Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kwa wenye uzoefu, Hivi kuna usalama kiasi gani kununua laini za uwakala kwa mkononi mwa mtu?
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Nina shida na kupata laini za uwakala tigopesa, airtel money na m pesa kwa bei nzuri Ni sehemu gani ninaweza nikapata zenye jina langu na bei nafuu Kwa sasa nipo Singida Itigi
5 Reactions
23 Replies
4K Views
Je Umewahi kusikia kuhusu Wordpress? Kama hujawahi basi ni kujuza tu kwamba wordpress ni content management system(CMS) kwa ajili ya website.CMS ni mfumo maalum ambao unamwezesha mtengenezaji wa...
4 Reactions
14 Replies
3K Views
Wapendwa sana wanaJF, habari za asubuhi... Siku chache zijazo nimefikiria kuanzisha biashara ya kuuza soda za chupa na za kopo (take away) kwa bei ya jumla na rejareja. Mwenye uzoefu na biashara...
2 Reactions
14 Replies
10K Views
Igweeeee Nimekaa nimewaza na kuwazua nifingue biashara gani ili maisha yasonge mbele hapa jijini Wazo pekee ambalo naona linaweza kuwa tofauti kidogo na zile biashara za kuigana mwishowe kuanza...
5 Reactions
11 Replies
706 Views
Habari, Wakuu humu jamii forum Simu yako ya zamani au unayoitumia unaweza kubadilisha na kuchukua simu nyingine, kutoka dukani kwetu kwa kuongezea pesa kiasi ili upate simu nyingine iwe mpya au...
2 Reactions
8 Replies
558 Views
Habari,naiuza gari hiii Toyota town ace pickup Location Dar es salaam
1 Reactions
6 Replies
532 Views
Tafadhalini wakuu nisaidieni hapa kwa sasa nipo iringa lengo nikajumue kwa bei nafuu hapa iringa gharama kubwa. Asanteni.
2 Reactions
7 Replies
521 Views
Amani iwe nanyi, Siku chache zijazo nina mpango wa kwenda kununua trekta mpya aina ya swaraj. Kama ulishawahi kumiliki au unamiliki, ni trekta ipi nzuri kati ya swaraj 855 nyota 4, swaraj 744...
0 Reactions
14 Replies
733 Views
Najua wote muwazima Wacha nisonge kwa mada moja kwa moja. Nimewahi kuleta maandiko mbali mbali ya forex humu kwa siku za nyuma kipindi nikiwa naifanya nk Kwa mara ya kwanza nimeijua mwaka 2013...
47 Reactions
437 Replies
55K Views
NYUMBA YA KISASA(HEKALU) INAUZWA. Location : Goba TAARIFA ZA NYUMBA 1) GOROFA YA JUU --- V.I.P Masterbedroom yenye ukubwa wa 30sqm na imezungukwa na balcon upande wa kulia, kushoto na upande wa...
1 Reactions
7 Replies
587 Views
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Plc, Philip Besiimire (kushoto) akimkabidhi jezi ya Vodacom gwiji wa Soka Barani Afrika kutoka Nigeria, Nwankwo Kanu mbele ya wanahabari ambapo mwanasoka...
3 Reactions
6 Replies
803 Views
Wafanyabiashara Ngara Watakiwa Kurasmisha Biashara Zao Ili Kupunguza Mzigo wa Kodi Kwao Naibu Waziri wa Wizara ya Viwanda na Biashara Mhe.Exaud Kigahe (Mb) amewataka Wafanya biashara wilayani...
0 Reactions
0 Replies
273 Views
Mshindi wa wiki ya saba ya kampeni ya Vodacom Tanzania Plc ‘Ni Balaa, Kila Mtu ni Mshindi’ Elias Nakara (Kushoto), akipokea mfano wa hundi ya shilingi laki tano kutoka kwa Mkuu wa kanda ya...
2 Reactions
3 Replies
316 Views
Habari za Muda huu waungwana. Kama kuna mtu/ kampuni ana magari na anahitaji mizigo (local au transit) au anapata changamoto kupata mizigo. Ntumie mawasiliano yako PM tutawasiliana vizuri...
3 Reactions
3 Replies
364 Views
Kama una ndugu yako jamaa ama wewe mwenyewe una ujuzi na marketing Tafadhali wasiliana nami kwa no 0753216888
10 Reactions
23 Replies
671 Views
Position strategy is the process by which an organization identifies its strengths, assesses gaps in the market, and choose how to present itself to the audience and enter the market. Without...
2 Reactions
2 Replies
242 Views
Habari wakuu! Naomba mtu mwenye ujuzi wa kuandika proposal or business plan anichek Kwa namba 0683263330 chap
1 Reactions
3 Replies
251 Views
Nipo kwenye tasnia ya waste material nina mkataba wa miaka 4 mikoa tofauti nakutana na malighafi mbalimbali ikiwemo vyuma chakavu, Paper waste, plastic waste n.k nimeanza hatua ya kwanza...
3 Reactions
7 Replies
447 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…