Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Tunaonaje hapo? Mwanafunzi kapewa mimba na mwalimu wake kwa hasira tunamfuta kibarua mwalimu (mhalifu), mwanafunzi na mtoto atakayezaliwa wanahitaji kula, kuvaa, kulala, matibabu, na kusoma...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwa mara kadhaa sasa nimenunua betri za Panasonic AA, zenye nembo ya TBS, lakini zimekuwa zinaacha kufanya kazi ndani ya nusu saa, zingine hata siku mbili hazifiki. Na hii ni kwa matumizi madogo...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wana Jf. Ukiwa kama mjasiriamali huru, unatakiwa kuwa huru kwa maana kuchunguza fursa popote na kuzitumia ipasavyo. Ifuatayo ni Fursa ya kupata notes bora za kutengeneza sumu za wadudu na...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish EURUSD is bullish in the short-term, but neutral in the long-term. Against...
1 Reactions
1 Replies
429 Views
Wataalamu wa masuala ya kodi na sheria hebu tujuzeni kama pesa za mshindi wa BBA season 9 Idris Sultan zinapaswa kutozwa kodi kwa mujibu wa sheria zilizopo Hapa nchini. Nauliza kwa sababu nataka...
0 Reactions
44 Replies
6K Views
Biashara
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wakuu mimi ni mjasiriamali nina uhitaji wa industrial dryer angalau yenye uwezo wa kukausha tani 30 (kiwango cha chini) kwa siku, sasa sijui naanzia wapi. Naomba ushauri namna ya kuipata, bei yake...
1 Reactions
7 Replies
882 Views
Hello wana JF. ingia katika link www.facebook.com/abdul.sungita.1 then fungua link ya equity bank kuangalia wazo lake na kulipgia kura. Ni wazo bunifu (PesaApp).
1 Reactions
0 Replies
783 Views
Uchumi Foundation tunatoa Huduma zifuatazo:- Ushauri jinsi ya kuanzisha biashara kwa mtaji Mdogo. Kubuni wazo la biashara. Kuandaa business plans za biashara na makampuni. Kuandika katiba za NGO...
3 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadau, Takriban mwezi mmoja nyuma,vyombo vya habari vilipata kuripot kuwa Kiwanda cha Biotech cha Kibaha kimeweza kupatiwa mkopo mnono na NSSF kwa ajili ya kukiwezesha kifanye kazi.Pia siku...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Tunahitaji mshauri wa mambo ya uwekezaji (investiment advisor) kwa ajili ya mradi wetu ambao tunataka kuufanyia kazi. Kama kuna mtu anataarifa yoyote basi tuwasiliane.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Economists predicts a collapse of US economy starting from Wall Street soon after 2016 elections 7 Signs of a U.S. Economic Collapse in 2016
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wana JF heshima mbele; Nimepata taarifa rasmi kuwa kuna shirika kubwa sana la ndege la wazawa wa Tanzania hapa hapa linaanzishwa litakuwa na ndege nyingi zaidi ya Precision (zaidi ya ndege...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Byase Luteke During the first week of December 2009, Tanzania joined the rest of the world to commemorate the 69th Anniversary of the International Civil Aviation (ICAO). This is one of the...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
“Soon, though, I became aware that there was an even bigger game available to players like me. It was, in fact, the biggest game in town -- the international financial markets. So my interest...
0 Reactions
0 Replies
561 Views
Natafuta duet, vitz au starlet, bei isizidi 4.5m. Namba yangu 0717960200
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Wanajf,kwanza nitaanza na kuwashukuru sana kwa mawazo yenu mazuri pamoja na ushauri!Julai mwaka huu nilikuja hapa nikiwaomba ushauri wa nini nifanye baada ya kukusanya ka shilingi 700000/=Wengi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mara kadhaa utawasikia wabongo wanalalama saaana, kwamba kampuni fulani ya simu, vifurushi vyake ni ghali sana, na hivyo watahamia kwa mpinzani. Bila shaka wengi wao hawajui kwamba vifurushi...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Nina mpango wa kuagiza nguo za wanawake toka China online kupitia ALIBABA mwezi November, Ninataka kuanza kuagiza pieces 200 kwanza, Ninaomba mnipe uzoefu wenu na ushauri kwa ujumla juu ya mambo...
2 Reactions
54 Replies
28K Views
Nimpongeze sana mkuu wa nchi kwa mapinduzi anayokuja nayo kwa maslahi ya nchi. Lakini unapofanya jambo la kitaifa ni vizuri kufikiria mara mbili ili usilete AIBU. Ni vizuri kufanya jambo na...
0 Reactions
2 Replies
988 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…