Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wasalam wadau, Naomba mawazo yenu. Binafsi nimekuwa mid town hunter kitambo Sina ujanja wa kutosha kuhusu haso za nje ya Dar, sasa naomba ushauri wenu kuhusu location nzuri ya haso za uhakika nje...
5 Reactions
37 Replies
912 Views
Naombeni mnisaidie biashara ndogo 10 ninazoweza kuanza na mtaji wa kama laki 5 na unayorudisha hela.🤝🙏🏻
3 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari wanajukwaa! Nina shida na cardboard sheet ambayo ndizo zinatumika kutengeneza mabox. Wapi naweza kupata Kwa Tanzania hii na bei zake zipoje. Kwa yeyote mwenye taarifa tusaidiane.
2 Reactions
6 Replies
551 Views
Wakuu habari zenu? Naomba kujulishwa Chimbo la Simu Used na Mpya na Accessories nzuri kwa bei ya jumla kariakoo nimechoka kulanguliwa na kuuziwa mali zisizo na uhakika. Natanguliza shukrani.
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Hello Wanajamvi…… Nimekuwa na jitihada za kufungua biashara ya bucha la kisasa la samaki ambalo ndani yake kutakuwa na duka dogo la Cash-point (mobile money & internet banking), nje mitungi ya...
5 Reactions
13 Replies
901 Views
Habarini niende kwenye mada moja kwa moja uzi huu ni kwa ajili ya wafanyabiashara walionza kwa mitaji midogo na mpaka sasa wamefanikiwa naomba mtupe ilikuaje abc za aina za biashara mlizoanza nazo...
5 Reactions
42 Replies
1K Views
Nimepatwa Shida, Bei imenishuka. Natengeneza website kwa Tsh 150,000 tu. Itatumia CMS ya WordPress. Malipo ni baada ya kazi. Work Delivery ni ndani ya masaa 24. Serious customers tu Jamani 🙏...
0 Reactions
5 Replies
235 Views
Kufanya biashara kunahitaji muongozo, lakini pia taarifa sahihi kutoka kwa watu sahihi inaweza kufanya tofauti kubwa. Tunatoa ushauri kwa wafanyabiashara wanaotaka mitaji mikubwa ya biashara na...
2 Reactions
32 Replies
1K Views
Wakuu nataka kufanya biashara mbili kati ya hizi niwe na fusso tipa la kubebea mchanga, kokoto, vifusi na n.k au niwe na coaster kwa ajili ya kubebea abiria kutoka wilaya moja kwenda nyingine au...
7 Reactions
34 Replies
5K Views
Juzi katika kikao kimoja hoteli kubwa nchini nikakutana na mfanyabiashara mkubwa, nikamwambia mwanangu mbona hauongezi wigo wa biashara yako, akanijibu Tanzania haina biashara halali na...
7 Reactions
12 Replies
715 Views
Wakuu kwanza habari ya asubuhi. Nije moja kwa moja kwenye mada nilikuwa na pesa kidogo lakini kwa sababu ya kuwa busy na shughuli nyingine nikawa naonelea kwa nini nisiwakopeshe wanawake...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Karibu Tunapatikana Ilala Amana Karibia na Hospital Ya amana. Wakazi wa dsm tunaweza kukufata wa mikoani unatuma kwetu. Malipo Baada ya Kazi. 0715331233 Piga au sms au whatsapp
2 Reactions
4 Replies
252 Views
Forbes Money Personal Finance Is College Still Worth It? Here’s 5 Alternatives To Financial Success Sep 5, 2024,02:00 am EDT Updated Sep 5, 2024, 02:39 am EDT A college degree may not be the only...
0 Reactions
0 Replies
258 Views
Nina refinery ndogo ambayo ina uwezo kufanya refining mafuta ya kupikia kama alizeti, soya, mawese nk na kuyaboresha zaidi katika viwango vilivyoidhinishwa na TBS. Nipo Mbeya na mwekezaji...
3 Reactions
6 Replies
295 Views
Wadau wa Jamiiforums mnipe MBINU na njia sahihi ya uendeshaji wa Microfinance. Eli Mimi na wateja wangu wote tufaidike, wao wapate mkopi nafuu wenye kutimiza malengo yao, na Mimi nipate japo...
6 Reactions
39 Replies
2K Views
Kama kichwa Cha habari hapo juu. Ni kwamba niko katika eneo/wilaya ambayo kwa asilimia zaidi ya 85, watengenezaji na wasambazaji wa hiyo bidhaa ni kutoka katika viwanda vya mjini. Fursa naiona...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari ya jioni wakuu. Natarajia kufungua guest house soon hivyo kuna vitu vingi kuhusu hii biashara nahitaji kuvijua.. Kwenye lodge nyingi ukiingia huwa unakuta wamebandika kikaratasi chenye...
6 Reactions
139 Replies
3K Views
Habari ndugu zangu, Naomba kuuliza, silver mercury (Hg) inapatikana wapi? Na sheria zake zikoje Kama unataka kuitumia
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Ndugu wananchi, wanabodi na great thinkers wa humu JF Salaam !! Tayari mwaka 2023 umeanza kwa kasi na kama ilivyo ada tumeendelea na pilika pilika za kusaka maisha kona mbali mbali. Katika...
3 Reactions
9 Replies
4K Views
Wasakatonge wenzangu kama mjuavyo Mimi Huwa napenda kufanya vitu ambavyo vinaweza kuacha alama kwenye jamii, japo sijabahatika kuwa miongoni mwa watoa maamuzi muhimu wa Taifa, ila amini nakwambia...
13 Reactions
74 Replies
2K Views
Back
Top Bottom