Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wakuu heri ya mwaka, nimepata huo mtaji na ninawaza kwa mkoa wa Dar es Salaam ninunue bajaji ama kirikuu. Naomba wazoefu na pia wenye uelewa juu ya hili; 1. Je, ni ipi itanilipa vizuri? 2. Je...
1 Reactions
54 Replies
15K Views
Uchumi wa Kati tutaufikia, Usafiri wa muda mfupi kwenda mwanza na Arusha unafanya biashara na kurudi Dar siku hiyo hiyo. Hapa kazi tu .
7 Reactions
90 Replies
16K Views
GOLD (XAUUSD) Dominant Bias: Bearish Gold is bearish in the short-term, but neutral in the long-term. In the 4-hour chart, price trended downwards last week, to end September 2016 on a bearish...
0 Reactions
0 Replies
431 Views
Mfano wewe ni mjasiriamli na unataka kuuza bidha nje ya nchi kwa kutumia hii mifumo miwili ya malipo wa kwanza wa paypal (ambao ni third party) na mfumo wa moja kwa moja ambao mtu anaingiza...
3 Reactions
0 Replies
1K Views
kumekuwa na tabia mbaya sana premier bet arusha ofisi ya Philips,,,unakuta mtu mfano amebet mkeka wake ameshinda laki mbili ukiondoka kwenda kufata mpunga wako hapo ndio kero inaanza..utaambiwa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
I want to believe that you had a wonderful weekend.But I'm glad you're reading this... Because it means that you still have time to check out what's happening into new and hot Tanzania's oil...
0 Reactions
0 Replies
590 Views
Wakuu kama kuna anaeifahamu hii kampuni kwa undani naomba anijulishe uhalali na ukweli wake kwa ujumla, kwa maelezo yao ni njia nzuri sana ya kutengeneza pesa. tafadhali mssada
0 Reactions
0 Replies
545 Views
Habarini wandugu....Nafikiria kufanya biashara ya matunda ila ni kusafirisha kwenda nje na pia kuagiza baadhi ya matunda ambayo hayapatikani kwa wingi kama Tufaa(Apple) je nini kinachohitajika...
1 Reactions
29 Replies
8K Views
JE UNATAKA KUTENGENEZA KIPATO HADI SH MILIONI 5 KWA MWEZI BILA KUATHIRI KAZI ZAKO? TUNATOA MAFUNZO BURE KWA NJIA YA WHATSAPP GROUP. KUJIUNGA NA GROUP LETU BONYEZA LINK HII [emoji116]...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
NAOMBA KUSAIDIWA KUJUA GHARAMA ZA BANDA LA KISASA LA KUFUGIA KUKU WA KISASA
0 Reactions
1 Replies
3K Views
The 8th International Operations Research Society of Eastern Africa Conference The University of Dar es Salaam Business School Date: October 25th - 26th, 2012, Venue: Kunduchi Beach &...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Wanajamvi Tafadhali kwa kwenye utambuzi juu ya kuwa wakala wa mpesa,Tigo pesa pamoja na airtel money.kwa maana ya mtaji wa kuanzia unapaswa uweje pia na kama biashara hiyo inalipa.naomba...
2 Reactions
3 Replies
6K Views
Natanguliza shukrani na ombi kwa wasiotaka kuchangia waache,nimechaguliwa kujiunga na chuo cha sayansi na teknolojia cha mbeya(MUST),mimi ni kijana ninayejitegemea kwa kila kitu na nimetafuta ada...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Neutral This pair did not do anything significantly last week, save moving briefly...
0 Reactions
0 Replies
434 Views
Wakuu, nina shamba kama ekari 100 za miti mfundi yenye miaka 10, nataka nitumie shamba hili kupata mkopo bank kwa ajili ya biashara. Naomba kujua ni bank gani inaweza kukopesha kwa dhamana ya...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Kwa mara ya kwanza katika maisha yangu ya miaka 55, Mungu amenijalia kupita kwenye usafiri wa hewani na fastJet kutoka DSM kwenda Mwanza kwa bei ya sawa na usafiri wa Mombasa raha kati ya Dar na...
7 Reactions
25 Replies
3K Views
Natoka Tra nakuta tozo la kodi la sh laki tatu kwa miaka 4 iliyopita kwa pikipiki iliyokwisha kufa zamani. Naona sio haki kulipa kodi kwa chombo kilicho kwisha kufa
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Meneja wa benki ya CRDB mkoani Kagera Carlo Sendo na aliekuwa katibu tawala wa mkoa huo bwana Amantus Msole ni miongoni mwa watuhumiwa wanne walofikishwa kwenye makahama ya hakimu mkazi ya Bukoba...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Eti kuna boat zozote zinazoenda Comoros au Seychelles kutoka Dar au Zanzibar? Kama zipo ni bei gani na zinaondoka Dar/ Zanzibar wakati gani?
2 Reactions
7 Replies
12K Views
Habary wanajamvi, Naomb mnisaidie elimu kidogo juu ya shughul ya tigo pesa pamoja na m-pesa. Na n kwa mtaji wa kiasi gan unaweza kufany shughul hii kwa ufanisi, location ni miyuji in Dodoma region.
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom