NAAMINI UNAWEZA JIFUNZA KITU HAPA KATIKA UWEKEZAJI WAKO KIBIASHARA DUNIANI KATIKA LIST HII
Rice in 2012 was the most valuable agricultural crop in the world. It was second to maize (corn) in the...
Dar-es-Salaam, 19 March 2016: After yet another successful pre-order campaign for the much anticipated Samsung Galaxy S7, the devices are launched in Samsung’s retail stores in Tanzania as of 19th...
Salaam wakuu,
Kuna wazo ninalo la kutumia coins (sarafu) kwa ajili ya kazi fulani. Coins nitazotumia ni za miaka ya nyuma zisizokuwa kwenye mzunguko. Sitaziharibu, lakini nitaweka sehem ambayo...
Serikali yaipiga marufuku bodi ya shirika la nyumba NHC kuhusu ujenzi wa miradi mipya ya kibiashara.
Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh.Willium Lukuvi amepiga marufuku bodi ya...
Kila aina ya uwekezaji ili uwe na tija ni lazima kwanza miundombinu muhimu ya kuuwezesha kufanya kazi iwepo, bila hivyo tutazidi kushuhudia mitaji mingi ikipotea, na tayari tumeshuhudia biashara...
Wapendwa, jamani naomba kama kuna mwenye utaalamu wa kukadilia gharama za kuchimba bwawa ka kufugia samaki lenye ukubwa wa takribani sq meter 1200 anijuze. nataguliza shukrani wanajamvi
Jamani mi nashindwa kuelewa hivi hili suala la kuwa sole importer wa Heineken brands lina umuhimu gani kwa sisi watanzania ingali bia za Heineken and Windhoek zinakuwa overprized? Kwanini supplier...
Ndugu zangu, hii si siri ila nimeamua tu kuwanong'oneza tu, sio tetesi ni taarifa za kweli na zinazoweza kuthibitishwa kwa nyaraka, vielelezo pia ushahidi.. Plz naomba msininukuu vibaya.. sijasema...
Jana nimeangalia television kikao cha EAC na nimeona South Sudan imekuwa admitted katika jumuiya yetu ya Afrika Mashariki. Nadhani hii inaweza kuwa nafasi kwa wafanyabiashara kupeleka vitu kule...
Miji ya Tanzania inakua kwa kasi mwaka hadi mwaka. Kwa sababu ya ongezeko la watu biashara nayo inaongezeka. Je, zipi zitafit mazingira ya miji yetu?
Tafadhali, orodhesha mawazo ya biashara...
Wakuu habari, nimeanzisha stesheneri nahitaji kununua photocopy mashine model ir2520 au inayofanana na hip inayoprint dabo side. Nataka kupata mpya na bei iwe nzuri thanx.0754546328
Lengo la huu uzi si kuhamasisha watu kuachana na masomo bali ni kujadili kwa pamoja njia walizotumia baadhi ya wanafunzi walioacha shule hadi kufikia mafanikio. Kumbuka kuna wengine waliacha shule...
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imenunua mashine 8,000 za kutolea risiti za kieletroniki (EFD), ambazo zitagawiwa kwa wafanyabiashara wadogo wadogo nchini.
Meneja wa masuala ya Kodi wa TRA...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
From Monday till Wednesday, this pair moved south. Price broke upwards on Wednesday as it rose significantly by 280...
Kumekuwa na watu wenye bahati ya kupata pesa nyigi sana kwa wakati mmoja kwa mfano pesa za migodini kwenye madini, pesa za kuokota, mirathi, pesa za zawadi, pesa za kilimo cha mazao ya biashara...
Habari wajasiriamali
Naomba kupata ushauri na mwongozo ikibidi katika biashara ya kuuza nyama za kuku wa kienyeji kwa kilo na kwa oda.
Hii ina maana kwamba natafuta supermarkets na hoteli kubwa...
Jamani, nina mpango wa kufanya biashara ya madini, yaani nitanunua kutoka kwa wachimbaji wadogowadogo na kuyauza kwa wafanyabiashara wakubwa ili kupata faida zaidi.
Ila nahitaji mawazo na maoni...
Ndugu zangu wajasiriamali, habari za majukumu.
Humu ndani kumekuwa na tabia ya kuambizana mambo mengi ya kufanya pasipo kupeana ushuhuda wa kweli kuhusu mambo hayo. Tunapeana mawazo ya biashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.