Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

WAZIRI MAVUNDE AWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA MANUNUZI YA BIDHAA YA TRILIONI 3.1 MIGODINI -Azindua rasmi Chama cha Watoa Huduma na Wauzaji wa Bidhaa Migodini -Afurahishwa na Watanzania...
0 Reactions
4 Replies
297 Views
Hatari sana hii betting inakotupeleka.
18 Reactions
29 Replies
1K Views
Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde akizungumza wakati akizindua chama cha Wasambazaji wa Sekta ya Madini Tanzania (TAMISA) jiji Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Wasambazaji wa Sekta ya...
0 Reactions
1 Replies
224 Views
MAZDA VERISSA YEAR:2015 CC:1290 KM:64k RIM SPORTS PRICE.milion 16.5 pamoja Na usajiri.
1 Reactions
36 Replies
1K Views
Dar es Salaam: Benki ya Exim Tanzania imehitimisha rasmi kwa mafanikio kampeni yake ya Kidijitali ya miezi mitatu iliyojulikana kama Tap Tap Utoboe, huku ikitangaza washindi wa droo kuu ya mwisho...
2 Reactions
0 Replies
196 Views
Naomba ushauri wenu kujua ni aina gani ya biashara ambayo mtu anaweza kufanya Dodoma akiwa na milioni mbili.Asante
1 Reactions
3 Replies
892 Views
Habari njema Matajiri Wawekezaji, Karibuni kwenye mfululizo wa masomo yetu ya programu ya NGUVU YA BUKU, ambapo tunajifunza na kufanya uwekezaji kwa hatua ndogo ndogo na kujenga utajiri kwa...
5 Reactions
2 Replies
569 Views
Client wetu ana omba ushauri jinsi ya kumuondoa mpagaji wake wa majengo yake ya hospitali, alisha wapa samasi ya miezi miwili kuondoka ila bado hawataki kuondoka na pesa hawalipi Anaomba ushauri...
6 Reactions
16 Replies
480 Views
Habari za asubuhi ndugu, Nawiwa kuanzisha biashara ya super market naomba kufahamu kwa wale ambao wamewahi kufanya biashara hii natakiwa kuzingatia nini na nini? Ni vitu gani havipaswi...
4 Reactions
3 Replies
545 Views
Waziri wa Madini, Mheshimiwa Anthony Mavunde ametangaza kukamatwa kwa madini ya dhahabu kilo 15.78 bandarini yalipokuwa yakitoroshwa. Ameyasema hayo leo tarehe 11 Septemba, 2024 Jijini Dar es...
1 Reactions
10 Replies
496 Views
Wakati wowote ukitaka maana a wa ujenzi na ramani wasiliana nasi kwa 0621003092 We’re the Nation Of The People Limbu Nation Builders.
0 Reactions
0 Replies
148 Views
Katika ukuaji wetu wanadamu tunakua na ndoto na matamanio mbali mbali kama gari ya ndoto, nyumba ya ndoto etc, hata kama tupo kwenye hatua ambayo haikupi harufu yakuweza yafikia mambo Yale...
3 Reactions
1 Replies
392 Views
Wakuu, naombeni ushauri tafadhari. Nahitaji ushauri kwenye hizi 'side hustle' Fenesi la kukata na kufunga kwenye makopo au miwa ya kufunga kwenye mifuko. Ipi inatoka kwa haraka. Asanteni sana...
5 Reactions
6 Replies
331 Views
Wenye kuwekeza uzoefu na ujuzi kwenye real estate bussiness ni kweli 60m naweza kujenga rentals za kunipa 2m per months kama kodi, kiwanja kipo dar es salam maeneo ya Goba. Nijengo la aina gani...
7 Reactions
100 Replies
4K Views
Salute bosses! Kwanza kabisa naomba nianze kwakusema kumradhi nimechelewa kuanzisha thread hii kama nilivyoombwa na baadhi ya watu hapa JF. Nilikuwa busy na majukumu sasa nikasema nikitulia...
10 Reactions
69 Replies
33K Views
Habari Wakuu, Maelezo mengi yatawachosha. Nilianza Biashara 2019, ya umachinga nikawa nachukua bidhaa mjini napeleka vijijini, Biashara ilikubali nilikuwa napiga profit nzuri sana kwa siku...
29 Reactions
182 Replies
7K Views
Wakuu tangu nifungue biashara yangu ni wiki Sasa. Mazingira na miundombinu ya hapo ninapofanyia biashara yapo vizuri ila cha ajabu siuzi vile inavyotakiwa. Yaani mtu anakuja anauliza kidali Tsh...
21 Reactions
130 Replies
4K Views
Karin Rådström, currently responsible for Mercedes-Benz Trucks, will become the new CEO of Daimler Truck from 1 October. She takes over the position from Martin Daum and will head the world's...
0 Reactions
0 Replies
177 Views
Good wish to all Moja ya definition ya maisha ni mapambano na moja ya definition ya mafanikio ni ushindi, Nilikuwa natafakari kitu nikasema ngoja nishare na home of great thinker. Dunia ya sasa...
16 Reactions
147 Replies
16K Views
WAZIRI wa Viwanda na Biashara Dk.Selemani Jafo amesema Serikali imeendelea kuweka mazingira wezeshi ya kufanyia biashara kwa kufanya uwekezaji ikiwa ni pamoja na kuboresha miundombinu mbalimbali...
0 Reactions
0 Replies
130 Views
Back
Top Bottom