Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Naomba kufahamu taasisi za kifedha za Tanzania ambazo unaweza kuweka fedha na kupata riba nzuri baadae kama ilivyo fixed account (Benk). Nisaidieni wadau, natanguliza shukrani za dhati!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
EURUSD = Sell EURCAD = Sell EURAUD = Sell EURNZD = Sell EURJPY = Sell EURCHF = Sell EURGBP = Sell NB: Every trade could be entered with a stop loss of 100 pips and a take profit of...
0 Reactions
0 Replies
324 Views
Wakati sisi tunakatazwa kufanya 'politics' angalia wenzetu wanachoplan by 2020: A new sugar factory to be built in Rwanda
0 Reactions
0 Replies
658 Views
Habari wakuu Nahitaji kuanza biashara ya vitunguu maji... nianzie wapi..? Naweza kuchukua mkoa wowote wenye zao hili na nikapeleka mkoa wwt ule wenye uhitaji. muhimu ipatikane riziki tuu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau naona fursa ya ujasiliamali kwenye hizi barafu za kufunga yes hizi hizi za watoto wa Shule.Naamini nikizitengeneza zenye radha nzuri nitauza. Sasa tatizo ni ujuzi wa kuzitengeneza Kama...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Habari wakuu. Nahitaji kufahamishwa ni hatua gani zinatakuwa kufuatwa ili mtu aweze kufanikiwa kufungua kiwanda kidogo. Kwayeyote mwenye ufahamu kuhusu hili anisaidie. Nahitaji sana msaada wenu...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
TheTasksPay.com - Earn from Your Home & Office, Earning website for Students, Job-less people
0 Reactions
1 Replies
625 Views
Tafadhali naomba utaalamu wa wajuzi wa kilimo. Nina miembe ya kuunga ambayo inatoa maua. Mwaka jana ilitoa maua mengi lakini haikuweka maembe, maua yote yalipukutika. Mwaka huu ndiyo imetoa maua...
1 Reactions
2 Replies
7K Views
Habari zenu wana JF mimi nina mpango wa kutoa huduma za M-pesa Tigo pesa Airtel money Maxmalipo je ni shiling ngapi inahitajika kupata uwakala wa M-pesa,Tigo pesa,Airtel money na Maxmalipo. pia...
1 Reactions
0 Replies
953 Views
Wadau, Napenda kujua tofauti ya ubora kati ya mabati yanayotengenezwa na viwanda hii viwili hapa Tanzania ambavyo ni ALAF na ANDO.
1 Reactions
6 Replies
7K Views
*Dondoo ya leo* *Katika biashara kuna mafanikio ya aina mbili, mafanikio yanayoonekana na yale yasiyoonekana,kama mfanyabiashara au mjasiriamali zingatia sana mafanikio yasiyoonekana sababu...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bearish This pair could not sustain the bullish run it started in the last week of July 2016. Price made a faint bullish effort...
0 Reactions
0 Replies
478 Views
Bila shaka wengi wetu pia wameweza kueleza maoni mbalimbali juu ya mwenendo wa uchumi nchini kwa sasa, nami kama mwananchi wa kawaida napenda nitoe ushuhuda wangu juu ya jambo hili hasa...
6 Reactions
12 Replies
2K Views
Maelezo zaidi yatafuata.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Biashara nyingi za kiafrika zinakufa pale baba anapoaga dunia sababu kubwa ni baba kutomshirikisha mama pamoja na watoto katika uendeshaji wa biashara tofauti na makabila kama wahindi, lebanuni...
2 Reactions
64 Replies
6K Views
WHAT YOU NEED TO KNOW ABOUT MASTER TRADERS – PART 14 “My advice to… both strategy creators and investors — is to always have a ‘what-if’ plan. Always know what you're going to do, when the...
1 Reactions
0 Replies
755 Views
Wakuu naomba kujuzwa nn maana ya cheque ku mature .
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Ndugu na jamaa nadhani hapa JF hamna kinachoshindikana na nadhani tatizo langu watu wengi wanajua na wameshafanya sana..Sasa nilikuwa naomba kufahamu zaidi je kama nikiagiza gari kutoka Japan kuja...
0 Reactions
84 Replies
26K Views
Naombeni ushauri na changamoto! Coz nataka nithubutu kwa kununua gari ndogo ya usafiri iitwayo (Hiace) ili nisafirishe watu maeneo to faut kama biashara.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Uhali gani mpenzi wa makala haya, ni matumaini yangu makubwa umzima wa afya kabisa, katika makala hii natakaka tujikite zaidi katika kujua sheria ambazo zitatufanya tuweze kutimiza ndoto zetu...
6 Reactions
8 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…