Elimu yangu ni Diploma (Clinical officer) nahitaji kufungua kitua changu binafsi kwa ajili ya kutoa huduma ya afya. Napenda kujua kama sheria inaruhusu kuwa na kituo kama hicho kwa mtu wa level ya...
Wanajamvi habari,
Mi nilikua mwajiriwa ila nimeeacha iyo kazi lengo langu kuu ni kujiajiri,Nina experience na biashara kwan nishawai Fanya nikiwa mkoa,ilikua depot ya bia na hardware,
Lengo...
Wakuu habari zenu, naomba kuuliza kwa yeyote anaefahamu benki ambayo mtu anaweza kufanya transactions zote including kuweka na kutoa pesa akiwa Tanzania na pia hata akiwa China.
Heshima yenu wadau,
Naomba ushauri wenu nina kampuni yangu nilifungua mwaka jana ila mambo yanakuwa magumu sana, ni kipi napaswa kufanya?
Mpaka nimewaza kutafuta partiner ila sijui linakuwaje...
Nipende kuweka wazi kwa Uongozi wa CRDB ukiongozwa na Dr.Kimei kama gawio kwa hisa moja ni shillingi 10 kesho asubuhi nitaenda kwanza kuhamisha akaunti yangu CRDB na pia kuuza hisa zangu zote. Ni...
Wanajf ningependa tu tupie hapa ni fursa gan ya kibiashara au kiujasiriamali ambayo ina soko katika kipindi hiki cha Rais Magufuli.
Lengo ni kushirikishana na kupeana ushauri.
Nawasilisha.
Nimeangalia muktadha wa nchi yetu kwa hali ya sasa,upungufu wa vyakula muhimu,kutokana na tabia nchi,mvua kuchelewa,wakulima kuchelewa kupanda na ukame ulioikumba nchi miez kadhaa nyuma,bei za...
Wakuu nimeshangaa bei ya Matikiti Jana nilivyopita Sokoni na Kununua Tikiti kubwa kwa Tsh. 300/= tofauti na Maneno Mengi ya Kwenye Keyboard yanayosimuliwa na watu wengi ambao wamezaliwa Dar es...
machine
Nataka niwaoneshe material yanayotengeneza bati,inayoingizwa hapa kwetu ni coil ambayo ikipitishwa kwa mashine ndio inakata bati,kila mkunjo kila aina ya bati ina machine yake na...
Ndugu zangu wana JF naomba mnisaidie ili nifanikishe malengo yangu:
Nina kiasi cha fedha kama million 4.5 sasa nahitaji nianzishe biashara yoyote ile itakayonipa faida sasa je
1: mambo gani...
Nina mtu juzi kaniambia yeye haweki pesa yake bank za TZ
sababu zina wizi saana
Anadai bank zetu kama crdb na NMB zina charge pesa kila mwezi
na wakati huo huo zina charge pesa kila unapotoa pesa...
Habari wana jf,
Ni msomaji wa muda mrefu wa jukwaa hili pendwa lkn sijawahi weka bandiko,.
Leo naomba ushauri kutoka kwenu.Nina pesa kama 22m.Kiasi nimechukua Mkopo na kiasi kingine kutoka kwe...
The entry of a Tanzania-based miller into the local flour production industry is causing jitters among established milling companies and some cereal farmers.
There are fears that the milling...
Salaaam Wakuuu Tafadhali Naomba
Muongozo kwa wataalamu kabla sijachukuwa maamuzi
Kuna line ya Tigo pesa inauzwa Mkoani Arusha
Nilihitaji kuinunua ili Nije kufanyia kazi huku Dar es salaam...
Naitwa Dalali Mtembezi tokea jijini Dar Salaam, natafuta muwekezaji au mnunuzi katika vitu vifuatavyo.
Nina eneo la kutosha mjini posta karibu na Majani ya Chai ni Mali ya kampuni inahitajika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.