Wakuu heri ya mwaka, nimepata huo mtaji na ninawaza kwa mkoa wa Dar es Salaam ninunue bajaji ama kirikuu. Naomba wazoefu na pia wenye uelewa juu ya hili;
1. Je, ni ipi itanilipa vizuri?
2. Je...
GOLD (XAUUSD)
Dominant Bias: Bearish
Gold is bearish in the short-term, but neutral in the long-term. In the 4-hour chart, price trended downwards last week, to end September 2016 on a bearish...
Mfano wewe ni mjasiriamli na unataka kuuza bidha nje ya nchi kwa kutumia hii mifumo miwili ya malipo wa kwanza wa paypal (ambao ni third party) na mfumo wa moja kwa moja ambao mtu anaingiza...
kumekuwa na tabia mbaya sana premier bet arusha ofisi ya Philips,,,unakuta mtu mfano amebet mkeka wake ameshinda laki mbili
ukiondoka kwenda kufata mpunga wako hapo ndio kero inaanza..utaambiwa...
I want to believe that you had a wonderful weekend.But I'm glad you're reading this... Because
it means that you still have time to check out what's happening into new and hot Tanzania's oil...
Wakuu kama kuna anaeifahamu hii kampuni kwa undani naomba anijulishe uhalali na ukweli wake kwa ujumla, kwa maelezo yao ni njia nzuri sana ya kutengeneza pesa. tafadhali mssada
Habarini wandugu....Nafikiria kufanya biashara ya matunda ila ni kusafirisha kwenda nje na pia kuagiza baadhi ya matunda ambayo hayapatikani kwa wingi kama Tufaa(Apple) je nini kinachohitajika...
JE UNATAKA KUTENGENEZA KIPATO HADI SH MILIONI 5 KWA MWEZI BILA KUATHIRI KAZI ZAKO?
TUNATOA MAFUNZO BURE KWA NJIA YA WHATSAPP GROUP. KUJIUNGA NA GROUP LETU BONYEZA LINK HII [emoji116]...
The 8th International Operations Research Society of Eastern Africa Conference
The University of Dar es Salaam Business School
Date: October 25th - 26th, 2012,
Venue: Kunduchi Beach &...
Wanajamvi Tafadhali kwa kwenye utambuzi juu ya kuwa wakala wa mpesa,Tigo pesa pamoja na airtel money.kwa maana ya mtaji wa kuanzia unapaswa uweje pia na kama biashara hiyo inalipa.naomba...
Natanguliza shukrani na ombi kwa wasiotaka kuchangia waache,nimechaguliwa kujiunga na chuo cha sayansi na teknolojia cha mbeya(MUST),mimi ni kijana ninayejitegemea kwa kila kitu na nimetafuta ada...
Wakuu, nina shamba kama ekari 100 za miti mfundi yenye miaka 10, nataka nitumie shamba hili kupata mkopo bank kwa ajili ya biashara.
Naomba kujua ni bank gani inaweza kukopesha kwa dhamana ya...
Kwa mara ya kwanza katika maisha yangu ya miaka 55, Mungu amenijalia kupita kwenye usafiri wa hewani na fastJet kutoka DSM kwenda Mwanza kwa bei ya sawa na usafiri wa Mombasa raha kati ya Dar na...
Natoka Tra nakuta tozo la kodi la sh laki tatu kwa miaka 4 iliyopita kwa pikipiki iliyokwisha kufa zamani. Naona sio haki kulipa kodi kwa chombo kilicho kwisha kufa
Meneja wa benki ya CRDB mkoani Kagera Carlo Sendo na aliekuwa katibu tawala wa mkoa huo bwana Amantus Msole ni miongoni mwa watuhumiwa wanne walofikishwa kwenye makahama ya hakimu mkazi ya Bukoba...
Habary wanajamvi,
Naomb mnisaidie elimu kidogo juu ya shughul ya tigo pesa pamoja na m-pesa. Na n kwa mtaji wa kiasi gan unaweza kufany shughul hii kwa ufanisi, location ni miyuji in Dodoma region.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.