Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Je gharama ya Tin number na leseni ya biashara ya m-pesa na Tigo pesa ikoje? Ukipeleka TIN number na lesen je unapata hizo line za mpesa na Tigo pesa kwa muda gan?
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kampuni ya Vodacom ipo mbioni kuanza kuuza hisa za awali (IPO) kwenye soko la hisa la Dar es salaam (DSE) zenye samani ya Tshs. 500 billioni mapema mwakani. Kutokana rekodi ya kibiashara huko...
7 Reactions
5 Replies
4K Views
Naonaga watu wanahangaika mno na ujasiriamali mara semina ya wapi sijui mara wajaribu biashara hii na ile lakini watu hao wengi wana tabia ambazo zinawafanya wasifanikiwe hata wafanyaje... hizi...
18 Reactions
28 Replies
4K Views
Hello team, nahitaji kufanya biashara ya ununuzi wa choroko so ningependa kujua hasa msimu wa mavuno unaanza lini na ni mikoa ipi hasa choroko upatikana kwa wingi ili nianze kujipanga mapema...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nataka nifanye biashara ya viatu, kwa eneo niopo. Nahitaji M5 kama mtaji. Mwenye wazo au ushauri namna ya kupata hii hela tafadhali nahitaji sana ushauri au maoni yako au kama kunamtu ajaeweza...
0 Reactions
1 Replies
824 Views
Wakuu, Mimi ni kijana wa kiume ambaye ninasoma chuo hapa DSM. Shida yangu ni kuwa nahitaji kujua ni mashirika gani au ni wapi naweza pata udhamino wa mkopo mkopo wenye riba nafuu ili niweze...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nafikiri kuanza biashara itakayohusisha kununua kuku toka kwa wafugaji, kuwachinja, kuhifadhi nyama kwenye freezer, na kusambaza kwa wateja hasa migahawani, kwa wachoma chips na mahotelini kama...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
WAKUU mwenye ufahamu kuhusu madini haya, naomba unipe mwangaza katika haya 1. soko lake liko wapi? ntapata wapi soko? 2. kama unamfahamu mnunuzi mkubwa? Tafadhari nahitaji msaada wenu wakuu
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habar zenu wanajamvi,natumai mko wazima. Mimi ni mwanafunzi wa chuo katika mishe zangu nimeweza kufanikiwa kupata faida ya sh 1.5m,nikaona nitumie hii hela kununua mashamba ya miti ya mbao huku...
2 Reactions
20 Replies
4K Views
Naomba ushauri juu ya kufanya biashara ya vitenge,nisaidieni tafadhali hasa kwa mtu ambaye yuko kwenye hii biashara.
2 Reactions
16 Replies
12K Views
Naombeni ushauri wenu wanajamvi. Nataka kuprint calendar za 2017. Kati ya picha nazotaka kutumia ni pamoja na ya Rais Magufuli. Je, hii italipa? Je ni lazima nimuombe JPM kuwa nitatumia picha...
7 Reactions
88 Replies
12K Views
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!! Leo nimekaa imenibidi niseme, sababu nipo kikazi as advocate of gender equality and enforcer of women rights i was waiting all this time TAMWA, TAWLA...
30 Reactions
616 Replies
55K Views
Heshima kwenu wakuu, Aisee hii hali mbaya ya kiuchumi imenifanya nifungue kaduka kangu mtaani, sasa TIN nimeshapata nilikuwa na leseni nikaenda TRA wakanibadilishia ikawa ya BUSINESS. Sasa wakuu...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Hebu wazoefu wa haya mambo watueleweshe. Hivi kweli kuna makampuni ya kimataifa yanayoweza kutoa mikopo kwa raia yeyote wa nchi nyingine kama hili hapa chini? Sasa najiuliza hata kama wanaweza...
0 Reactions
0 Replies
806 Views
Salam naomba kujua kama kuna PDF, au book yenye kuonyesha category ya kila bidhaa ushuru wake hasa bidhaa za Kilimo na usafiri mfano powetila,zana za Kilimo, engine giabox,cabin,na spare za...
0 Reactions
10 Replies
895 Views
Hbr wanajamvi ningependa kufahamu kutoka kwenu wanajamvi kuhusiana na hii taasisi inayoitwa baypot kuhusu utoaji wao wa mkopo baada ya kukamilisha vigezo vyote mikopo yao inachukuwa siku ngapi...
0 Reactions
92 Replies
13K Views
Mamlaka ya usafiri wa majini na nchi kavu inajiandaa kuleta hoja kwa wadau kuwa umri wa wanaoongoza vyombo vya usafiri wa umma kwa nchi kavu(magari ya abiria) na majini(meli/boti za abiria) uwe...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Waziri Prof. makame Mbarawa akiongea na waandishi wa habari SERIKALI inazikumbusha taasisi zote zenye leseni za mawasiliano zilizotolewa kabla ya Julai mosi mwaka huu, kujisajili katika soko la...
0 Reactions
0 Replies
995 Views
Jambo la kwanza kumbuka kwamba hakuna mtu anayejali mambo / maisha yako zaidi ya wewe mwenyewe! Na kila mtu ana muda sawa na mwingine, kwa siku kila mtu amepewa masaa 24 tu. Anza kwa kuzingatia...
4 Reactions
0 Replies
1K Views
Nikiwa zangu nimepumzika muda huu na uchovu wa pilikapilika za hapa na pale ili nipate tonge kusogeza siku,basi nimewasha tv nakutana na mtangazaji ana wahoji wafanyabiashara nini maana ya kodi na...
2 Reactions
10 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…