Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Mambo ya kuangalia ni kama ifuatavyo; i). Performance ya kampuni. kampuni inafanya kazi vizuri kwa weledi na inamategemeo ya ukuaji wa kampuni kama kutanua miundombinu yake na uboreshaji wa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
GOLD (XAUUSD) Dominant Bias: Bullish Gold is bullish in the long-term and bearish in the short-term. Price went upwards from April 3 to 17, and then began to be corrected lower. The lower...
0 Reactions
0 Replies
503 Views
Habarini wadau, Pia poleni wale ambao mmepoteza ajira zenu kwa sababu ya vyeti huku wenzenu "wanaojua kusoma na kuandika" wakiendelea kula mshahara mnono kwa kutumia vyeti vya wengine. Back to...
0 Reactions
0 Replies
907 Views
Habari zenu wana JF, Moja kwa moja kwenye mada hivi biashara ya daladala imekuwa kero huku Wilaya yetu tu ya Temeke au hata huko katika Wilaya zenu? Maana sio kwa mavyeti haya na rushwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu, Naomba kujua faida gani unapata ukisajiLi mradi/miradi(project/projects) kwenye kituo cha uwekezaji Tanzania(TIC). Na kusajiLi mradi ni kuna gharama yoyote mwenye mradi...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bearish This pair trended downwards last week, going below the resistance line at 1.0650. The movement so far this month is...
0 Reactions
2 Replies
619 Views
Sasa hivi kuna watu kama elfu 20 hivi wanaingia mitaani na watataka pesa zao ili warudi shule ama wapambane na maisha sasa sijui kama hii mifuko ya hifadhi ya jamii imejiandaa kuwalipa mafao yao...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Super Trading Strategies - Tapping the Hidden Treasure in the Markets “So much to know, so much to earn So much wisdom to seek and learn If we raise our hands, we’ll touch the sky Our beds...
0 Reactions
1 Replies
644 Views
Tunataka kujenga viwanda nchini, sawa ni sera nzuri. Vipi serikali imeunda sera ya kulinda bidhaa zetu za ndani na viwanda vya ndani? tunaweza tukawa tunazalisha bidhaa nyingi na kuna bidhaa kama...
0 Reactions
0 Replies
637 Views
Habari za mchana wanabodi, natumai muwazima, Ufuatao ni ushauri kidogo wa kifedha ambao kwa kiasi kikubwa ukifuatwa unaweza kutoa tija ya kila anayeufuta. 1.Usitumie fedha kwenye vitu...
7 Reactions
9 Replies
3K Views
Napenda kukukaribisha kwenye biashara endelevu na kampuni ya Oriflame kutoka Sweden. Kampuni inatengeneza na kuuza bidhaa zake zilizotengenezwa kwa malighafi asilia. Nahitaji watu watano (5)...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Please assist on best name for drinking water that am planning to start producing on july
2 Reactions
80 Replies
12K Views
Yaani nashindwa kuelewa wakuu wetu wanawabembelezea nn hao wakenya wakati Ges yetu hata bado hatujaifaidi vizuri gesi saizi zimepanda bei mtungi Mdogo 17000-23000 eti ushauri wangu gesi isiuzwe...
0 Reactions
3 Replies
870 Views
Bombardier zitakuwa zinatoa huduma ya usafiri Dar-Mtwara. Uzinduzi wa Safari umefanyika leo kwenye uwanja wa Mtwara. Serikali inatarajia kukarabati miundo mbinu ya uwanja kwa kiasi cha bilioni...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Nakumbika sana wakati nasoma kidato cha tano na sita nikiwa naishi kwa mara ya kwanza bwenini. Tulikuwa tunakula ugalo na maharage Jumatatu, jumanne, Alhamis, Ijumaa na Jumapili. Siku ya Jumatano...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Hello wana jamii, Natarajia mnasheherekea salama sikukuu ya wafanya kazi duniani. Nianze kwa kusema kua sera ya awamu hii ya 5 ni ya viwanda na biashara, nia ya kuanzisha uzi huu ni kwamba...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
kwa anayejua soko la Rupia 1, 1910 J, ya Kijermani ya Afrika Mashariki [DEUTSCH OSTAFRIKA, 1 RUPIE 1910 J.....GUILELMUS II IMPERATOR] tuwasiliane pm
0 Reactions
30 Replies
9K Views
*TEN BASIC STATEMENTS ABOUT MINISTRY* 1. The foundation of ministry is *Character.* 2. The nature of ministry is *Service.* 3. The motive for ministry is *Love.* 4. The measure of ministry is...
0 Reactions
2 Replies
477 Views
Habari zenu wapendwa, Mimi ni kijana mwenzenu nina ndoto za kuthubutu kuanzisha kampuni yangu ya masuala ya research and consultancy. Hivyo anaejua utaratibu anisaidie ikiwezekana na gharama...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nina uhakika kuwa wengi wa wafanyakazi ambao wataachishwa kazi baada ya uhakiki wa vyeti, walikuwa na mikopo katika taasisi mbalimbali za kifedha akiwemo mkopeshaji mkuu wa watumishi wa umma...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…