambo yanayokupa raha kwa muda mfupi ili kujenga mambo...
10 Reactions
13 Replies
3K Views
Wakuu, Naona bei za magari ya Toyota siku hizi zimepanda bei huku UK sasa nafikiria kununua walau Hyundai au Honda naona afadhali kidogo. Je spare za Hyundai na Honda zinapatikana Dar jamani...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish This pair consolidated in the first few days of last week, and then went slightly upwards. On Friday, price closed above...
0 Reactions
0 Replies
368 Views
GOLD (XAUUSD) Dominant Bias: Bullish Gold began the current bullish movement on May 9, 2017 forming a bullish bias on the market. Price is currently above the support level at 1270.00, going...
0 Reactions
0 Replies
375 Views
Ndugu, naomba kufahamu juu ya hawa madalali wa Hisa. Nahitaji kuwekeza katika soko la Hisa. Information zote nimefuatilia na mpaka sasa nimebakiza hii moja. Ni company gan inasifa nzuri kati ya...
2 Reactions
16 Replies
5K Views
Nakusanya ushahidi wa watu ambao kwa kutumia fursa ya simbankin oesa zao zimepotea hasa PALE UNAPOAMBIWA UJUMBE WAKO UMETUMWA halafu huoni matokeo naandika kwa sababu imeshanitokea mara kama tano...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Katika kuwatambua kisheria wafanyabiashara ndogo ndogo maarufu kama wamachinga nchini, Serikali inapaswa kuwabaini, kuwasajili katika mfumo sahihi wa kodi hivyo kupelekea wamachinga kulimbikiziwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza...ninataka kuanzisha project fulani hivi ambayo bajeti yake ni zaidi ya m17....hivyo nilikuwa nahitaji kukopa zaidi ya milioni 25....security pekee niliyonayo...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wasalaam wakuu. Niwape pole na majukumu ya kipindi hiki cha siku kuu. Husika na kichwa cha habari hapo juu. Ninahitaji kununua mashamba mkoa wa Morogoro kwa bei ndogo wa lengo la kuendeleza...
1 Reactions
35 Replies
9K Views
Leo katika Soko la Hisa la Dar es Salaam hisa za Bank ya NMB zimeporomoka Bei kutoka Sh. 2,750p hadi sh.2,340p mdondokeo Mkubwa zaidi wa Pua (Nose dive). Wale wafuatiliaji wa Mambo ya Hisa...
2 Reactions
32 Replies
4K Views
Back
Top Bottom