Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

KUNA SWALI NAJIULIZA KILA KUCHWAO KWANINI VITU MAGEREZANI VINAUZWA BEI GHALI WAKATI HUKU URAIANI NI BEI RAHISI WAKATI VITU NI VILE VILE? NA KWA NN HAWATOI RISITI?
0 Reactions
3 Replies
747 Views
Wakuu Nimekua mwajiriwa wa kampuni flani binafsi kwa muda wa miaka miwili sasa,nimepata uzoefu mzuri tu wa kuweza kuendesha firm yangu pia. Nimefanya kazi na mwajiri wangu vizuri tu ila kwa siku...
5 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari zenu.Naomba kupata kuelimishwa juu ya utenganezaji Wa bisi za chocolate.am eager to learn.shukran sana
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Naomba kufahamu bei ya chrome tourmaline
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kuna huyu kijana watu wanasema kuwa ni mmojawapo wa wawekezaji wazawa wa mwanzo kabisa nchini kwenye mtandao wa Internet. Wanaofahamu naye kazi wamekuwa wakimsifia kuwa ana uwezo mkubwa wa...
0 Reactions
13 Replies
8K Views
Wanajamvi naombeni msaada mzee wangu anataka achukue mkopo.....salary yake 900k takehome naombeni mchanganuo wa ni anaweza kopeshwa maximum kiasi gan kwa slip hyo hapo. Na kutoka bank ipi...?
0 Reactions
2 Replies
804 Views
Habari za majukumu wapendwa !!! Naomba kujuzwa hatua kwa hatua namna kusajiri biashara na kupata lesseni. Biashara yenyewe ni ya statationery and business center. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
5 Replies
7K Views
kama kilivyo kichwa cha habari hapo juu,mimi nina mpango wa kufungua duka la kuuza dawa za mazoezi mwishoni wa mwaka huu.Bali sina uhakika wa jinsi ya kupata kibali hicho cha kuuza dawa hizo na...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Nilikopa 15mil katika taasisi moja ya kifedha kama miaka 3 iliopita nikaomba wanikate makato makubwa ili nilipe kwa muda mfupi it was like 493000 kwa mwezi. Sasa haya makato ni makubwa mno...
1 Reactions
39 Replies
4K Views
Hello dears Nahitaji ufahamu zaidi wa ku-export nyanya kwenda nchi za middle east ni process gani natakiwa kufata kwa hapa Tanzania?
0 Reactions
0 Replies
964 Views
Jarida lasifu ndege mpya za Magufuli JARIDA mashuhuri duniani la Forbes, limezitaja ndege aina ya Bombardier Dash8 Q400, ambazo tayari Tanzania imezinunua kuwa ni zenye usalama, zinazotumia...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kumekuwa na Mjadala kuhusu ndege Mpya za ATCL! Nimeikuta hii mahali na naweka hapa wengine nao waone! Nikiwa X-staff wa iliyokuwa ATC, ninaelewa! Wakati mwingine ni vizuri kujua hadi uamuzi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
We are quite pleased to announce that Crystal Clear Software Ltd, the sole developer of number one loan software called “loan performer” has released new version. More than 50 countries are using...
0 Reactions
0 Replies
996 Views
Life Advice: What can people start doing now that will help them a lot in about five years? 1. Don't have that extra slice of pizza, you've had enough to eat already - you will regret it. 2. You...
1 Reactions
1 Replies
685 Views
ndugu zangu nahitaji kujua kwa maeneo ya dar na dodoma mchele ni bei gan kwa kilo kuanzia wa kawaida hadi mzuri sana
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Naomba Kwa yeyote aliye mzoefu na biashara ya mchele, nataka kuianza ila cna uzoef Nahtaj mtu wa kunishka mkono,
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakubwa, naomba kueleweshwa ni Benki gani Tanzania inatoa mikopo yenye riba nafuu kwa wafanyakazi? Na riba hiyo ni kiasi gani? Asante.
0 Reactions
14 Replies
14K Views
Habari wanajamvi nahitaji mkopo nikuze na nipanue wigo wa masoko wa biashara yangu ya viatu vya kimasai. maana inafika wakati wateja wanakuwa wengi ila kutokana ninamtaji mdogo nashindwa kuwapa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba msaada wakuu juu kuanzisha blog unaweza kulenga kitu gan ambacho kitafanya uwe na wasomaji wengi na wafuatiliaji wa Blog ako nitashukuru sana.
1 Reactions
1 Replies
564 Views
Wakuu naombeni mwenye mwongozo juu ya biashara ya zao la ndizi Kwenye masoko ya dar
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…