Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wakuu, Mimi Ni mwajiriwa serikalini mwaka huu nimetimiza miaka mitatu kwenye ajira hiyo, Nimekuwa kila nikipata kiji mshahara kangu nawekeza kwenye biashara Na sasa biashara imeshamiri wasi wasi...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Binafsi nahisi tozo katika Benki zetu hapa ndani zimekuwa nyingi na nyingine ghali kiasi kuwa inakatisha tamaa kuweka hela huko Mfano WA tozo; Kuangalia salio Kutoa hela dirishani at kwenye ETM...
0 Reactions
0 Replies
857 Views
Wadau, Tusaidiane kukosoa tangazo hili la biashara kwenye web page ya ATCL maana halijakaa poa linaonekana kama "uchafu" na linatia aibu kulinganisha na ndege yetu ilivyo nzuri ya kupendeza na...
3 Reactions
36 Replies
4K Views
Kweli hamna lisilowezekana chini ya jua .Kitendo cha kumtambua Said Salim Bakhresa na kuamua kumpatia ardhi bure kwa ajili ya kujenga kiwanda cha kusindika matunda ni dhahiri kimeonyesha kuwa Rais...
2 Reactions
0 Replies
710 Views
Leo nlipita ktk bank 5 tofauti kuulizia taarifa za mikopo kwa wajasiliamali:niliwatembelea CRDB,NMB,TPB.Barclays na MUCOBA, kifuatacho ndicho nilichokipata: 1. CRDB,NMB,TPB na MUCOBA Hawa jamaa...
5 Reactions
63 Replies
8K Views
Ni rafiki yangu mjasiriamali. Anauza vitu vinavyotumika kwa mahafali. Vitu hivyo ni kama mataji, maua, kadi, n.k. Kwa msaada wenu, andika jina la shule na tarehe ya mahafali ili huyu kijana...
0 Reactions
2 Replies
731 Views
Nataka kuagiza gari toka Japan, Kuna gari inaitwa VW golf touran ambayo nime vutiwa nayo na bei take ni reasonable sana. Tatizo ni kwamba watu wangu wa karibu wana nitisha kwamba spea...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Wanajamvi na wasalimia wote.. Wanajamvi naombeni kunitajia supermarkets zote zinazopatikana dar na hitaji la kuwafikia pale walipo kwa hitaji la kuweza kufanya negotiations na kusa ply kwao...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba kujua sifa na procedure za kusajiliwa na TRA kama Tax consultant.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Na, Mwl.Pasaka Osunga Leo ningependa kukumbusha msemo ambao Ken Levine aliwahi kusema-“We all make choices, but in the end our choices make us.” Akimaanisha kuwa wote tunaweza kufanya maamuzi...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
0 Reactions
1 Replies
545 Views
Asalaam aleykum! Wanabodi kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu,mimi nina kazi lakini siku zote mshahara hautoshi kwahiyo nimeamua kujiingiza kwenye ujasiriamali.Kwa mtu yeyote ambaye ana friji...
4 Reactions
22 Replies
4K Views
Manages sales, purchasing, hr, payroll, , assests, bank reconciliations, appraisals, multiple POS points, financial reports. The software can be customized to fit your business needs. Contact us...
0 Reactions
2 Replies
879 Views
Wadau nimesikia baadhi ya Wabunge wakipongeza Wizara ya Nishati na Madini kwa kushusha viwango vya kuunganisha umeme. Naomba kwa yeyote mwenye viwango vipya anipatie tafadhali. Hii itatusaidia kwa...
0 Reactions
27 Replies
22K Views
Salama Wana Jamii forum habari za shughuli. Naomba kupewa mchanganuo upi una faida kuweka pesa ktk fixed deposits account au kununua shares ktk makampuni kama Tanzania Cigarette company ipi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
AUS200 Dominant bias: Bullish AUS200 started September on a bearish note, but ended it on a bullish note. From September 1 to 13, the market dipped by 2500 points from. Since then, the market...
0 Reactions
0 Replies
426 Views
naomba kama kuna anaeifahamu anijuze tafadhali
0 Reactions
2 Replies
673 Views
POlen kwa majukumu wakuu. Ninahitaji kuanzisha biashara ya oil (Engine oil) za pikipiki. Naomba kwa mwenye uelewa juu ya upatikanaji wake kwa maduka ya jumlaanisaidie na wapi naweza kununua...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Habar wanajamvi, Nipo dar na ndio nimeanza kaz nimedunduliza nimepata 1m. naombeni mnishauri biashara ambayo italingana na huo mtaji pia haitahitaji ungalizi sana maana nachelewa sana kutoka kazini
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom