Wakuu, Mimi Ni mwajiriwa serikalini mwaka huu nimetimiza miaka mitatu kwenye ajira hiyo, Nimekuwa kila nikipata kiji mshahara kangu nawekeza kwenye biashara Na sasa biashara imeshamiri wasi wasi...
Binafsi nahisi tozo katika Benki zetu hapa ndani zimekuwa nyingi na nyingine ghali kiasi kuwa inakatisha tamaa kuweka hela huko
Mfano WA tozo;
Kuangalia salio
Kutoa hela dirishani at kwenye ETM...
Wadau, Tusaidiane kukosoa tangazo hili la biashara kwenye web page ya ATCL maana halijakaa poa linaonekana kama "uchafu" na linatia aibu kulinganisha na ndege yetu ilivyo nzuri ya kupendeza na...
Kweli hamna lisilowezekana chini ya jua .Kitendo cha kumtambua Said Salim Bakhresa na kuamua kumpatia ardhi bure kwa ajili ya kujenga kiwanda cha kusindika matunda ni dhahiri kimeonyesha kuwa Rais...
Leo nlipita ktk bank 5 tofauti kuulizia taarifa za mikopo kwa wajasiliamali:niliwatembelea CRDB,NMB,TPB.Barclays na MUCOBA, kifuatacho ndicho nilichokipata:
1. CRDB,NMB,TPB na MUCOBA
Hawa jamaa...
Ni rafiki yangu mjasiriamali. Anauza vitu vinavyotumika kwa mahafali. Vitu hivyo ni kama mataji, maua, kadi, n.k.
Kwa msaada wenu, andika jina la shule na tarehe ya mahafali ili huyu kijana...
Nataka kuagiza gari toka Japan, Kuna gari inaitwa VW golf touran ambayo nime vutiwa nayo na bei take ni reasonable sana. Tatizo ni kwamba watu wangu wa karibu wana nitisha kwamba spea...
Wanajamvi na wasalimia wote..
Wanajamvi naombeni kunitajia supermarkets zote zinazopatikana dar na hitaji la kuwafikia pale walipo kwa hitaji la kuweza kufanya negotiations na kusa ply kwao...
Na, Mwl.Pasaka Osunga
Leo ningependa kukumbusha msemo ambao Ken Levine aliwahi kusema-“We all make choices, but in the end our choices make us.” Akimaanisha kuwa wote tunaweza kufanya maamuzi...
Asalaam aleykum!
Wanabodi kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu,mimi nina kazi lakini siku zote mshahara hautoshi kwahiyo nimeamua kujiingiza kwenye ujasiriamali.Kwa mtu yeyote ambaye ana friji...
Manages sales, purchasing, hr, payroll, , assests, bank reconciliations, appraisals, multiple POS points, financial reports. The software can be customized to fit your business needs. Contact us...
Wadau nimesikia baadhi ya Wabunge wakipongeza Wizara ya Nishati na Madini kwa kushusha viwango vya kuunganisha umeme. Naomba kwa yeyote mwenye viwango vipya anipatie tafadhali. Hii itatusaidia kwa...
Salama Wana Jamii forum habari za shughuli. Naomba kupewa mchanganuo upi una faida kuweka pesa ktk fixed deposits account au kununua shares ktk makampuni kama Tanzania Cigarette company ipi...
AUS200
Dominant bias: Bullish
AUS200 started September on a bearish note, but ended it on a bullish note. From September 1 to 13, the market dipped by 2500 points from. Since then, the market...
POlen kwa majukumu wakuu.
Ninahitaji kuanzisha biashara ya oil (Engine oil) za pikipiki. Naomba kwa mwenye uelewa juu ya upatikanaji wake kwa maduka ya jumlaanisaidie na wapi naweza kununua...
Habar wanajamvi, Nipo dar na ndio nimeanza kaz nimedunduliza nimepata 1m. naombeni mnishauri biashara ambayo italingana na huo mtaji pia haitahitaji ungalizi sana maana nachelewa sana kutoka kazini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.