Kwa anayeijua vizuri taasisi hii Naomba anisaidie tafadhali,
Je?! ni kweli wanakopesha ndani ya dk 35 tu baada ya kuwarushia pesa ktk M-pesa na Tigo pesa?!
Naamini kuna wadau wameshafanikiwa...
Habarini wana jamvi?
Natumai mu wazima wa afya. Wadau wa jukwaa hili ninahitaji ushauri wenu kidogo kuhusu biashara ya Mahindi huko kiteto,kuna bwana mdogo wangu mmoja kaniomba shilingi 4 million...
Habari ya wakati mwema wanaJukwaa na hadhira kwa Ujumla
Nahitaji kuanzisha biashara Yangu binafsi ila kwa sasa nina mtaji wa 35000 na Biashara nataka iwe ya mtaji wa 500000 na Ntakamilisha iyo...
Ndugu zangu napenda nianzishe biashara ya majiko ya gesi kwa ajili ya matumizi ya kupikia lakini kiukweli biashara hii siijui vizuri, tafadhali naomba msaada wenu.
Habari za jioni wadau
Mimi ni mfanyabiashara wa kati hapa dar
in short wote tunafahamu jiji la dar liko vizuri kibiashara kwasbb ya uwepo wa ofisi kuu za serikali hapa moja ya point inayochangia...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bearish
This pair consolidated to the downside last week, moving south by only 100 pips and closing above the support line at...
Habari za majukumu wapendwa.
Ni matumaini yetu kwamba mko vizuri katika hali zote, tunashukuru kwa hilo.
Leo tungelipenda ku-share nanyi juu ya mkakati au mikakati ya kibiashara (Business...
sorry Admin
soma kwa makini hii sana inamhusu kila mtu hapa haijalishi umri wala jinsia wala kipato wala elimu au cheo
pana group jipya limeanzishwa kwa ajili ya kama umepoteza kitu chochote...
Habari,
Ni matumaini yetu kwamba nyote mu wazima wa afya na mnaendelea vyema na majukumu ya kitaifa.
Leo tungependa ku-share nanyi juu ya miradi (Projects) na usimamizi wake kiujumla (Projects...
Ndugu wadau naomba niwaleteeni habari njema,juu ya ujenzi bora wa majengo yenu kwa kutumia bidhaa bora za aluminum, sstainlesssteel na vioo kutoka CADASP. Sisi ni class one company ktk kusupply...
Napenda kuwapa taarifa kwamba benk ya NBC Mtwara inahuduma mbovu kupitiliza ubovu. Kuna counter 5 na teller Mmoja anaehudumia wateja waliojazana paka mlangoni. Wafanyakazi wengine wanakunyachai na...
Naomba serikali ijalibu kutusaidia kuwaondoa vishoka na matapeli wote waliopo waliopo katika office za TRA, wamejaa sana kiasi kwamba ukifika pale kidogo ukiulizia office yoyote pale mapokezi...
Nimejipigapiga na kupata sh.350,0000/= Laki tatu na nusu.
Niliwahi kuwaomba ushauri mkasema nifungue genge. Nashukuru nimefanya hivyo pamoja na kufungua kaduka kadogo kwani genge limenigharimu...
WHAT YOU NEED TO KNOW ABOUT MASTER TRADERS – PART 13
“Writing down a trading plan and sticking to it is the winning trader's secret weapon. If you create detailed trading plans and manage...
kupitia link hapo chini unaweza kuiwezesha hii project kusonga mbele
REDUCING A COMMON MANGO SPOILAGE IN WESTERN TANZANIA
REDUCING A COMMON MANGO SPOILAGE IN WESTERN TANZANIA
Habari wakuu,
Kwa wale wafwatiliaji wa soko la hisa l dar es salaam (DSE) wanaweza kunisaidia katika hili,
Kwa mujibu wa markert trend ya soko la hisa la leo,hisa za Uchumi Supermarkert Ltd...