Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari ya mapumziko wana jukwaa!!! Hivi karibuni imezinduliwa kampuni mpya ya mawasiliano inayokwenda kwa jina la Halotel. Inakuja kumenyana kibiashara na kampuni kubwa na ambazo zimejiimarisha...
0 Reactions
61 Replies
10K Views
Nmepata milioni tano nataka nifanye biashara Bukoba na ndiyo mara yangu ya kwanza kwenda tafadhari kama unafahamu fursa na changamoto zilizopo nisaidie
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Salaam wadau... Ni muda mrefu nimekuwa nikiona wanafunzi wa elimu ya juu wakilalamika kuhusu pesa ya kujikim "boom" haitoshi. Pengine inatokana na matumizi makubwa na yasiyo na ulazima. Mara...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wakuu. Poleni kwa majukumu ya kitaifa na familia.Naomba kuelekezwa duka la chemicals za madini kwa hapa dar es salaam .Hasa natafuta 'activated carbon' kwa ajili ya ku-process dhahabu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
I have been using Payeer services for a while for deposit and withdrawal via my CRDB Mastercard. But they have stopped their services of withdrawing via Mastercard. Only option available is Wire...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Shelves Double sides 320,000 Single sided 210,000 Checkout counter 1,000,000 Shopping basket 30,000
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Kama kichwa cha Habari kinavyosema,nahitaji kuanza biashara ya nafaka,mahari ni Dar es salaam Kigamboni hivyo nahitaji kuchukua fremu na pia kununua nafaka kwa bei ya jumla kwa...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Nataka kuagiza simu kupitia mtandao wa amazon na ninahitaji mzigo wangu niupokee kwa njia ya USPS, Tatizo sifahamu hii USPS inakuaje ila naona wengi wanasifia kua ni nzuri. Naomba mnieleweshe...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimesikia benki ya Waislamu ya Amana inatoa mikopo bila riba, sasa faida wanapataje? Fedha za kuendesha benki wanazitoa wapi, hii system ya benki inayofuata sharia inafanyaje kazi? Ukichukua...
5 Reactions
95 Replies
20K Views
Biashara ni moja ya nguzo muhim sana katika maisha tafadhali tujenge msingi bora kwa maisha yetu. [emoji117] Ruvuly De finisher - Community - Google+
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Asalam alyykum hamujambo, Mimi ni mzaliwa wa Pemba umri 37, natafuta mtu tushirikiane kibiashara kwenda kuchukuwa bidhaa nchini China, bidhaa zenyewe ni spea za simu kwa jumla utaratibu vipi...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
jamiiforums.com Earn 10$ for every 30 second Task. Internet Job Fata link hiyo kutengeneza hera
0 Reactions
1 Replies
704 Views
Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA wameweka calculator iliyorahisishwa kwa ajili ya kukokotoa kodi kwa magari yaliyotumika yanayoagizwa kutoka Japan na nchi nyingine zinazouza magari yaliyotumika...
2 Reactions
16 Replies
6K Views
Ninashamba la miti lina miaka 3 naitaji nikakope bank kupitia hiyo miti niendeleze biashala yangu msaada wa mawazo tafadhali
0 Reactions
0 Replies
552 Views
Hivi wanajamii Hawa airtel na HUDUMA yao ya timiza mkopo wanafaidika vipi mana watu hawaminiki siku hizi ....
0 Reactions
1 Replies
568 Views
Natangulisha shukrani zangu kwenu. Kuna gari tajwa hapo juu zinapatikana ni mpya kabisa, hivyo kwa Ambay atakuwa muhitaji naomba awasiliane na mim kupitia namba zangu 0659086861. Ahsante.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Jamani kila siku tumekuwa tukitumia noti zetu katika shughuli mbalimbali ila watu wengi tumekuwa hatujui maana ya alama zilizopo kwenye hizi noti,basi kwa yoyote anayejua maana ya hivi alama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kumegunduliwa dhahabu katika mtaa wa Nyanza katika kijiji cha Ikumbayaga kilichopo kilomita 3 kutoka mjini Geita. Mtaa huo wenye watu wapatao 1000 ghafla umekuwa na shamrashamra khasa baada ya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habarini wakuu. Katika harakati za kujikomboa kiuchumi ninawaomba tujaribu kujuzana matumizi ya ndizi hasa zile za kupikwa. Mbali na matumizi ya kawaida kama vile 1. Kupika 2. Kutengeneza mbege 3...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bearish EURUSD trended downwards last week, just as it was expected. Price moved...
0 Reactions
0 Replies
349 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…