Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wakuu kwa anayefahamu wapi naweza kupata mashine ya umeme ya kutengenezea mkaa mbadala (briquette making machine), maana nilienda pale ARTI Energy dar lakini zimeisha wanasema mpaka mwezi wa nane...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish This pair consolidated last week, moving between the resistance line at 1.1250 and the support line at 1.1150. The...
2 Reactions
0 Replies
343 Views
Wakuu habari za saivi, Rejea mada tajwa hapo juu, Nimekuwa nikifatilia mkopo wa bank kama mil.30 lakini nashangaa process ni nyingi sana kiasi ambacho imechukua karibia nusu mwezi (wiki mbili...
2 Reactions
32 Replies
4K Views
Mwenyekufahamu wakuu
0 Reactions
5 Replies
872 Views
Gas discoveries in east Africa Feb 7th 2013, 17:34 by V.R. | LONDON IT HAS been an astonishing past year for gas discoveries in east Africa. Large finds off the coasts of Mozambique and...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Katika blogu ya jifunzeujasiriamali, mara nyingi nimekuwa nikiulizwa swali hili na wasomaji wengi wa mtandao huo wakitaka kujua ni mtaji au mahitaji kiasi gani yanayotosha kuanzisha biashara...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Mambo vipi,mwakajana mwezi wa kwanza nilianza kusikia leo.hii nimringia group moja nakuta kuna watu niliosoma nao wanaiongelea.Mwenye uelewa aje na ukweli hapa chini
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Habari za sasa wakuu? Mimi ni gradute, nahitaji sana na nazidi kutafuta mtu mwenye experience ya biashara ya madini nifanye kujitolea kwake kwa muda hata miezi sita hivi niweze pata ujuzi na mimi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wana bodi. Ni siku kadhaa jpm alisema anataka kupitia upya mapato ya mitandao ya simu. vodacom iko kwenye soko la hisa na watu wanaendelea kununua hisa tena kwa kuhamasishwa na serikali...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Tumekaririshwa sheria inapatikana mahakamani na kwa wanasheria lakini ukiangalia kwa undani kila siku tunatimiza sheria na kanuni za maisha,chakula ,mazingira,kazi kila kitu lakini kwenye pesa kwa...
2 Reactions
0 Replies
4K Views
Salama wakubwa wa kazi....?? siku kadhaa zimepita tangu tusikie ile kauli ya "UKIWA NA VYEREHANI VINNE (4) ICHO NI KIWANDA KIDOGO"...mimi kama mtanzania nimevutiwa sanaaaa na statement ile na...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Profesa Benno Ndullu Gavana Beni kuu ya Tanzania Sub: Huduma za Benki zitazamwe upya Mh. Proffesa Kwa niaba ya watumiaji wengi wa benki naomba kutoa dukuduku langu kufuatia matatizo mengi ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari ya Asubuhi wana jamvi, kilimo ndo ajira nilijichagulia sasa nikiwa shambani nalima nimeokota iyo pesa hapo juu wadau nikiwauliza wanasema umasikini ndo nshauaga sasa sielewi naipeleka...
2 Reactions
61 Replies
17K Views
Nauza pesa za koloni ya Ujerumani nitapata wapi mnunuzi pesa ye nye DEUTSCH OSTAFRIKASCHE GESELLSCHAFT ya mwaka1892.
0 Reactions
0 Replies
982 Views
Lawrence Mafuru ambaye ni Msimamizi wa Masuala ya Kisheria (Statutory Manager) wa FBME akiongea katika mahojiano maalum na Kwanza TV ameeleza kuwa kumekuwa na mabadiliko ya msingi katika mfumo wa...
5 Reactions
94 Replies
11K Views
Wadau, Nina mashine ya kusaga na kukoboa nafaka ya mafuta(diesel). Ninahitaji kwa yeyote aliyeona fursa ya sehemu ambayo naweza kufunga mashine hii. Utakuwa vizuri kama itakuwa mkoa wa Pwani...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tunaishi na watu tunaamini katika watu, kila mtu amefika alipo kwasababu ya uwepo wa watu wengine. Humu kwenye jukwaa naamini kuna watu wengi sana wenye fikra, mawazo, upeo, elimu, busara, ujuzi...
1 Reactions
33 Replies
3K Views
Nchi jirani ya Uganda, moja ya nchi , zinazolima zao la ndizi kwa wingi kabisa duniani utengeneza fedha za kigeni takribani dola za kimarekani milioni 20 kwa mwaka kupitia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Serikali katika juhudi zake za kutengeneza mazingura ya kufikia uchumi wa kati ifikapo 2025 utakao endeshwa na mapanduzi ya viwanda yafutayo ni matunda to mention but few Kiwanda cha kusindika...
2 Reactions
28 Replies
5K Views
Habari wanajamvi, Husika na kichwa cha habari hapo juu, Nahitaji kufahamishwa ni njia gani ni sahihi zaidi kutangaza Brand yangu kati ya Radio Au Tv ili Brand yangu ili iweze kufahamika na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom