Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Dubai-based Dodsal Group said on Monday (March 28, 2016) that it has discovered gas reserves worth an estimated $8 billion in Tanzania, which could help lift the eastern African nation’s economy...
0 Reactions
1 Replies
904 Views
Naomba contacts za viwanda vinavyotengeneza cementi hizi; 1.rhino 2.camel Nahitaji quotation zao
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu naomba mnisaidie kunitajia mashine za bakery ambazo ni nzuri na sio za kichina na wapi wa kununua? Natanguliza shukrani nyingi kwa majawabu ambayo nitapata hapa. ahsante.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba kuuliza kwa wale wenye data za usahihi Kufeli au kufilisika kwa mabasi ya scandinavia ktk muda mfupi tu...Jamaa alijitahidi mno, na kila ukifika ofisi zake unaona bora kuliko kwenda...
1 Reactions
204 Replies
53K Views
BAADHI YA NJIA UNAZOWEZA KUTUMIA KUPATA WAZO LA BIASHARA AU KUWEZA KUJIAJIRI PATA ELIMU YA BURE 1. TUMIA UJUZI ULIONAO Ujuzi ulionao ndo sehemu ya kwanza kabisa ya kupata wazo la Biashara, Mfano...
5 Reactions
12 Replies
4K Views
Salama wakuu, Kwa million 7 Dar, unaweza kufanya biashara gani?Mdogo wangu muda mrefu hajapata ajira, hivyo nimeona ni vyema nimpe kidogo ili anishughulishe.Ni jinsia ya kike.
1 Reactions
69 Replies
12K Views
Nimeanza biashara pembeni ya mji kwa mwaka mmoja bila mafanikio. Nikahamia katikati ya mji mwezi wa sita sasa bado napata wateja wachache najiuliza au hii biashara ya vifaa vya umeme nayoifanya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mimi ni mwajiriwa katika kampuni moja hapa jijini Mbeya kwa muda wa mwezi mmoja sasa.Nina uhakika wa kuwa naweka shilingi 200000/=kila mwezi.Nataka pesa hiyo niiweke kwenye mradi.Tatizo sijui...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
“I realised that the best way to free myself from worries about uncertain outcomes, is to make sure a negative outcome of a specific trade will not affect me.”- Christiaan van der Meer I...
0 Reactions
0 Replies
557 Views
Minister for Energy and Minerals, Prof. Sospeter Muhongo Despite a public outcry over potential harm that uranium might bring to the environment and people in the designated mining areas, the...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana jukwaa ninashamba kubwa tu la miti ambalo naamini linaweza kuniwezesha kupata mkopo nikafanya mishe za kibiashara!!! Naombeni mawazo yenu nifanye nini ili linipe mkopo!!!!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwenye mtaji wa kuanzia 1.5 na kuendelea anaweza fanya kitu gani????
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wanajf?nimepata soko lakupeleka mahindi kenya.Najua utaratibu mzima kuanzia ukusanyaji wa mahindi mpaka kuyafikisha sokoni,ili ikulipe unatakiwa upeleke semitraler moja(tani32)ambapo...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Mwanasaikolojia Anti Sadaka akitoa Mada kwenye Mafunzo ya ujasiriamali kwa wanawake wa Mkoa wa Dodoma yanayoendesha na Taasisi ya Manjano Foundation yanaoendelea kwenye ukumbi wa LAPF House...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nataka kutunza fedha sh milion moja, Je ni taasisi ipi ambayo inaweza nipatia interest ya sh laki moja kwa mwezi kwa kiasi hicho cha fedha (sh mil moja)?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
HABARI ZA ASUBUHI WANA JF NIMEJARIBU KUWAZA HAYA MAVAZI TUNAYOVAA SISI TZ KAMA TSHERT,SULUALI, SHATI,VIATU, N.K VIKICHOKA TUNAWEZA KUKUSANYA KUWEZA KUUZA,NJE KAMA TUNAVYOLETEWA SISI.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
jamani vijana wenzangu tuna changamoto nyingi ila tukishirikiana tunaweza km kuna mtu ana biashara ila anatafuta mtu wa kushirikiana nae plz niPM
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Je unahitaji tovuti katika Biashara yako ?, kama Ndio ungependa iweje ?
0 Reactions
0 Replies
566 Views
Usipite bila kusoma mahali hapa kama unahitaji Kubadilika na Kwenda hatua nyingine ya Kufikia katika Kilele chako cha Mafanikio makubwa; iwe Mafanikio ya Kiuchumi au kifedha, Kiafya, Kiakili na...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Nina shamba langu la miti kama 700 ambayo ina umri Wa miaka 6 naweza kuchukuwa kiasi gani cha mkopo kutoka crbd bank naomba kujuzwa utaratibu ukoje ili uweze kukopa
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Back
Top Bottom