Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Mimi mjasiriamali nahitaji mkopo wa kumalizia project yangu ya Lodge na pesa nyingine kuingiza katika biashara zangu nyingine. Mkopo ninaohitaji kama 300milion na nahitaji mkopo wa muda mrefu.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nokia CEO ended his speech saying this “we didn’t do anything wrong, but somehow, we lost”. By: Ziyad Jawabra Moja ya kampuni kongwe na maarufu za simu ya mkononi Nokia hatimaye ilishindwa...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
USDJPY = Buy AUDJPY = Buy CADJPY = Buy CHFJPY = Buy EURJPY = Buy GBPJPY = Buy NZDJPY = Buy NB: Every trade could be entered with a stop loss of 100 pips and a take profit of 200...
0 Reactions
0 Replies
431 Views
Wana JF, Kumekuwa na ushauri mbalimbali unaotolewa kwamba watu waweke fedha zao benki. Ukweli ni kwamba kwa hali ilivyo Tanzania, nisingemshauri mtu yoyote kuweka fedha zake benki kwa sasa...
22 Reactions
78 Replies
19K Views
Jamani nataka kufungua duka la kuuza sukari kwa jumla tu yaani mifuko ya 25kgs na 50kgs.. mwenye uelewa mzuri kuhusu eneo hili anishauri tafadhali...nimepata frem gongo la mboto... maoni yenu plz
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani nataka kufungua duka la kuuza sukari kwa jumla tu yaani mifuko ya 25kgs na 50kgs mwenye uelewa mzuri kuhusu eneo hili anishauri. Tafadhali nimepata frem Gongo la mboto. Maoni yenu plz
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Kazi kubwa ambayo ninafanya inahitaji intanet. Nafanya sana utafiti, na ninasoma sana kwenye intanet. Mara nyingi bando ninayotumia haikai wiki mbili. naweka. inaisha. naweka tena. inaisha tena...
0 Reactions
0 Replies
906 Views
Wadau ni matumaini yangu mmeamka salama na mnaendelea kulijenga Taifa. Naomba msaada wenu kwa anayefahamu ni utaratibu upi unahitajika ili kuruhusiwa kuingiza mayai nchini toka nje ya Tanzania...
1 Reactions
0 Replies
880 Views
LISTI YA FURSA ZA BIASHARA NA MIRADI - Karibuni 1. Kununua Mashine za kukoroga zege na kukodisha. 2. Kufungua Kanisa ili upate sadaka zakila ibada 3. Kutengeneza na kuuza tofali 4. Kujenga kituo...
2 Reactions
8 Replies
13K Views
Europe's Biggest Oil Hub Fills as Ship Queue at Seven-Year High Rakteem Katakey rakteem Alaric Nightingale AlaricN March 1, 2016 — 6:16 AM EST Share on FacebookShare on Twitter Share on...
0 Reactions
1 Replies
668 Views
Mwenye ujuzi na biashara hii tafadhali, nina kiwanja kikubwa, kuna umeme na maji na mtaji pia upo nahitaji mawazo yenu tafadhali..
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanajamvi naombeni ushauri, nina Toyota- Avensis ya mwaka 1999 nafikiria kuifanyia biashara ya TAXI!, sema gari ina high mileage of 140,000. Vipi italipa au gari imeshazeeka/itasumbua mbeleni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tanzania ni nchi yenye maliasili nyingi sana lakini kuna umasikini kitaifa na kifamilia, tulikosea/tunakosea wapi?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamvi. Nina mtaji wa sh 10 milioni za Tanzania nataka niziweke katika hii biashara. Kiufupi nataka ni deal na pipe, clumbing fiting zote, pamoja na toilet na ceramic items...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Unakuta tangazo mtu anauza kitu lakini hakuna namba ya simu kuna email tu hiyo email ukituma kuulizia hiko wanachouza hawa reply... hata kusema tu kama kimeshauzwa na sio tangazo moja unakuta...
4 Reactions
46 Replies
8K Views
Wakuu kwa yeyeote anayeweza kujua contacts a ama namna ya kuwasiliana na hawa watengenezaji wa sabuni ya unga ya Niceone anisadidie
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Wakuu baada ya kutafuta microfinance kwa muda mrefu na kushindwana na wale wanaouza kwakuwa wao wamekuwa wakitaka ninunue pamoja na madeni wanaowadai wateja wao kitu ambacho sikuwa tayari na hilo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za jioni wakuu, Natafuta wafanyabiashara wenza/bussines partner katika uwekazaji wa kisasa kwenye kilimo cha biashara. Wanahitajika angala watu 9 na mimi nikiwa wa 10,tunawekeza kwenye...
2 Reactions
32 Replies
3K Views
Mimi ninataka kuanza mradi wa kujenga na kuuza nyumba (ambazo zinakuwa zimefika hatua ya lenter) nipo Dodoma hivyo mradi huu natarajia kuufanya hapa Dodoma. Naomba elimu, ushauri, uzoefu n.k...
1 Reactions
6 Replies
6K Views
Habari wadau! Siku kadhaa zilizopita nilimsikiliza bwana Ruge akizielezea fursa 10 za biashara au ujariamali hapa nchini..Kwa kuwa waliweka promo nyingi sana juu ya hicho kipindi maalum nikaona...
2 Reactions
8 Replies
4K Views
Back
Top Bottom