Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wadau naomba mwenye kufahamu wanapouza sukari Kali ya unga ya kutengenezea juice anifahamishe kwani Ninashida nayo. Sukari hiyo hutumika kutengenezea soda coca cola, pia naomba msaaada kwa...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari za huku wakuu kuna mdau huku aliwahi agiza bidhaa na mzalendo cargo nataka kuagiza godoro nauliza ili nijue ubora maana bei zao ni za kizalendo kweli kweli
2 Reactions
1 Replies
209 Views
Nimepata utata baada ya kugundua suruali za jeansi zinauzwa MAKAMBAKO elfu 16 Kwa bei ya jumla. Lakini Dar zinauzwa elfu20kwa (bei ya jumla ) na kuendelea. Ivi hapo Siri ni nini naombeni tujadili...
3 Reactions
27 Replies
7K Views
MRADI WA KABANGA NICKEL WAVUTIA UWEKEZAJI MKUBWA KUTOKA KAMPUNI ZA AUSTRALIA -Jumla ya Dola Bilioni 2.2 kutumika kuendeleza Mradi -Waziri Mavunde atembelea kiwanda cha kusafisha Madini kama...
1 Reactions
1 Replies
215 Views
Habari wana jukwaa wenzangu karibuni na msome makala yangu Tuangalie biashara 5 za mtaji mdogo usiozidi Tshs. 100,000 unazoweza kufanya na zenye faida kubwa. Mtaji mkubwa unaohitajika...
11 Reactions
30 Replies
89K Views
Nina Tsh 150,000/= tu je, nawezaje kuitumia kama Mtaji Mdogo ili nipate Faida ya haraka hata kama ni kidogo, ila ni ya kila Siku? Michango yenu nitaishukuru sana tu.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Maisha ya utumishi ni mafupi hivyo ni heri kujiandaa na maisha ya kustaafu mapema. Kipato vya wafanyakazi wengi ni kidogo sana hivyo kuna ulazima kuwa na kipato cha ziada. Changamoto ya...
36 Reactions
236 Replies
10K Views
Habari njema Matajiri Wawekezaji, Karibuni kwenye mfululizo wa masomo yetu ya programu ya NGUVU YA BUKU, ambapo tunajifunza na kufanya uwekezaji kwa hatua ndogo ndogo na kujenga utajiri kwa...
0 Reactions
0 Replies
244 Views
Habari wanaJF. Kwa wenye uhitaji wa mafundi friji na friza,halikadhalika kufunga AC na kutengeneza AC pindi ziletapo changamoto, karibuni Seneta Electrical & Cooling system workshop iliyopo...
1 Reactions
4 Replies
233 Views
Habar wakuu Juzi hapa nimefungua paypal kwamara ya kwanza, nikaunga na VISA card IlA sasa nikitaka kutuma pesa au malipo yoyote kwa kutumia paypal hela inakatwa kwenye VISA card niliyounga. Je...
1 Reactions
5 Replies
811 Views
Hi great thinkers. Leo Nina furaha isiyo na kifani tumekamilisha marejesho Kwa Mhindi. Mwaka 2017 January Mimi kaka na Dada yetu tumekamilisha marejesho leo asubuhi Kwa muhindi. Hatimae gari...
8 Reactions
56 Replies
11K Views
Kontena 20ft, kulitoa south mpaka bongo bei gani kwa roli wakuu. Likiwa na mzigo full. Natangulizw shukrani.
1 Reactions
2 Replies
233 Views
Naombeni ushauri nzuri jamn nina laki 5 nifanye biashara gani?
5 Reactions
26 Replies
1K Views
wengi wao huishi ifuatavyo: Ofisini jumatatu hadi jumamosi kuondoka majumbani alfajiri kurudi usiku, kukosa muda wa kuspend na familia likizo pekee ni Christmas, Pasaka au Idi wakiumwa biashara...
4 Reactions
15 Replies
519 Views
Habari za muda huu wajasiriamali wenzangu. kwa mwenye utaalamu kidogo na hii kitu naomba anijulishe tafadhali
0 Reactions
64 Replies
17K Views
Habari za muda huu wapendwa, Nalipanda jukwaa la JamiiForums kwa kutaka kunena na wafanyabiashara wa hardware, kama kichwa kinavyosema hapo. Ninatoa huduma za kuagiza cement aina ya Bamburi na...
1 Reactions
14 Replies
509 Views
Moja kwa moja kwenye mada, Mwezi June nilipokea sms kuwa kuna jamaayangu kaniweka kama mtu wake wa karibu na amekopa pesa ameshindwa kurejesha. Nilishtuka sana, nikapiga kujua ni milioni ngapi...
11 Reactions
16 Replies
13K Views
Salaam, Wakuu, naomba muongozo wa uzoefu kwenu. Soko lipi nitapata bidhaa kama Mihogi, Viazi(vya aina zote ), Magimbi......etc. Vipimo vikoje kwa kila zao. NB; Nahitaji kwa ajiri ya kuuza...
0 Reactions
0 Replies
111 Views
Habari! Nina mahindi gunia 25 za mahindi, zipo mbinga, Ruvuma. Kwa sasa bei sokoni ipoje? Au naweza kupata makampuni ili kuwauzia mzigo wote kwa pamoja? Au naomba ushauri, niuze kwa namna gani?
0 Reactions
1 Replies
231 Views
Habari za hapa wana jamii, Mimi ni Mtanzania ila kwa sasa niko 🇰🇪 Kenya ila mmmh life ya Kenya kiukweli ni ngumu mno. Sasa nilikuwa naomba wazoefu wa haka kanchi kanaitwa Botswana 🇧🇼...
9 Reactions
40 Replies
2K Views
Back
Top Bottom