Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wadau mi naomba kutolewa japo format ya mahesabu ya mwaka yanayo enda tra..ili kukatwa kodo..na je ni vitabu gani tra wakija ofcn huwa wanavikagua...naombeni msàada
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Anakaribishwa yeyote anayehitaji mlango / milango ya kupanga katika fremu zilizopo King'azi (Maramba Mawili uelekeo wa barabara ya kwenda Kinyerezi). Fremu hizi zipo barabarani na ni eneo ambalo...
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Habarini wana JF wenzangu, Naombeni msaada Nataka kuagiza vitu kutoka nje lakini vije kupitia ndege. Je kuna yoyote anajua anifahamishe utaratibu? Natanguliza shukrani Asante
0 Reactions
2 Replies
3K Views
jamani Kwa upande wng naona kama awa jamaa wanakosea katika ukusanyaji wao wa kodi na kumkadilia mfanya biashara Kwa maana makadilio yako wamesha yapanga na kuuliza mauzo ya mlipa kodi ni kumtoa...
0 Reactions
0 Replies
815 Views
Hellow! Naomba msaada wenu nataka niwe naagizia lipsticks then niwe naziuza hapa dar.Naombeni ushauri kwa wenye experience
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Salamu wakuu,naomba kufahamishwa bei ya gunia la vitunguu kwa sasa shambani na sokoni (K'koo).Ahsanteni sana
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari wakuu, Kutokana na ugumu wa maisha na ajira ndo hatuelewi kama zitakuja lini nilipata wazo la kuuza simu yangu pendwa Tecno W3 kwa laki moja na kuamua kufanya hivi; Kama muonavyo hapo...
20 Reactions
112 Replies
11K Views
The problem of trading in uncertain times crept up on the Mentor Program Alumni forum and I have been thinking about my answer. The original answer I gave is shown below – I think one of the...
0 Reactions
0 Replies
330 Views
Ndugu zangu wanajaii nimekuja kwenu kwa heshima zote kwa kuwa nyinyi ni wajuzi wa hili ninalotaka kuuliza ndugu zangu ipi fauda ya kuwa Na akaunti ya dola? Na je mtu mwenye kipato Kidogo Kama laki...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Wapambanaji wenzangu, naomba mnijuze kama BRELA wana tawi huku ili nifike mara moja nikafanye usajili. Kuna kipindi nilisikia wanafungua matawi mikoa mingine mbali na DSM, je kwa huku Arusha vip,wapo?
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Leo katika kuperuzi mtandaoni nimekutana na kitu ambacho ki naweza kuwa chanzo cha kujipatia kipato kwa vijana, kwa kutumia matairi ya gari yaliyomaliza muda wake kwa kutengeza vitu vifuatavyo Kwa...
3 Reactions
8 Replies
10K Views
Naomba msaada jinsi ya kupata mashine ya EFD kwa sisi tulioko Mikoani. Nina photocopier kuna kazi za shule wanadai uwe na EFD
0 Reactions
8 Replies
2K Views
BARAZA la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) limesaini mkataba wa ushirikiano na Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) kwa ajili ya kuhamasisha na kuelimisha umma kuhusu masuala ya...
0 Reactions
0 Replies
795 Views
Matajiri wakubwa nchini ambao ni Rostam Azizi, Regnald Mengi, Mo na Bakhresa, katika kusoma historia ya maisha yao na jinsi walivyoanza kutajirika naelekea kuvutiwa zaidi na huyu Bakhresa ambaye...
4 Reactions
10 Replies
24K Views
Tunawakaribisha wanasheria, wahasibu, wahandisi, watawala, wawekezaji, na wengineo wote wataoina fursa hii, katika uwekezaji wa kati ambao unatarajiwa kuwa mkubwa sana kwa kipindi kifupi sana...
1 Reactions
71 Replies
7K Views
Nina ndugu yangu ana duka la rejareja kakosea risiti ya EFD badala ya 3,000 imetoka ya 3,000,000,000 (billioni 3!):D Kwa anayejua utaratibu wa kusahihisha au kuripoti makosa naomba anisaidie...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Douglas Lake Acquires 100% Interest in 4 New Properties Bordering Canaco in the Handeni District VANCOUVER, BRITISH COLUMBIA--(Marketwire - Sept. 22, 2010) Douglas Lake Minerals Inc. (the...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
nauliza in taasisi gani inayoweza kutoa mkopo was GARI kwa MTU aliyeajiriwa taasisi binafsi,Niko mbeya.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Marejesho ni maelewano hasa riba
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wadau, Mimi napenda kufahamishwa kuhusu hii biashara ya kucharge fedha mpani yaani kuuza fedha kwa watu wanaoingia border ya nchi nyingine kama Tanzania na Uganda. Ni nini faida na changamoto...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom