Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Hello. Nina million 2. Nina mke na mtoto. Nahitaji kufanya serious business mambo yasonge. Kwa sasa mimi na familia yangu tumerudi nyumbani kwetu. So nilikuwa naomba Sana ideas business ideas...
11 Reactions
111 Replies
15K Views
Naombeni USHAURI WA kibiashara wakuu; nina mtaji WA Tsh 50,000/=(Elf hamsin). Je, Kwa mji WA Kilosa, nianzishe biashara Gani? Ahsanten sana!
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Based on concept: A proposal regardless its agenda/theme, is a formal written document used to make right decisions (to think and decide). Katika struggling zetu za maisha sometimes we need to...
1 Reactions
15 Replies
486 Views
TANZANIA KINARA WA UWEKEZAJI MKUBWA WA MADINI KWA KAMPUNI KUTOKA AUSTRALIA -Asilimia 21 ya uwekezaji wa Kampuni kubwa za Madini za Australia Barani Afrika ni nchini Tanzania -Kampuni zaingia...
1 Reactions
0 Replies
214 Views
Habari wana jukwaa. Kwa yeyote anaeuza akaunti yake ya playstore anaweza niona. Ni muhimu 0755422199
3 Reactions
22 Replies
499 Views
Kwanini Riba ya mikopo ya mabenki ni kubwa kuliko anachopata mtumishi mfano unaeza kopa mil 6, take home mil 5.31 alafu marejesho inakua mil 9 hii imekaaje wakuu? Tuwasaidie Gen Zee
5 Reactions
31 Replies
1K Views
ZIARA YA MAFUNZO BUNGENI YA WAFANYABIASHARA WA NGARA YAWA NEEMA KWA BIASHARA ZA KANDA YA ZIWA. 04/09/2024, BUNGENI DODOMA Baadhi ya wafanyabiashara wapatao 60 kutoka Jimbo la Ngara...
0 Reactions
0 Replies
266 Views
Naombeni mawazo yenu wadau nawezaje kutengeneza pesa kupitia kipaji changu.. nimeambatanisha sample za michoro
2 Reactions
12 Replies
458 Views
Poleni na hongeren kwa ubize wa kutwa nzima ya Leo, Ni matumaini yangu tunaebdelea vizuri tukiwa na afya njema, kwa wenye changamoto polen na mungu atawasaidia. Ndugu zangu nimepata aidia moja...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Jamani msaada, nahitaji kujua kama jiwe hili kwenye (picha hapo chini) kama lina dhahabu. Naomba kuwasilisha.
4 Reactions
34 Replies
7K Views
Wakuu kwema Kijana niko na 350k , kuna jamaa yangu kaniambia anauza saluni yake kwa hio bei. Vinyozi wanampa 4k per day, na kodi wanalipa wao, nataka kuinunua . Naombeni ushauri pia kama mna idea...
2 Reactions
8 Replies
548 Views
Hii ni side hustle, sio shughuli yangu rasmi Sipo Dar lakini nipo kwenye jiji mojawapo kati ya matano, kama mnavyojua kwenye majjiji kuna utitiri wa electronics na ushindani wa hali ya juu...
8 Reactions
14 Replies
1K Views
Bodaboda kahojiwa East Africa Radio kasema anaingiza laki 9 kwa mwezi. Hivyo anashauri msichague kazi. Ahaaa haaaa
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Kwasasa nipo Morogoro. Nina milioni moja napanga nikizalishe niingize chochote kitu, maisha yasonge. Nawaza kwenda Dar nikauze mkaa.
3 Reactions
27 Replies
942 Views
Been thinking on it over and over again. How good is the Tanzanian ground for Cell phone business? African economy is booming, would it be a good time to setup an international store there ?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari yenu wana JF, Nipo hapa kwa ajiri ya kutokea ushahidi katika uzi ambao niliutoa "AVIATOR HACK TRICK" wengi wao walikua wanakataa kua haiwezj kufanya kazi, kabla sijaendelea ningeomba...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Mshindi wa wiki ya tano wa kampeni ya Vodacom Tanzania Plc ‘Ni Balaa, Kila Mtu ni Mshindi' Salehe Samweli (wa pili kulia), akipokea mfano wa hundi ya shilingi laki tano kutoka kwa Mkuu wa Kanda ya...
0 Reactions
1 Replies
211 Views
Salaamu wanajamvi, Imekuwa ada kuanzisha hata kusajili vikundi vya kusaidiana mambo ya kijamii kama vile msiba na sherehe. Sio jambo baya kwa vile linakuza ushirikiano na ustawi wa jamii. Ila...
3 Reactions
2 Replies
250 Views
Naomba kuuliza je soko la ubuyu likoje na wapi naweza kupata wateja wa uhakika wa mafuta ya ubuyu pamoja na unga wake.
2 Reactions
4 Replies
355 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…