Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kuna njia kuu tatu tu za kuua ushindani kwenye biashara yako Moja kuwa bidhaa ya bei nafuu kuliko zote sokoni .... Mpaka sasa sijui ni mbinu gani bora ya kupambana na bei sokoni Mtu akikushinda...
5 Reactions
16 Replies
1K Views
Kamuni yangu ni mpya je nawezaje kupata tenda na kupata wateja nje kama vile india na nk. Msaada kwa mwenye uzoefu anishauri
5 Reactions
19 Replies
583 Views
Mfano imagine huyo jamaa tunakuja kumuuzia sisi ,hivi unadhani akiuxa kwa bei ya chini faida yake ikowapi? Ili akitaka kuuza kwa bei nafuu kama hiyo ya chini ni bora kupiga 0769927039 Iphone new...
1 Reactions
12 Replies
420 Views
Hivi mshawahi kujiuliza unapita mahali mtu kafungua frem au duka hata hamna wateja unajiuliza huyu mtu huwa anaweza vipi kulipa kodi wakati hamna wateja? Hili swali najiulizaga sana, nimekuta...
11 Reactions
55 Replies
4K Views
Biashara ina mambo mengi sana, katika biashara yangu leo asubuhi mbele ya malango nimekuta manyonya ya kuku, kichwa cha paka, kucha za binadamu na damu. Hii hatari sana.
2 Reactions
19 Replies
878 Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema wakuu. Nahitaji nyumba maeneo ya masaki ambayo ipo kwenye standard ya hali ya juu Nipo serious maana nataka niishi sehemu yenye furaha ambayo haina uswahili...
3 Reactions
6 Replies
306 Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema. Mambo yamenikaba na kimfaacho mtu chake. Nauza laptop yenye specifications zifuatazo. Model: Lenovo T480s Processor type: intel core i5-8350U (8th...
0 Reactions
9 Replies
521 Views
Nyumba inauzwa ipo madale mil 70, Kwa Kawawa, Ipo umbali wa km 1 kutoka barabara lami, Kiwanja kina Sam 650 na kimeshawekwa bikoni, Nyumba ina vyumba 3 vya kulala 1 master na public toilet 1...
2 Reactions
14 Replies
626 Views
Kampuni inayoongoza kwa teknolojia na mawasiliano nchini Vodacom Tanzania PLC, leo imefanya mkutano mkuu wa mwaka ambapo ripoti jumuishi ya mwaka kwa mwaka wa fedha unaoishia tarehe 31 Machi 2024...
3 Reactions
6 Replies
394 Views
HABARI, poleni kwa pilika ya kutwa kutimiza majukumu ya kila siku. Ndugu zangu naomba kwa anejua taratibu za kuzifuata ili kupata leseni ya biashara na vigezo vyake pia na gharama zake hususani...
4 Reactions
6 Replies
578 Views
Habari Wana Jf, Ni kampuni gani ya kuaminika inayofanya clearing and forward mzigo kutoka china hadi Arusha yenye bei iliyo rafiki? Naombeni msaada ikiwezekana na office zao zilipo
2 Reactions
3 Replies
297 Views
Habari za jioni wana-JF, Natamani kufungua duka la vitambaa lakn changamoto ni kwamba sijajua wapi naweza pata vitambaa kwa bei ya jumla. Na mtaji wa 5M naweza kufungua biashara hiyo?
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Nyumba ipo umbali wa km 1 kutokea Goba centre, ina kiwanja chenye ukubwa wa sqm 462, nyumba ina vyumba 3 vya kulala, sebule 1, dining jiko stoo na vyoo 2 0656077998 Inauzwa 90mil
1 Reactions
4 Replies
442 Views
Hello wana jf Natumai wote mko poa sana Naulizia gani hivi hapa dar haina majina makubwa sana kama vile tandika, mbagala, kariakoo nk. Lakini ina watu wengii na biashara zinafanyika kwa maana...
4 Reactions
16 Replies
670 Views
Salama.. Moja kwa moja kwenye mda, nna pesa moja hapa nahitaji msaada kwa anaejua ni ya Italy inaitwa lire. Nmejaribu ifuatilia kwenye mitandao naona thamani yake ni sawa na EURO, vip kwa hapa...
0 Reactions
22 Replies
424 Views
Mkaa mbadala ni matokeo ya teknolojia mpya na rahisi ya kutengeneza mkaa tofauti na aina ya mkaa wa kawaida uliozoeleka. Wadau, naomba kufahamu huu mkaa mbadala huwa unauzwa wapi?
0 Reactions
5 Replies
380 Views
Heshima kwenu wakuu! Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, nahitaji kufungua kampuni ya ya ujenzi, nataka kufanya both building & civil works, naomba kufahamishwa juu ya mambo makuu mawili, 1...
3 Reactions
41 Replies
13K Views
Habari wakuu, naamini hii itasaidia Kwa wafanyabiashara na wanunuzi. Hebu Leo tuambiane siku ambazo magulio / minada / hufanyika. Naomba nianze na Dar es salaam nilipo. Kivule Sokoni = Kila...
1 Reactions
13 Replies
789 Views
Huyu bwana(30years) alienda China mwaka 2018 kujifunza Kichina ambapo akaona Changamoto na kuigeuza fursa. -Anamiliki kampuni ya Logistics -Anamiliki Warehouses -Anaishi na kuajiri Wachina...
13 Reactions
30 Replies
2K Views
Wadau habar? Nimepata wazo la kufanya bishara ya mchele/mpunga. Kama kuna mdau humu anaifanya naomba ushauri ; Je ipi bora zaid Kununua mpunga kuweka store kisha unauza badae? Kununua mchele...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom