Bila shaka wajumbe wote mupo vizuri,
Niwaombe wote tulio na taarifa mbalimbali juu ya taasisi sinazo jishughulisha na uwekezaji wa fedha taslim ili kupata faida baada ya muda maalum, Niombe...
Huu ni uchunguzi rasmi ambao nimeufanya, unakuta mtu amepata milioni mbili akaanzisha duka LA vyakula 'rejareja' baada ya miezi 4 duka halina kitu ilihali lilikuwa limejaa na miezi inayofuata...
Wakuu nimekua nikifuatilia Mkopo ambao hausiani na Salaried worker ujitegemee kwa ajili ya Biashara sasa tatizo ni Kukaa Kwenye Kikundi
Mimi Taangu nikiwa mdogo si mtu wa Makundi hata Kusoma...
Napenda kuipongeza kampuni ya SBL kwa kuanzisha serengeti light. Watanzania na wasio watanzania wamesubiri Sana kupata light beer yenye jina na asili ya kitanzania. Huo Ni ubunifu mzuri wa kibiashara.
Hi,
Mimi naitwa Dr. Said Said na ni mkurugenzi wa kampuni ya Online Profits, kampuni inayowasaidia wajasiriamali kama wewe kuweza kunasa wateja kama smaku kupitia mtandao.
Kama unabiashara na...
Nahitaji mkopo sana lakini mabenki mengi hayatoi mikopo toka mwanzoni mwa mwaka jana kutokana na vugu vugu la wafanyakazi hewa pengine na uchumu kuwa na msukosuko. Je kwa wale wahusika waliopo...
Wakuu nimeamua kuanzisha huduma ya Taxi kwa bei itakayoendana na UBER kwa kuangalia makadirio ya bei wanayoyatoa! Mfano kama unatokea Magomeni Kagera kwenda Coco Beach, itakugharimu 12,000/- tuu...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
This pair went upwards by 290 pips last week, putting greater emphasis on the recent bullish bias that has formed this...
Bila shaka wajumbe wote mupo vizuri,
Niwaombe wote tulio na taarifa mbalimbali juu ya taasisi sinazo jishughulisha na uwekezaji wa fedha taslim ili kupata faida baada ya muda maalum, Niombe...
A: VANILLA- THE PLANT
Vanilla is a vine. It roots in the surface of the soil and climbs up a support. It is a perennial plant, which will grow for many years and can become very long. It is a cash...
Habari za jioni mtanzania mwenzangu, poleni kwa majikumu.
Kwa kuanza kabisa, inabidi tukumbushane kwamba benki za biashara ni vilainishi katika ukuaji wa uchumi duniani kote. Mfumo mbovu wa benki...
Nina gari coaster 26 , nataka kuingiza barabarani.
Naomba wazoefu nisaidieni nipeleke route IPI, ambayo nitaweza kufanya biashara.
Nilikua na wazo la kuipeleka Mbezi-Mlandizi, Ila baada ya...
Naombeni ushauri na uthibitisho kwa anayejua kama Wezesha Focus Vicoba wanatoa mikopo kweli. maana mimi nataka kuweka akiba na niombe mkopo WEZESHA FOCUS VICOBA
Habari zenu ndugu zangu ,naomba kujulishwa ,nilikua nataka kuagiza gari kutoka japan lakini kwanza kabla ya yote nataka kujua ushuru wake ni kiasi gani ? Je wanahuduma hiyo katika website yao...
Huduma za usafiri wa majini Ziwa Victoria zinahitaji msukumo mpya ili kuleta ufanisi.
Meli zako zinazoenda haraka zinaweza kuleta mapinduzi makubwa kwenye usafiri ziwa la Victoria kuliko ilivyo leo
Watanzania wenzangu,kumiliki biashara/kampuni (kwa maana ya limited company) na kujiajiri ndiyo siri ya mafanikio kwa Tanzania ya leo.Chukua hatua na ufungue kampuni yako na ujiiunue kiuchumi...
Jana nilikua nafuatilia mubashara hafla ya kutimiza miaka 50 ya uanzishwaji wa benki ya NBC, ukweli natoa pongezi za dhati kwa kufikia umri huo wa mtu mzima. Ushauri wangu ni kuendelea kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.